Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo wewe kwa kuleta hii tafsiri ndio hujakariri sio?Umekarir vibaya ushamba wa kushangaza,hata kumteka mtu na kumshambulia Kwa risas Kwa kua hawazi kama ww unavyowaza ni ushamba pia
Kwanini binti na si vinginevyo?.....hebu tufikirie pamoja.Binti kwa hiki ulichosema njoo pm tuyajenge., ......kwanini binti na si vinginevyo?.
Hela haitangazwi dogo, hela inajionesha.binti mshamba wewe hupendi hela.
13. Kusikiliza radio wakati mnatazama mechi kwenye televisheniHapa ni baadhi ya matendo ya mtu mshamba
Hapa haihitaji elimu kubwa kujua kama huyu mtu ni mpori mpori
1. Kuvaa Yebo na soksi
Hapa usiulize sana
2. Mtu asiyetaka kuongeza lugha ya asili hata kama anaijua
Kuna mtu ni msukuma anasalimiwa mwadila akiwa Dar anajibu salama jua huyu jamaa ni shamba
3. Kusifia ngono na pombe
Mtu mshamba Huwa anaona fahari kusema yeye ni mtaalamu wa ngono.
4. Kuvaa modo
Yaani suruali ya kubana
Kidume kuvaa suruali imebana mapaja ni ushamba namba 1
5 kuvaa Tshirts mbili
Yaani mikono mirefu ndani na mikono nje
6. Kuitazama clip za video tik tok hadharani
Upo kwenye daladala mrembo atoe simu aanze kuitazama vi clip vya kitoto huko mtandaoni
Huyo ni mshamba
7. Kutumia simu za itel, Infinix na Tecno
Simu zote zilizo duniani na za bei nafuu ndo tukutane na mtu ana aina ya simu hizo usijiulize sana huyo ni mshamba tu
8. Kuhofia kula
Mtu anakaribishwa msosi anakula kama mtoto anabakiza msosi wote, huu ni ushamba
9. Kutokuheshimu taratibu
Watu wapo foleni labda benki jitu lenyewe linajipa ubora liwe la kwanza hilo lishamba
10. Kuamini Mungu hayupo
Mtu mshamba unapumua Kwa Rehema za Mungu halafu unajawa kibri unasema Mungu hayupo hakika wewe ni hayawani na mshamba mkubwa
11.kuteka na kuwa watu ni ushamba.
Ni ushamba namba 1 unaagizwa kumuuwa Mtanganyika mwenzako na unafanya hiyo dhambi.
Huo ushamba utatafuna wewe na kizao chako
12. Kuiba kura ni ushamba
Akudhulumu Imani ya watu Kwa kiongozi wao na kumleta kiongozi asiyetakiwa ni ushamba pia
Taja matendo ya kishamba
Mbona umeogopa sana mkuu😆😆Huko sipo
SIMBA haihitaji kusifiwaIla kuisifia Simba ndo ushamba zaidi
mwanaume kutumia iPhone..Hapa ni baadhi ya matendo ya mtu mshamba
Hapa haihitaji elimu kubwa kujua kama huyu mtu ni mpori mpori
1. Kuvaa Yebo na soksi
Hapa usiulize sana
2. Mtu asiyetaka kuongeza lugha ya asili hata kama anaijua
Kuna mtu ni msukuma anasalimiwa mwadila akiwa Dar anajibu salama jua huyu jamaa ni shamba
3. Kusifia ngono na pombe
Mtu mshamba Huwa anaona fahari kusema yeye ni mtaalamu wa ngono.
4. Kuvaa modo
Yaani suruali ya kubana
Kidume kuvaa suruali imebana mapaja ni ushamba namba 1
5 kuvaa Tshirts mbili
Yaani mikono mirefu ndani na mikono nje
6. Kuitazama clip za video tik tok hadharani
Upo kwenye daladala mrembo atoe simu aanze kuitazama vi clip vya kitoto huko mtandaoni
Huyo ni mshamba
7. Kutumia simu za itel, Infinix na Tecno
Simu zote zilizo duniani na za bei nafuu ndo tukutane na mtu ana aina ya simu hizo usijiulize sana huyo ni mshamba tu
8. Kuhofia kula
Mtu anakaribishwa msosi anakula kama mtoto anabakiza msosi wote, huu ni ushamba
9. Kutokuheshimu taratibu
Watu wapo foleni labda benki jitu lenyewe linajipa ubora liwe la kwanza hilo lishamba
10. Kuamini Mungu hayupo
Mtu mshamba unapumua Kwa Rehema za Mungu halafu unajawa kibri unasema Mungu hayupo hakika wewe ni hayawani na mshamba mkubwa
11.kuteka na kuwa watu ni ushamba.
Ni ushamba namba 1 unaagizwa kumuuwa Mtanganyika mwenzako na unafanya hiyo dhambi.
Huo ushamba utatafuna wewe na kizao chako
12. Kuiba kura ni ushamba
Akudhulumu Imani ya watu Kwa kiongozi wao na kumleta kiongozi asiyetakiwa ni ushamba pia
Taja matendo ya kishamba
Ulipo tupo,mbaya zaidi mimi na wewe tupo mkoa mmojaMtaniuwaa
Huo ni ujanja.Kuikataa CCM ya Sasa
Kisa ulikuwa CCM ya mwendazake
Kama ni hivyo 99% ya wadada ni washamba kwasababu wengi wao wananunulika kwa pesa🤔Hela haitangazwi dogo, hela inajionesha.
Ubaya pesa hainunui classy, mshamba atabaki kuwa mshamba tu hata kama ana pesa.
Wacha muisome namba.CCM ni Ile ile