Utani wa watu ninaoupenda hapa JF pamoja na watu na mada utakazowakuta

kaka Lucas Mwashambwa ephen_ nimeona anaanza kutumiwa vimemo vya kingereza. Unalizungumziaje hili?
Uje dasalama nikupeleke kwao chanika tukaongee na mama yake.
Achana na yule chizi anaandika viingereza vya kukopi utafikiri anamuandikia Barua Rihanna au Beyonce. Mimi naongea lugha na maneno yanayotoka moyoni na siyo yule chizi anakopi utafikiri imla.

Ukichanja Damu yangu unakuta imejaa Upendo na mawazo mazuri kwa ephen.
 
tutamshonea dela la CHADEMAπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mwenyezi Mungu akuongoze katika njia sahihi.
 
Ehee! Sasa sijui ndiyo nimeandika nini!
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Huu mwili ni WA muda mfupi mbinguni tutapewa mwingine mpya hebu tuwe tunakula vizuri ndugu zangu kwenda na mwili mzuri mbinguni hakuna maana πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
The Stress Challenger nina wasiwasi wana undugu na Maghayo
Niliwahi kuleta Uzi Wenye ushahidi wa wazi unaofichua kuwa Maghayo ndio The Stress Challengerr mods wakapita nao .

Kuna siku nyingine sijui alivuta bange Kali ,mwamba alojichanganya ndani ya dakika mbili alipost Uzi mmoja ukiwa na heading , content mpaka maneno ya ndani ya Uzi sawa katika ID mbili za The Stress Challengerr na ya Maghayo , mimi nikamkumbusha na kumuwekea screenshot kuwa huo Uzi ushapost kwa ID ya The Stress Challengerr akastuka na kudai eti The Stress Challengerr anazingua...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…