6WaS9
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 2,562
- 3,028
Mkuu wewe ni mkenya, upo hapa Dar?Nikijua ni mume wa MTU nitamuacha kwa sababu ninapenda nijipatie wa kwangu!
Ila kuhusiana na kuwasiliana yuko active sana kuchat asubuhi mpk muda ya SAA mbili anawahi kuaga
Na huyu kijana sijakuwa naye hata mwezi uishe ila matendo yake yananishtua