Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,265
- 201,451
Akimbilie wapiKimbia ... Kabla hujapigwa na kitu kizito kichwani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akimbilie wapiKimbia ... Kabla hujapigwa na kitu kizito kichwani
Umekuwa wapi weweTechniques hapo haina haja kwa sababu mie ni expert wa hizo shughuli hapo kuna yafuatayo!
1.Jamaa anaishi na demu wake wa malengo na muda ambao anarudi home ni kuanzia saa 2. So lazma akupange ili usipige simu.
2.Jamaa ana mke ambaye tayari wamefunga ndoa so muda ambao unataka kumpigia simu akiwa na mkewe hawezi pokea on the spot. Siku mkewe akiwa hayupo ndio ataongea na wewe free hadi utashangaa!
3. Hawezi kulala kwako overnight au sleepovers zile. Lazma arudi kwake yani by any means [emoji28]
4.Kufika kwake sahau yani labda siku mkewe akiwa hayupo kasafiri [emoji23] na huwezi ruhusiwa kwenda kwenda hovyo!
NB: Maisha hayo magumu sana yani niliwahi kuyaishi na manz mmoja alikuwa ananibana kweli nimpeleke kwangu kwa kweli ilikuwaga shughuli yani anaboreka kwanini namkazia kumpeleka kwangu[emoji28] kumbe kule kuna mke mwenzie dah[emoji23][emoji23][emoji23] ujana maji ya moto sikuhizi tumekuwa lakini!
Wewe ni nani?Mimi hapa
😂😂😂😂😂😂😂 kwahio unahisi mie ni chalii bado?Umekuwa wapi wewe
Hili ni lengo kuu la karibia middle aged women woteInategemea na malengo yako!
Mimi sihitaji mwanaume for enjoyment tu ,hapana ....
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]We unataka uolewe sio ndio target right?
Hapana bado
[emoji23][emoji23][emoji23] nakaziaCase closed
Nimecheka sanaAhsante eee,au ndio maaana nikimpigia muda mingine anaongea kwa nguvu kama hanisikii afu ananiita madam
Bado kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwahio unahisi mie ni chalii bado?
Cole mzima?Hili ni lengo kuu la karibia middle aged women wote
[emoji28][emoji28][emoji28]jamaa liuniAhsante eee,au ndio maaana nikimpigia muda mingine anaongea kwa nguvu kama hanisikii afu ananiita madam
Inategemeana.Kwa mfano mie mke wangu niliye nae siku ya kwanza tu nilijisemea moyoni na yeye nikamwambia hakika NITAKUOA,na kweli ikawa hivyo.Ukisikia mtu anakuambia atakuoa siku ya kwanza huyo ni tapeli kimbia mpk uvunjike mguu.Ni urafiki kwanza baadae inakuwa uchumba na mwisho kabisa ni ndoa au kuishi pamoja kama wanandoa
Mateso yote ya nini? Mie mshipa ukinyanyua boxer/suruali natafuta ninayeona anafaa napiga mti na kumwambia kwaheri.Techniques hapo haina haja kwa sababu mie ni expert wa hizo shughuli hapo kuna yafuatayo!
1.Jamaa anaishi na demu wake wa malengo na muda ambao anarudi home ni kuanzia saa 2. So lazma akupange ili usipige simu.
2.Jamaa ana mke ambaye tayari wamefunga ndoa so muda ambao unataka kumpigia simu akiwa na mkewe hawezi pokea on the spot. Siku mkewe akiwa hayupo ndio ataongea na wewe free hadi utashangaa!
3. Hawezi kulala kwako overnight au sleepovers zile. Lazma arudi kwake yani by any means [emoji28]
4.Kufika kwake sahau yani labda siku mkewe akiwa hayupo kasafiri [emoji23] na huwezi ruhusiwa kwenda kwenda hovyo!
NB: Maisha hayo magumu sana yani niliwahi kuyaishi na manz mmoja alikuwa ananibana kweli nimpeleke kwangu kwa kweli ilikuwaga shughuli yani anaboreka kwanini namkazia kumpeleka kwangu[emoji28] kumbe kule kuna mke mwenzie dah[emoji23][emoji23][emoji23] ujana maji ya moto sikuhizi tumekuwa lakini!
Na wewe tafuta pozeo ngoma iwe droo. Usiishi kizembezembe hivyo!!!!Ahsante eee,au ndio maaana nikimpigia muda mingine anaongea kwa nguvu kama hanisikii afu ananiita madam
Na ulitanua miguu nyuzi 90 au dog style??Heheheeee....Umenikumbusha mbaaaali saaaana. Kuna jamaaa alishawahi kunifanyia huu mchezo unaofanyiwa wewe hivi sasa.
Saivi nikikumbuka huwa naishia kucheka tuu...nawaza hivi nilikuwaje mjinga hata sikumgundua mapema...Ila ndio maisha...Kila siku ni kujifunza.
Usimtendee MTU jambo ambalo wewe usingependa ufanyiweKwanini sasa hamja zagamuana?? Just enjoy sex life huenda hata kama ana mke/Mchumba atampiga chini na kukufata wewe. Kuwa mjanja bana.
Weka namba[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]ntumieni tu muamala wa thikukuuu