Utamjuaje mwanaume ambaye tayari yuko kwenye ndoa ama mahusiano mengine?

Utamjuaje mwanaume ambaye tayari yuko kwenye ndoa ama mahusiano mengine?

Nikijua ni mume wa MTU nitamuacha kwa sababu ninapenda nijipatie wa kwangu!

Ila kuhusiana na kuwasiliana yuko active sana kuchat asubuhi mpk muda ya SAA mbili anawahi kuaga

Na huyu kijana sijakuwa naye hata mwezi uishe ila matendo yake yananishtua
Mkuu wewe ni mkenya, upo hapa Dar?
 
Nikimpigia usiku mm hapokei,anakaa kama DKK 10 afu ananipigia anadai yuko na mzazi ake ni mkali hawezi kuongea mbele yake!na hiyo kijana ana miaka 31
Hamna mwanaume hapo,
Uyo Ni mvulana aisee.

Hivi kwanza unapata wapi ujasili wa kudate na mvulana anazaidi ya miaka 30 anakaa kwao?

Hivi wanawake huwa zinatosha KWELI?

Au ndo kesho utakuja kuleta Uzi kua
"Mume wangu hawajibiki, kila kitu nagharamia Mimi kwenye familia...."

Aisee,
Mwambie kabla ya chochote atoke Apo kwao kwanza.
 
Yaaani ananikera sana bac tu
Hamna mwanaume Apo dada angu,

Mwanaume mwenye miaka 30 afu bado Yuko nyumbani ana matatizo.

Tena sio matatizo TU, Bali matatizo makubwa.

VINGINEVYO,
unataka kuwasaidia wazazi wake kumlea akawe kibenten wako.
 
Techniques hapo haina haja kwa sababu mie ni expert wa hizo shughuli hapo kuna yafuatayo!

1.Jamaa anaishi na demu wake wa malengo na muda ambao anarudi home ni kuanzia saa 2. So lazma akupange ili usipige simu.

2.Jamaa ana mke ambaye tayari wamefunga ndoa so muda ambao unataka kumpigia simu akiwa na mkewe hawezi pokea on the spot. Siku mkewe akiwa hayupo ndio ataongea na wewe free hadi utashangaa!

3. Hawezi kulala kwako overnight au sleepovers zile. Lazma arudi kwake yani by any means [emoji28]

4.Kufika kwake sahau yani labda siku mkewe akiwa hayupo kasafiri [emoji23] na huwezi ruhusiwa kwenda kwenda hovyo!

NB: Maisha hayo magumu sana yani niliwahi kuyaishi na manz mmoja alikuwa ananibana kweli nimpeleke kwangu kwa kweli ilikuwaga shughuli yani anaboreka kwanini namkazia kumpeleka kwangu[emoji28] kumbe kule kuna mke mwenzie dah[emoji23][emoji23][emoji23] ujana maji ya moto sikuhizi tumekuwa lakini!
Aisee hamna kazi ngumu Kama kudanganya huna MKE kumbe unae.

Ile KERO iliwahi nifanya nikapanga chumba self special kwa ajili ya kazi za hivyo na kuweka full assets.

Baadae niliona upuuz,nkaachana na hiyo tabia.

chumba nkakabidhi, assets nkamuachia kijana wangu wa dukan.

Ujana maji ya Moto,
Tumepitia mengi Sana aisee[emoji4]

UMENIKUMBUSHA MBALI MKUU[emoji4]
 
Aisee hamna kazi ngumu Kama kudanganya huna MKE kumbe unae.

Ile KERO iliwahi nifanya nikapanga chumba self special kwa ajili ya kazi za hivyo na kuweka full assets.

Baadae niliona upuuz,nkaachana na hiyo tabia.

chumba nkakabidhi, assets nkamuachia kijana wangu wa dukan.

Ujana maji ya Moto,
Tumepitia mengi Sana aisee[emoji4]

UMENIKUMBUSHA MBALI MKUU[emoji4]
Hahahahahha tumepitia kipindi kigumu kama taifa la vijana mabaharia!😅
 
Ofcourse kuwa na multiple partners inatokeaga at times unatafta mwenza sahihi sio kosa. Unaweza kuwa nao ili kupata picha halisi ya nani madhaifu yake unaweza kuyabeba ila sasa itategemea na intention zao hao watu wako.

Huyu mtoa mada yeye yupo kwenye deadline sikazi ana miaka 29 sasa so anatafta mtu wa kumuoa immediately ndio yamkini ana wasiwasi. Ila kwa sisi wanaume unaweza kuwa huna mpango huo ndio shida inapoanzia hapo. Hata aongee na mungu au vipi hana guarantee kuwa mjuba yupo nae serious!
Moyo wa mjuba kichaka[emoji2],

Mioyo yetu ikashawaka tamaa ata uwe na 80yrs itatafutwa mbinu yoyote ata ya uwongo tu ili mradi ukaliwe utamu.
 
Hapana tuwe wote tuchunguzane then tufuate taratibu kama tutafaana kujenga familia
Uliona wapi mwanaume anachunguzwa?

Aya umechunguza ukagundua jamaa Yule pale kitandani anamtafuna mwanamke mwenzako,
Je, utapata ujasili wa kufumania?

Aya umefumania,

Swali litakuja,
Ulionaga wapi mwanamke akafumania?[emoji848]
 
Yaaani this started tulipokubaliana no sex before marriage akasema it is OK!
Nikamuuliza are you sure mpk tuoane utakuwa muaminifu mbele ya Mungu ?
Akasema yes dear"unajua suala LA ndoa wewe utakaposema muda wowote tu mie Niko tayari Ee"
Ndio. Na mm nikaanza kushangaa pia
Umepigwa wewe[emoji1787]
Uyo mwanaume wa hivyo alikuaga yesu tu.
 
Haahahaha huwa wana abstain kwa maboya ili akuingize kingi! You can not tell me eti mwanamke from 18-28 years awe hajagongwa sana hapo katikati. Eti mwanamke ambaye kashaliwa sana Versity hapo na kutoa mimba kadhaa aje na kujifanya ni sista wa parokiani kuwa hajawahi liwa[emoji28] wakati masista tu wenyewe wanapelekewa moto.

Kwa kizazi hichi cha watoto wa 90’s -Present ni ngumu kweli kweli!
Mi atakaeninyima anihakikishie na yeye ni bikra 100%.

Hizi mambo za kuwekwa pending, WAHUNI wanampakua mi nasubiri hiyo haipo aisee[emoji4]
 
Back
Top Bottom