Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaolia ni wanawake wanaume tunafanya maamuzi magumu kunywa sumu,kujinyonga au kujipiga risasiNihurumie nilie kwanza mtani
Jiwe aliwanyoosha, ila hamuachi kumkumbuka.Nyie ndo mnaisoma kisawa sawa
Mlizoea Jiwe saiv kisukari kimepanda
Yule mambo aliyoyafanya ilibidi akapumzike kwanza.Dhambi zilimzidia akanyooka yeye
Hiyo namba 7 ni ushamba wako wewe kutaka kupangia watu Matumizi kwa kununua simu za gharamaHapa ni baadhi ya matendo ya mtu mshamba
Hapa haihitaji elimu kubwa kujua kama huyu mtu ni mpori mpori
1. Kuvaa Yebo na soksi
Hapa usiulize sana
2. Mtu asiyetaka kuongeza lugha ya asili hata kama anaijua
Kuna mtu ni msukuma anasalimiwa mwadila akiwa Dar anajibu salama jua huyu jamaa ni shamba
3. Kusifia ngono na pombe
Mtu mshamba Huwa anaona fahari kusema yeye ni mtaalamu wa ngono.
4. Kuvaa modo
Yaani suruali ya kubana
Kidume kuvaa suruali imebana mapaja ni ushamba namba 1
5 kuvaa Tshirts mbili
Yaani mikono mirefu ndani na mikono nje
6. Kuitazama clip za video tik tok hadharani
Upo kwenye daladala mrembo atoe simu aanze kuitazama vi clip vya kitoto huko mtandaoni
Huyo ni mshamba
7. Kutumia simu za itel, Infinix na Tecno
Simu zote zilizo duniani na za bei nafuu ndo tukutane na mtu ana aina ya simu hizo usijiulize sana huyo ni mshamba tu
8. Kuhofia kula
Mtu anakaribishwa msosi anakula kama mtoto anabakiza msosi wote, huu ni ushamba
9. Kutokuheshimu taratibu
Watu wapo foleni labda benki jitu lenyewe linajipa ubora liwe la kwanza hilo lishamba
10. Kuamini Mungu hayupo
Mtu mshamba unapumua Kwa Rehema za Mungu halafu unajawa kibri unasema Mungu hayupo hakika wewe ni hayawani na mshamba mkubwa
11.kuteka na kuwa watu ni ushamba.
Ni ushamba namba 1 unaagizwa kumuuwa Mtanganyika mwenzako na unafanya hiyo dhambi.
Huo ushamba utatafuna wewe na kizao chako
12. Kuiba kura ni ushamba
Akudhulumu Imani ya watu Kwa kiongozi wao na kumleta kiongozi asiyetakiwa ni ushamba pia
Taja matendo ya kishamba
Ni mpumbavu pia ndiyo maana anajutia huko aliko na kashfa alizonazo.Vp kuhusu p.diddy
Nakutambua kama binti kwa sababu ya ID yako 'Ninaweza'.Kwanini binti na si vinginevyo?.....hebu tufikirie pamoja.
JULIUS Nyerere HEP.Muasisi wa wizi wa kura
Kutekwa kuwa watu
Kupoteza watu
Kufunga biashara za watu
Visa na visasi binafsi
Dikteta uchwara
Poa poaTutarudi imara zaidi
Used au mpya?Sio gharama simu laki 3 unapata tambo la maana
Hayo yote hayanA maana, kama anaumwa Raia wemaJULIUS Nyerere HEP.
SGR,
Ubungo Interchange.
Ndege za ATCL.
Vivuko.
Meli,
Airport.
Madaraja, - Kigongo busisi.
Nidhamu kwenye utumishi wa umma.
Matumizi ya kiswahili kwenye mahakama.
Kuukataa utapeli wa Covid.
Mambo mengi muda mchache.
Panua fikra ndugu...... Ni kwakuwa upo kwenye jamii ya inayowezesha wana awake..... otherwise ni binadamu Ke na me wenye haki sawa!.... Hata za majina?Nakutambua kama binti kwa sababu ya ID yako 'Ninaweza'.
Si unajua wanawake waki wezeshwa wanaweza?
Asante kwa kunifungua akili ndugu. Ila ile coment yako ya Kwanza niliipenda bure, yaani ingekuwa inauzwa sokoni ningeinunua.Panua fikra ndugu...... Ni kwakuwa upo kwenye jamii ya inayowezesha wana awake..... otherwise ni binadamu Ke na me wenye haki sawa!.... Hata za majina?
Hapa duniani hakuna kosa au usahihi bali tafsiri.