Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #61
Wengi huwa tunafikiria kesho, bila kujua na leo pia ni siku tunatakiwa kuiishi.Umenikumbusha Ile stori ya kweli kabisa ya Masai aliyechimbia Mamilioni pale Kwa mworomboo Chuga halafu akayasahau,Hadi waliokuwa wanachimba Barbara walivyozikuta huku nusu zikiwa zimeliwa na mchwa.Watu wengi hawajui Bata au Bata haliwajui.
Tatzo lako mgumu kuelewa alafu mwepesi sana kusahauUlishaona wapi, tajiri akaajiriwa mjukuu wangu? refer 'Forbes'
Kwa nini mkuu?Tatzo lako mgumu kuelewa alafu mwepesi sana kusahau
Kweli mkuu huyu Masai ukute hata kula yake alikuwa anakula viazi na mahindi yakuchemshaWengi huwa tunafikiria kesho, bila kujua na leo pia ni siku tunatakiwa kuiishi.
Haujaelewa nilichosema kamandaKwa nini mkuu?
Mkuu kwa mantiki hiyo hata hela yangu nikiiona ndogo kuna mwingine anaiona kubwa. Kila mtu anamahitaji yake kulingana na nafsi yake. Kuna mtu ataenda Zanzibar au Manyara na kuna mtu ataenda Santorini, Mykonos na Bali hao wote wametimiza yale mahitaji yao kulingana na vile nafsi yao inavyotakaKuvaa vizuri kukoje, kula vizuri kukoje, pisi kali zikoje? Hayo yote uliyoorodhesha ni definition ya mtu. Pisi kali kwako kwa mwingine mbovu.
Namaanisha tusijisahau mkuu kwasababu kuna leo na kesho.Future yako ni ipi ndani ya miaka 70 ya kuishi hapa duniani?