Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 9,980
- 34,404
Utanigombanisha na ndugu yangu wewe..Nitetee tu shem! Nasikia mtaniweka mtu kati!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utanigombanisha na ndugu yangu wewe..Nitetee tu shem! Nasikia mtaniweka mtu kati!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Wewe si ndio huwa mtetezi wake eeh!! Ntawapeleka kule msituni mlikokuwa mnapanga kwenda.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Local zinajaza tumbo.Eeh anajipigilia heineken anajifanya za local hanywagi![emoji28]
Eti haya ma local sina imani nayo huenda yana kipindu pindu haya😅[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Local zinajaza tumbo.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Eti haya ma local sina imani nayo huenda yana kipindu pindu haya[emoji28]
CV yangu saaafi kabisa, haina makando kando.Naendelea kupitia CV yako kwa ukaribu[emoji28]
Mie hela yangu ya safari mnipe, nina matumizi nayo then muende wenyewe.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kasema December anatupeleka wote[emoji126]
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]Mie hela yangu ya safari mnipe, nina matumizi nayo then muende wenyewe.
Vipi tena[emoji2369][emoji2369][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Huendi Magoroto?Vipi tena[emoji2369][emoji2369]
Siendi.Huendi Magoroto?
[emoji23][emoji23] bhana wee wengn yashatukuta hayaWengine wanaigiza ili ufuate taratibu zote umuweke ndani kisha yajayo.........
Tahadhari na umakini ni muhimu sana
Aahh unaletaje utani kwa mambo kama Haya ona sasa nishakunywa, ungeniambia mapema kuwa ulikuwa unanitania daah.Mweeh! Hutaniwi[emoji2297][emoji2297]
Ma Mkubwa [emoji16][emoji16] [emoji125][emoji125]Dogo!!!![emoji2]
Aahh sasa mnasubiri nini Kuwawowa haoYupo bana aisee tena usukuman wapo wengi sana
Kwa Kweli[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Local zinajaza tumbo.