Utani wa jad kati ya wanaume wa dar na wa mikoan sijui hata utaisha lini

Utani wa jad kati ya wanaume wa dar na wa mikoan sijui hata utaisha lini

Mwanaume wa dar kazini, mara nyingi huwa mnakaa na mashosti wezu mkipiga stori kiasi kwamba hata akipita panya tu utasikia mkisema..... ''whaaat the hell, panya anafanya tusikae kwa amani hapa'' [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Ww unayekaa na mashosti kisha ukajitambua kama mwanaume mnhhhh jamani sijui kama mnamuelewa huyu
 
Wanaume wa Dar uchumi bana. Hata wakija mikoani mnatambua hilo. Màana full kuabidiwa utadhani kiumbe wa mbinguni
 
Wanaume wa dar ndo tunafanya mnaish huko, kila siku mnalialia tuwatumien hela pumbav zenu
 
umeshaelezewa sababu kulekule kwenye uzi..
Ukileta ubishi na huu uzi tutaaunganisha na nyuzi nyingine zinazohusu Wanaume wa Dar
Bas sawa mkuu wewe ni mtemi lakin sio poa kabisa ujue

Lakin mkuu kwanini kila siku unafuta tu nyuz zangu za wengine hufut
 
Bas sawa mkuu wewe ni mtemi lakin sio poa kabisa ujue

Lakin mkuu kwanini kila siku unafuta tu nyuz zangu za wengine hufut
Nikuelezee mara ngapi uelewe...angalia nyuzi zako zilizofutwa makosa yake ndio ujue
 
Nina mpango wa kwenda dar kutoka mkoani nikae kama mwaka mmoja ivi( kwa special issue)! Na mimi nitakua mwanaume wa dar? Maana kwa kweli sipendi ilo jina kabisaa[emoji16][emoji16]
Kwahiyo unataka kuitwa mwanaume wa dar mtarajiwa?
 
Mutuache n dar yetu , raha tuzipatazo huku hamzipati hata robo huko mikoani
Pamaneni na hali zenu mutuache tule viepe vyetu , pizza na baga watoto wakali wanaojua kuoga na kuvaa vzur
 
Wapambane na hali zao eti? Maana wanapiga kelele ytadhani wamelogwa bana. Mara oh mkija na misiba hamchimbi makaburi utadhani wao ndo hua wanatuchimbia makaburi ya Dar au wanajua huku watu hawafi!afe ndg maiti tuisafirisge kwa mamilioni ya hela halafu manpiga kelele uchimbaji wa shimo futi6 na ww unataka kujiita mwanaume? Kwanza huko makaburini kwenyewe tunakujaga tunawakuta mmejaa tu viroba mifukoni kama sio madebe ya pombr za kienyeji nanyi mnataka kutusema waja ja wa town kweli? Aisee pambaneni na hali zenu tu hakuna jinsi
 
Lakini kazi zote mnazohangaika nazo mikoani hua mnategemea wanaume wa Dar tutengeneze hela ili mlete mizigo yenu mabibo kkoo tandale na temeke. Uchumi wa Tz 60% unashikiliwa na wanaume wa Dar.

Aisee wanaume wa Dar popote mlipo kamata Pepsi moja nakuja kulipa. Nyie ndo mnaompa Zito Kabwe jeuri ya kuchambua takwimu za uchumi. Achana na wanaume wa Dar banaaaa
Tusipo waletea tunavyoliwa wanaume wa kweli, mihogo, magimbi si mtaishia kulendemka kwa kunywa sijui maji ya madafu mara sijui vipweza[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Nikuelezee mara ngapi uelewe...angalia nyuzi zako zilizofutwa makosa yake ndio ujue
Unajua wewe jamaa siku hiz una chuki sana juu yang

Kwanza kwanini ulinipigaga ban ya week tatu wakati ban huwa ni siku tatu
 
Wengi wa wanawake dar ukikutana nao wanasema hawajaolewa sasa najiuliza huko hamna wanaume au ndo Kama kawa hawatosheki!!
 
Chipsi+kuku wa wiki tatu+pweza+biskuti na fanta+kujipodoa+vijins vya kubana makalio+ujuaji wa tuvitu twa hovyo+kuongea ki binti ÷ bashite = mwanaume wa dar!
 
Chipsi+kuku wa wiki tatu+pweza+biskuti na fanta+kujipodoa+vijins vya kubana makalio+ujuaji wa tuvitu twa hovyo+kuongea ki binti ÷ bashite = mwanaume wa dar!
Aisee we jamaa

Kwahiyo hayo yote jibu lake unapata mwanaume wa dar
 
Back
Top Bottom