Utamtambuaje mtu mshamba ( mpori mpori) Kwa matendo

Utamtambuaje mtu mshamba ( mpori mpori) Kwa matendo

Hapa ni baadhi ya matendo ya mtu mshamba
Hapa haihitaji elimu kubwa kujua kama huyu mtu ni mpori mpori

1. Kuvaa Yebo na soksi
Hapa usiulize sana

2. Mtu asiyetaka kuongeza lugha ya asili hata kama anaijua
Kuna mtu ni msukuma anasalimiwa mwadila akiwa Dar anajibu salama jua huyu jamaa ni shamba

3. Kusifia ngono na pombe
Mtu mshamba Huwa anaona fahari kusema yeye ni mtaalamu wa ngono.

4. Kuvaa modo
Yaani suruali ya kubana
Kidume kuvaa suruali imebana mapaja ni ushamba namba 1

5 kuvaa Tshirts mbili
Yaani mikono mirefu ndani na mikono nje

6. Kuitazama clip za video tik tok hadharani
Upo kwenye daladala mrembo atoe simu aanze kuitazama vi clip vya kitoto huko mtandaoni
Huyo ni mshamba

7. Kutumia simu za itel, Infinix na Tecno
Simu zote zilizo duniani na za bei nafuu ndo tukutane na mtu ana aina ya simu hizo usijiulize sana huyo ni mshamba tu

8. Kuhofia kula
Mtu anakaribishwa msosi anakula kama mtoto anabakiza msosi wote, huu ni ushamba

9. Kutokuheshimu taratibu
Watu wapo foleni labda benki jitu lenyewe linajipa ubora liwe la kwanza hilo lishamba

10. Kuamini Mungu hayupo
Mtu mshamba unapumua Kwa Rehema za Mungu halafu unajawa kibri unasema Mungu hayupo hakika wewe ni hayawani na mshamba mkubwa

11.kuteka na kuwa watu ni ushamba.
Ni ushamba namba 1 unaagizwa kumuuwa Mtanganyika mwenzako na unafanya hiyo dhambi.
Huo ushamba utatafuna wewe na kizao chako

12. Kuiba kura ni ushamba
Akudhulumu Imani ya watu Kwa kiongozi wao na kumleta kiongozi asiyetakiwa ni ushamba pia

Taja matendo ya kishamba
Mshamba anapoweka wazi sifa za washamba.

Haya maisha hayahitaji hasira na umwamba mkuu kila mtu anachagua kuishi apendavyo. Ukiwa mjanja wa jambo fulani unakuwa mshamba wa lingine vilevile na maisha yanaendelea kila mtu anafurahia kivyake.
 
Ushamba ni ile hali ya kushangaa jambo ambalo wenzako wanaliona ni la kawaida tu,ila na wewe ukilizowea basi ule ushamba wako unakua umeishia hapo,

So,kila mtu anaweza kua mshamba kutokana na mazingira husika aliyopo wakati huo au kua na aina ya watu au jamii fulani kwa wakati huo.
Mkuu, unajua unaweza kuwa mshamba ukawaona wengine ndiyo washamba.
HIvyo nakuliana na wewe, ulichoeleza ndiyo maana ya ushamba.
 
Kupakua chakula usoweza kumaliza bali kinabaki na kutupwa ni "ushamba"

Kushabikia mtu/kundi kichawa chawa kisa una maslahi yako hapo ni "ushamba"

Kuleta udini kwenye midahalo hata haihusiani na dini ni "ushamba"

Kujiona kujua kila kitu kwenye majukwaa kama JF yenye GTs kibao ni "ushamba"

Kuwa na papara na kila network pesa platform na kuishia kutapeliwa huku unapewa ushauri wa bure humu jukwaani ni "ushamba"

Kushabikia nyuzi za kichawa humu pia ni "ushamba"
 
Hapa ni baadhi ya matendo ya mtu mshamba
Hapa haihitaji elimu kubwa kujua kama huyu mtu ni mpori mpori

1. Kuvaa Yebo na soksi
Hapa usiulize sana

2. Mtu asiyetaka kuongeza lugha ya asili hata kama anaijua
Kuna mtu ni msukuma anasalimiwa mwadila akiwa Dar anajibu salama jua huyu jamaa ni shamba

3. Kusifia ngono na pombe
Mtu mshamba Huwa anaona fahari kusema yeye ni mtaalamu wa ngono.

4. Kuvaa modo
Yaani suruali ya kubana
Kidume kuvaa suruali imebana mapaja ni ushamba namba 1

5 kuvaa Tshirts mbili
Yaani mikono mirefu ndani na mikono nje

6. Kuitazama clip za video tik tok hadharani
Upo kwenye daladala mrembo atoe simu aanze kuitazama vi clip vya kitoto huko mtandaoni
Huyo ni mshamba

7. Kutumia simu za itel, Infinix na Tecno
Simu zote zilizo duniani na za bei nafuu ndo tukutane na mtu ana aina ya simu hizo usijiulize sana huyo ni mshamba tu

8. Kuhofia kula
Mtu anakaribishwa msosi anakula kama mtoto anabakiza msosi wote, huu ni ushamba

9. Kutokuheshimu taratibu
Watu wapo foleni labda benki jitu lenyewe linajipa ubora liwe la kwanza hilo lishamba

10. Kuamini Mungu hayupo
Mtu mshamba unapumua Kwa Rehema za Mungu halafu unajawa kibri unasema Mungu hayupo hakika wewe ni hayawani na mshamba mkubwa

11.kuteka na kuwa watu ni ushamba.
Ni ushamba namba 1 unaagizwa kumuuwa Mtanganyika mwenzako na unafanya hiyo dhambi.
Huo ushamba utatafuna wewe na kizao chako

12. Kuiba kura ni ushamba
Akudhulumu Imani ya watu Kwa kiongozi wao na kumleta kiongozi asiyetakiwa ni ushamba pia

Taja matendo ya kishamba
pepe.jpeg
kim.png

hata enzi zetu mimi na marehemu pepe kale mlipoanza vaa haya masuruali yenu ambayo hayaiti model tulikuwa tunaona mnavaa visuruali vinabana. kim tu ndo anawakilisha
 
Back
Top Bottom