Utamtambuaje mtu mshamba ( mpori mpori) Kwa matendo

Hiyo namba 7 ni ushamba wako wewe kutaka kupangia watu Matumizi kwa kununua simu za gharama
 
Yule mambo aliyoyafanya ilibidi akapumzike kwanza.
Muasisi wa wizi wa kura
Kutekwa kuwa watu
Kupoteza watu
Kufunga biashara za watu
Visa na visasi binafsi

Dikteta uchwara
 
Muasisi wa wizi wa kura
Kutekwa kuwa watu
Kupoteza watu
Kufunga biashara za watu
Visa na visasi binafsi

Dikteta uchwara
JULIUS Nyerere HEP.

SGR,

Ubungo Interchange.

Ndege za ATCL.

Vivuko.

Meli,

Airport.

Madaraja, - Kigongo busisi.

Nidhamu kwenye utumishi wa umma.

Matumizi ya kiswahili kwenye mahakama.

Kuukataa utapeli wa Covid.

Mambo mengi muda mchache.
 
JULIUS Nyerere HEP.

SGR,

Ubungo Interchange.

Ndege za ATCL.

Vivuko.

Meli,

Airport.

Madaraja, - Kigongo busisi.

Nidhamu kwenye utumishi wa umma.

Matumizi ya kiswahili kwenye mahakama.

Kuukataa utapeli wa Covid.

Mambo mengi muda mchache.
Hayo yote hayanA maana, kama anaumwa Raia wema
Any way R I P kwake
 
Panua fikra ndugu...... Ni kwakuwa upo kwenye jamii ya inayowezesha wana awake..... otherwise ni binadamu Ke na me wenye haki sawa!.... Hata za majina?
Asante kwa kunifungua akili ndugu. Ila ile coment yako ya Kwanza niliipenda bure, yaani ingekuwa inauzwa sokoni ningeinunua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…