Utamtambuaje mvuta bhangi? I mean mtumiaji wa ndumu

Utamtambuaje mvuta bhangi? I mean mtumiaji wa ndumu

Broo acha kunikumbusha kipindi nasoma j/burg bange ilikolea sana niliachishwa baada ya kupata demu mfaransa ambaye ni wifi yako mtarajiwa mama kijacho
Hiyo jozi nadhani asilimia 90 ya vijana wanavuta bange kutia ndani wasichana so poa mzee watu bangi wanailewa sana
 
Hiyo jozi nadhani asilimia 90 ya vijana wanavuta bange kutia ndani wasichana so poa mzee watu bangi wanailewa sana
Demu alinifanyia counseling mkuu hadi nikajiona fara ndio nikaacha mzee
 
60aea42e0cf8372f4b9fe664e1a351e7.jpg
 
Alafu nimesahau swali uliouliza niko high sana nadhani, wapiga holy herb huwa ni wacheshi sana haswa anapotoka kipiga kitu pia appetite ya kula inakuwa iko juu sana wengine tunakuwa tupo active kwenye kila kitu
 
Back
Top Bottom