Utamshauri nini mdogo wako wa kiume anaetumia pesa nyingi ku spend na madem

Utamshauri nini mdogo wako wa kiume anaetumia pesa nyingi ku spend na madem

1. Pesa ni za nani?
2. Anaishi kwa nani?
3. Unajua anazipataje?
4. Why umpangie matumizi?

Akifa kesho je? Mwache atumie maisha yenyewe mafupi sana haya.
 
Saa saba juu ya alama saa nikitazama nimesha achana na jacky sasa namfata salama, saa kumi na mbili nina appoitment madem wawili, achana na Lily ambaye tutakutana saa mbili, jenny wa mikocheni ambaye sasa hayupo duniani ambae alikuwa akinisubiria pale Vatican kijiwen, Amina na semeni tutakutana kwa macheni, na kila siku nawabadilisha tena kwa foleni

Mwambie awe anasikiliza hiyo song
Nitatafuta huo wimbo nimtumie mkuu
 
Mkuu unasema kirahisi
Ndio,hakuna namna nyingine.
Ukijifanya kumshauri vinginevyo atajiona kuwa wa kumjali mpo.

Mdogo wangu mtoto wa mama yangu mkubwa ni mlevi,sasa siku moja nimeenda likizo akawekewa kikao,ndugu zake wote wapo nami mgeni msikilizaji.
Ilipofika zamu yangu kutoa ushauri mimi nikaanza na maswali kwa yule jamaa yangu.

1; Kati yetu hapa kuna ambaye alisha kununulia pombe? Akajibu hapana.
2; Kati yetu hapa kuna ambaye aliwahi kukupatia fedha kwa ajili ya mambo mengine badala yake wewe ukanywea pombe? Akajibu hapana.

Hili la mwisho nikalielekeza kwa ndugu zetu.
3; Kati yetu ni nani amewahi kumnunulia pombe huyu jamaa au kumpatia fedha kwa ajili ya mambo mengine badala yake jamaa akanunulia pombe?
Hakuna aliyejitokeza.

Hitimisho langu liliibua ungomvi baina yangu na huyu dogo huku ndugu wengine wakiangua vicheko
Nilimuambia hivi;
WEWE KUNYWA POMBE,JIMWAGIE MPAKA WATENGENEZAJI WACHOKE.
KWANZA SAMAHANI KWA KUKUCHELEWESHA,WEWE NENDA HARAKA UKANYWE POMBEEEEE.
Jamaa aliniambia kuwa "kati ya watu niliokuwa ninawaona wana akili na wananipenda ni wewe,ila kwa ushauri huu HUNIPENDI HATA KIDOGO.

Ukweli ni kuwa alipunguza saaana na huwa simpatii hata ndala zilizo katika.
 
Ndio,hakuna namna nyingine.
Ukijifanya kumshauri vinginevyo atajiona kuwa wa kumjali mpo.

Mdogo wangu mtoto wa mama yangu mkubwa ni mlevi,sasa siku moja nimeenda likizo akawekewa kikao,ndugu zake wote wapo nami mgeni msikilizaji.
Ilipofika zamu yangu kutoa ushauri mimi nikaanza na maswali kwa yule jamaa yangu.

1; Kati yetu hapa kuna ambaye alisha kununulia pombe? Akajibu hapana.
2; Kati yetu hapa kuna ambaye aliwahi kukupatia fedha kwa ajili ya mambo mengine badala yake wewe ukanywea pombe? Akajibu hapana.

Hili la mwisho nikalielekeza kwa ndugu zetu.
3; Kati yetu ni nani amewahi kumnunulia pombe huyu jamaa au kumpatia fedha kwa ajili ya mambo mengine badala yake jamaa akanunulia pombe?
Hakuna aliyejitokeza.

Hitimisho langu liliibua ungomvi baina yangu na huyu dogo huku ndugu wengine wakiangua vicheko
Nilimuambia hivi;
WEWE KUNYWA POMBE,JIMWAGIE MPAKA WATENGENEZAJI WACHOKE.
KWANZA SAMAHANI KWA KUKUCHELEWESHA,WEWE NENDA HARAKA UKANYWE POMBEEEEE.
Jamaa aliniambia kuwa "kati ya watu niliokuwa ninawaona wana akili na wananipenda ni wewe,ila kwa ushauri huu HUNIPENDI HATA KIDOGO.

Ukweli ni kuwa alipunguza saaana na huwa simpatii hata ndala zilizo katika.
Ushuhuda wako umenyooka mkuu
 
Msihi sana atumie condom. Wengi tukiwa umri huo tumefanya vituko ila tulikuwa makini sana na condom. Mambo mengine achana naye. Kuna muda utafika atabadilika kwa machozi au ndo atapotea kabisa.
 
Msihi sana atumie condom. Wengi tukiwa umri huo tumefanya vituko ila tulikuwa makini sana na condom. Mambo mengine achana naye. Kuna muda utafika atabadilika kwa machozi au ndo atapotea kabisa.
Asanteeh sana kwa ushauri wako mkuu
 
Back
Top Bottom