Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Aachwe kama alivyo maana vijana wa namna hiyo hawashauriki hadi limkute jamboKwahiyo unashauri tumuache kwa saaa mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aachwe kama alivyo maana vijana wa namna hiyo hawashauriki hadi limkute jamboKwahiyo unashauri tumuache kwa saaa mkuu
Kwanini unawaza hayo?Tatizo mambo yanabadilika mkuu leo anazo ana spend ikifika wakati zimekata na yeye tayari ni mgonja atageukia kwa ndugu kuhitaji msaada
Inakeraga sana aisee,unapomuuguza mtu ambaye chanzo cha tatizo lake unajua kabisa ni sababu alikuwa mtu wa starehe sana.ikiwemo Ulevi na Umalaya.Nawaoneaga huruma sana wanawake jamaa anakuwa mtu wa kutelekeza familia kwa sababu ya ulimbukeni wa nyumba ndogo na starehe halafu akipata tatizo ambalo linahitaji msaada anafukuzwa nyumba ndogo na kurudi kuugulia kwa mke wake wa awali.Halafu unakuta kipato kimekata na matibabu yanahitaji hela nyingi.Mnaanza kusumbuliwa ndugu.Muacheni huko hospital kwan shingapi
Kweli kabisaaa kakaKwanini unawaza hayo?
Yote yanawezekana, anaweza bakia hivyo akabaki na hela zake wewe ndio ukawa mgonjwa ukahitaji msaada wake!
Acheni kuwaza mabaya kwa wenzenu. ISHI MAISHA YAKO!!
Huyoo hajielewiiiiInakeraga sana aisee,unapomuuguza mtu ambaye chanzo cha tatizo lake unajua kabisa ni sababu alikuwa mtu wa starehe sana.ikiwemo Ulevi na Umalaya.Nawaoneaga huruma sana wanawake jamaa anakuwa mtu wa kutelekeza familia kwa sababu ya ulimbukeni wa nyumba ndogo na starehe halafu akipata tatizo ambalo linahitaji msaada anafukuzwa nyumba ndogo na kurudi kuugulia kwa mke wake wa awali.Halafu unakuta kipato kimekata na matibabu yanahitaji hela nyingi.Mnaanza kusumbuliwa ndugu.
Dah una hoja mkuu lakini napata wakati mgumu kuikubali maana dunia ya sasa ukiendekeza hayo matokeo yake ni mabayaKwanini unawaza hayo?
Yote yanawezekana, anaweza bakia hivyo akabaki na hela zake wewe ndio ukawa mgonjwa ukahitaji msaada wake!
Acheni kuwaza mabaya kwa
Mtu yeyote aliebobea ktk idara hii hua hashaurikiWewe ni kaka au dada una mtoto wako wa kiume 20’s anafanya kazi na anaishi kwake (amepanga) lakini unaona anatumia pesa nyingi ku spend na madem na starehe mbalimbali, je utamshauri nini au utamuacha
Huyoo hajielewiii
Sawa mkuu siku zote ulimwengu haujawahi kukoseaMtu yeyote aliebibea ktk idara hii hua hashauriki
Uachie ulimwengu tafadhari utampa darasa kamili
Sawa mkuu siku zote ulimwengu haujawahi kukosea
Hapo ndo tatizo linapoanziaSema sasa wakati huo ulimwengu unatoa darasa, anakua keshageuka mzigo kwa familia
Mwache dogo ale maisha bwana!Wewe ni kaka au dada una mtoto wako wa kiume 20’s anafanya kazi na anaishi kwake (amepanga) lakini unaona anatumia pesa nyingi ku spend na madem na starehe mbalimbali, je utamshauri nini au utamuacha
Aongeze mademu kuzidi idadi ya mademu alionao Mswati IIIWewe ni kaka au dada una mtoto wako wa kiume 20’s anafanya kazi na anaishi kwake (amepanga) lakini unaona anatumia pesa nyingi ku spend na madem na starehe mbalimbali, je utamshauri nini au utamuacha
Mkuu unasema kirahisiAonge
Aongeze mademu kuzidi idadi ya mademu alionao Mswati III
Kuna muda utafika wa maisha kumla yeye mkuuMwache dogo ale maisha bwana!
Kwani hukusikia ile methali ya asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na Ulimwengu?Kuna muda utafika wa maisha kumla yeye mkuu
Hakika ni hivyo mkuuKwani hukusikia ile methali ya asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na Ulimwengu?
Kwanini asioe mapema?Ntamshauri aendelee ila asiwekeze kamwe kwa hao madem, tena asijerogwa akaoa mapema❌❌❌
Atumie tu kwa starehe zake/zao ila asiingize huruma kwao tena aepuke asijetegeshewa mimba
Mwache kwanza Ulimwengu umfundishe!Hakika ni hivyo mkuu
Huo pia ni ushauri mkuu ila vijana wa sasa hawataki kusikia hiloKwanini asioe mapema?
Ni kweli utamfundisha lakini hofu yangu ni kuja kusumbua ndugu baadaeMwache kwanza Ulimwengu umfundishe!