Utamwambia vipi mwanaume kuwa hajawahi kukufikisha kileleni bila kumfanya ajisikie vibaya?

Ni kweli usemayo ila binti anasema alikua anafikishwa vizuri tu na ex wake.
Pia huyu mwanaume wkt wanaanzana na binti alilalamika kuwa ex galfriend wake alikua analalamika.kutoridhishwa kitandan koas cha kumkashifu na kumuita mwanamke mwenzie.

Binti tumekubaliana amuache
 
 
Si ajabu hata yeye hajui akifanyiwa nini ndo anafika kileleni. Ni mindset tu aliyojijengea kwa huyo mpenzi wake.

Kwamba jamaa anapiga kama kuku au niaje?
Binti anadai kuna siku alimuomba jamaa amuandae kwanza ila jamaa akakataa akaingiza hivyo hivyo aka pump kwa dkk kadhaa jamaa akakojoa wakalala na hawakurudia tena mpaka panakucha wakaagana
 
Mwambie huyo rafiki yako au kama ni wewe umejificha, kufika kileleni kupo hivi;
1. Lazima umpende hasa huyo mwanaume, na hisia zako ziwe za juu. Uwe na hisia nae kali.
Kama Huna ama unalazimisha hisia hutafika kamwe.

2. Wewe mwanamke uwe malaya kitandani, maana yangu kuwa muwazi unapenda staili gani? Unyonye wapi? Ung'atwe wapi? Jiachie kimwili na kiakili. Control game

3. Tambua kuwa kufika kileleni kunatofautiana. Si kila mwanamke anarusha maji au anamwaga maji. Wengine uke unazidi kubana, wengine wanazima n.k

Ushauri
Mnapoingia uwanjani achen mawazo yote fikra ziwe kwenye game tu. Pia mbadilishe uwanja mara kwa mara. Na hata kuanza kuwe kuna badilika, sio kila siku kuanza denda kisha kunyonya ziwa.
Akili itakuwa inajiandaa kuwa kinachofuata ni hiki kunaondoa mvuto.
 
Kumpenda anampenda na binti sio wale wenye stress za vicoba wala madeni.Kabarikiwa maisha stress pekee alinazo ni za kutoridhishwa na mtu wake tu.

Sasa mtu ambae kila wakukutana anadai amechoka na hata foreplay hakuna ndo utamletea pigo za umalaya wa chumbani?
 
no
 
Huyu anadai mtu wake wa zamani alikua anamfikisha
 
Hiyo industry ngumu, wewe tafuta pesa mengine huwa wanapotezea toka enzi hawa watu hawatakiwi wafurahi Sana sababu wakituliza hiyo mambo wanaanzisha vita nyingine.
I don't get you
 
Kumbe kilele anakijua!
Aende kwa aliyefika naye
 
Binti anadai kuna siku alimuomba jamaa amuandae kwanza ila jamaa akakataa akaingiza hivyo hivyo aka pump kwa dkk kadhaa jamaa akakojoa wakalala na hawakurudia tena mpaka panakucha wakaagana
Sasa hayo si mapenzi ya wanyama kabisa. Na huyo ex wake nae alikua hivyo hivyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…