Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh mkuu mdogo wako unaweza kumwambia hivyoPonda mali kufa kwaja !
Ni maisha yake kweli lakini nahofia asije akasumbua baadae mambo yakianza kwenda komboSasa sindio maisha yake unamshauri nn tena
Ndio mpango mzima, Maisha ni sasa hakuna aliyeahidiwa keshoDuh mkuu mdogo wako unaweza kumwambia hivyo
Asije akatusumbua baadaye! akishaanza kukohoa kohoa.hatuta omba ruhusa ya kazini kwetu kuja kumsindiza hospital.Wewe ni kaka au dada una mtoto wako wa kiume 20’s anafanya kazi na anaishi kwake (amepanga) lakini unaona anatumia pesa nyingi ku spend na madem na starehe mbalimbali, je utamshauri nini au utamuacha
Asumbue na nn kwan wewe ndio umemzaa kaka si na wewe una maisha yakoNi maisha yake kweli lakini nahofia asije akasumbua baadae mambo yakianza kwenda kombo
Muacheni huko hospital kwan shingapiAsije akatusumbua baadaye! akishaanza kukohoa kohoa.hatuta omba ruhusa ya kazini kwetu kuja kumsindiza hospital.
Unasema tuh mkuu sio rahisi hivyoMuacheni huko hospital kwan shingapi
Hakika ni hivyo mkuuNitampa tu tahadhari, kwamba akikwama huko mbeleni asinisumbue...
Tatizo mambo yanabadilika mkuu leo anazo ana spend ikifika wakati zimekata na yeye tayari ni mgonja atageukia kwa ndugu kuhitaji msaadaHizo hela unamsaidia kutafuta?
Mwenye hela hana uchungu kuzitumia wewe usiyezitafuta unaumia
Upo sahihi mkuuAsije akatusumbua baadaye! akishaanza kukohoa kohoa.hatuta omba ruhusa ya kazini kwetu kuja kumsindiza hospital.
Kuna magonjwa mkuu mwishobwa siku atatusumbua
AKIPATA ATAWASHAULI WENGINE WAACHE HIYO TABIAKuna magonjwa mkuu mwishobwa siku atatusumbua
Sio rahisi vp ukiwa bize kuna shidaUnasema tuh mkuu sio rahisi hivyo
Mkuu wewe unaweza kufanya hivyo kwa ndugu yako wa damu?Sio rahisi vp ukiwa bize kuna shida
Ushauri bora kabisaAmche Mungu
Atasumbua ndugu sasa, ila nakuelewa mkuu unachojaribu kusemaAKIPATA ATAWASHAULI WENGINE WAACHE HIYO TABIA