Utamwambia vipi mwanaume kuwa hajawahi kukufikisha kileleni bila kumfanya ajisikie vibaya?

Utamwambia vipi mwanaume kuwa hajawahi kukufikisha kileleni bila kumfanya ajisikie vibaya?

asiogope! Kama wanapendana kweli kabisa, anaweza tumia lugha nyepesi ya kirafiki ( kama mapenzi yao yalishawai fikia stage ya kuwa marafiki na washkaji ).. na asitake zungunza yote siku moja, inaweza leta lingine.. kila siku aongea jambo machache katika lugha nyepesi , laini na iliyojawa na huba zito na upendo.. 🥴🥴🥴.. iwe kitu cha muendelezo.. asitake tapika kila kitu siku moja ataharibu..
Ujue mkuu genye za muda mrefu ni ugonjwa ee?
Sasa huyu binti yuko veery unstable na hiyo imedhoofisha mahusano yao coz jamaa anaona binti amekua na vitabia vya ajabu.
Natamani ningeweza kuongea na huyo shem wetu atafute jinsi yakumridhisha mwanamke wake mana hakika binti anampenda sana mtu wake na shem akimpoteza huyu binti anaweza asipate tena binti wa hivi.Ni binti mtulivu mwenye kuzingatia maisha yake tofauti na wanawake wengi wa kisasa ila kwa ninavyoona sijui kama hilo penzi litasalimika.
asiogope! Kama wanapendana kweli kabisa, anaweza tumia lugha nyepesi ya kirafiki ( kama mapenzi yao yalishawai fikia stage ya kuwa marafiki na washkaji ).. na asitake zungunza yote siku moja, inaweza leta lingine.. kila siku aongea jambo machache katika lugha nyepesi , laini na iliyojawa na huba zito na upendo.. 🥴🥴🥴.. iwe kitu cha muendelezo.. asitake tapika kila kitu siku moja ataharibu..
 
Ujue mkuu genye za muda mrefu ni ugonjwa ee?
Sasa huyu binti yuko veery unstable na hiyo imedhoofisha mahusano yao coz jamaa anaona binti amekua na vitabia vya ajabu.
Natamani ningeweza kuongea na huyo shem wetu atafute jinsi yakumridhisha mwanamke wake mana hakika binti anampenda sana mtu wake na shem akimpoteza huyu binti anaweza asipate tena binti wa hivi.Ni binti mtulivu mwenye kuzingatia maisha yake tofauti na wanawake wengi wa kisasa ila kwa ninavyoona sijui kama hilo penzi litasalimika.
Binti anampenda sana jamaa.. ni kitu kizuri, ila kazi ya kupenda huwa sio ya mwanamke ni kazi ya mwanaume ( Anae takiwa kupenda ni mwanaume ).. Mwanamke anakuwa na emotion za upendo.. Hapo rahisi kuonekana kama ana vitabia flani visivyo.. kwasababu inaonekana wali ruka hatua.. hawajawai kuwa washkaji, marafiki .. kama wangekuwa washkaji na marafiki jambo rahisi sana hilo.. ila hata kama hawapo hivyo, aende nae mdogo mdogo kwa vitendo.. ajitahidi ku dominate game.. wakati mwingine aanzishe hata challenge za mtifuano kama marafiki ana muandaa mwenzake kimashindano kwa ahadi.. ujue mapenzi bila utani na mizaha na ukatuni yana boa..
 
...mwambie akamchimbie migomba... Amchanganyie kwa chai... Alafu hata hvo...ndo kashamtangaza... Na wewe umemwaga mtama kwetu... Na sis ngoja tukamwage...
 
Ni upuuzi kushindwa kumshirkisha jambo la ndani mtu unayedili nae harafu unakuja humu jf kuomba ushauri,wewe mwelekeze akufanyie Hilo linalokufurahisha. Vijana wa Leo mnashida sana yote ni Kwa sababu ya stori za mitandaoni.
 
Mwanamke hajawahi kushindwa na mwanaume kwenye kupeana utamu. Unajua kwamba hiyo ndio weakness yetu sisi wanaume hizo punani zenu? Unalijua hilo?

Hakuna kipengele tunacholegea wanaume kwa wanawake zetu kama hapo katikati ya mapaja yenu nyie ke zetu. Mwache kwanza amwage Cha kwanza kisha muandaane kwa Cha pili
Hicho cha pili unamuandaa akiwa usingizini?

Ni kimoja then anasema kachoka majukumu then wanalala
 
Kuna binti hapa ananiambia eti amekua kwenye mahusiano kwa mwaka mzima ila kwa kipindi.chote hicho jamaa hajawahi kumkojoza hata mara moja.

Anadai genye za muda mrefu zimesababisha awe frustrated ila anaogopa kwa vile anampenda mtu wake anaogopa akimwambia atajisikia vibaya hasa ukizingatia jamaa anadai ex galfriend wake alikua akimtangaza kuwa ni mwanaume suruali.

Binti anadai hataki kumuumiza jamaa kama alivyoumizwa na ex galfriend ila anatamani jamaa ajue ila hajui amjuze vipi bila kuumiza hisia za kipenzi chake.

Wakuu mie nimeshindwa cha kushauri naomba mnisaidie
Kuna uzi wa FaizaFoxy humu unasema uliza chochote akujibu
 
Back
Top Bottom