DOKEZO Utapeli biashara mtandaoni: Shuhuda za watu waliowahi kupigwa na kujuta sana

DOKEZO Utapeli biashara mtandaoni: Shuhuda za watu waliowahi kupigwa na kujuta sana

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kutapeliwa kuna husisha watu wawili tapeli na mtapeliwa (victim).

THE MIND OF A THIEF/ TAPELI

Mtu anaanzaje anzaje kuwa tapeli?

Hii inaanzia utotoni mtoto unampa kila kitu kisa unampenda unanyanganya watoto wenzake pipi unampa mtoto wako kisa ni wako, mtoto ana develop high ego (anaamini kila kitu ni chake hata cha wengine ni chake sababu yeye ni muhimu kuliko wengine) atatumia njia yeyote kukipata

Ukikuta mtoto anapiga wenzake na kupora vya wnzake au sahani la nyama kalikatalia yeye anazuia wenzake wasile wakibeba mnofu anawapokonya hapo jua kuna tapeli au jambazi au fisadi linatengenezwa.

Utapeli sio ugonjwa ni suala la malezi, malezi hujenga tabia na tabia hujenga mazoea na mazoea hujenga patern.

Kwakuliona hilo ndio maana serikali zote duniani zinaunga mkono dini, maana dini hutumika kama silaha ya kurekebisha tabia na kumjengea mtu hofu, kumpenda jirani au mtu yeyote kama unavyopenda nafsi yako, usiibe, usitamani kisicho chako.

UNAWEZAJE KUMBAINI MTU MWENYE VIASHIRIA VYA KITAPELI?

Simple tu, angalia kiasi chake cha ubinafsi kupitia matendo yake, mfano mpo kwenye harusibau semina mmepanga mstari mkachukue cjakula mpo watu 180 na chakula ni cha watu 180 ila kuna mtu aliyekula tayari anarudi tena kupanga mstari tena anajipachika mbele akachukue tena chakula (share ya mtu).

Matapeli smart kuwabaini ni ngumu ni mpaka uwe unajua mchezo mzima ulivyo. Wao hutumia njia mbali mbali kuteka hisia za mtu kama vile kutumia picha ya mwanamke mrembo mitandaoni kisha kuanzisha mahusiano na mlengwa, kukuhadaa kuhusu pesa au vitu.

MATAPELI WANAPATIKANA WAPI?

Matapeli wapo kila sehemu popote pale palipo na watu mfano sokoni, kazini, kwenye siasa, mtandaoni n.k


Ujio wa huduma za fedha mtandaoni umefanya utapeli upige hatua uwe wa kisasa na unaotumia akili zaidi, miaka ya nyuma watu waliuziana mbuzi kwenye gunia minadani, ila sasa utauziwa picha ya mbuzi mtandaoni.

Mshana Jr nisamehe kama nimeenda nje ya uzi wako nitaleta ushuhuda jinsi watu wanavyotapeliwa facebook
 
Punching bag la mchongo
FB_IMG_1735439075897.jpg
 
Hahaha nakumbuka ankori aliagiza bonge la set la mahotpot makubwa ya kufanya servings ya watu 20
Siku mzigo unafika
kumaanisha nini?

Hata msosi wa kinda garten ukiwekwa humo hashibi asilani!
Sema nipo mbali na kwake ningeweka picha yake muenjoy viroja vya hiyo business!

😁😁😁
 
Kibongo bongo nimeagiza saa. Kumbe saa yenyewe walikuwa wanaitumia kujifunzia kurekebisha mwaka wasijue mwaka haureverse, nimeletewa saa inasoma mwaka 2029🤣🤣🤣. Ukibonyeza kabaton ka mwaka inazidi kusonga mbele.

Kwa sisi wapenzi wa saa tayari hii inadosali, siwezi ivaa
B7439E02-74CA-4B1B-AB01-DA680F8D2D39.jpeg
 
Kutapeliwa kuna husisha watu wawili tapeli na mtapeliwa (victim).

THE MIND OF A THIEF/ TAPELI

Mtu anaanzaje anzaje kuwa tapeli?

Hii inaanzia utotoni mtoto unampa kila kitu kisa unampenda unanyanganya watoto wenzake pipi unampa mtoto wako kisa ni wako, mtoto ana develop high ego (anaamini kila kitu ni chake hata cha wengine ni chake sababu yeye ni muhimu kuliko wengine) atatumia njia yeyote kukipata

Ukikuta mtoto anapiga wenzake na kupora vya wnzake au sahani la nyama kalikatalia yeye anazuia wenzake wasile wakibeba mnofu anawapokonya hapo jua kuna tapeli au jambazi au fisadi linatengenezwa.

Utapeli sio ugonjwa ni suala la malezi, malezi hujenga tabia na tabia hujenga mazoea na mazoea hujenga patern.

Kwakuliona hilo ndio maana serikali zote duniani zinaunga mkono dini, maana dini hutumika kama silaha ya kurekebisha tabia na kumjengea mtu hofu, kumpenda jirani au mtu yeyote kama unavyopenda nafsi yako, usiibe, usitamani kisicho chako.

UNAWEZAJE KUMBAINI MTU MWENYE VIASHIRIA VYA KITAPELI?

Simple tu, angalia kiasi chake cha ubinafsi kupitia matendo yake, mfano mpo kwenye harusibau semina mmepanga mstari mkachukue cjakula mpo watu 180 na chakula ni cha watu 180 ila kuna mtu aliyekula tayari anarudi tena kupanga mstari tena anajipachika mbele akachukue tena chakula (share ya mtu).

Matapeli smart kuwabaini ni ngumu ni mpaka uwe unajua mchezo mzima ulivyo. Wao hutumia njia mbali mbali kuteka hisia za mtu kama vile kutumia picha ya mwanamke mrembo mitandaoni kisha kuanzisha mahusiano na mlengwa, kukuhadaa kuhusu pesa au vitu.

MATAPELI WANAPATIKANA WAPI?

Matapeli wapo kila sehemu popote pale palipo na watu mfano sokoni, kazini, kwenye siasa, mtandaoni n.k


Ujio wa huduma za fedha mtandaoni umefanya utapeli upige hatua uwe wa kisasa na unaotumia akili zaidi, miaka ya nyuma watu waliuziana mbuzi kwenye gunia minadani, ila sasa utauziwa picha ya mbuzi mtandaoni.

Mshana Jr nisamehe kama nimeenda nje ya uzi wako nitaleta ushuhuda jinsi watu wanavyotapeliwa facebook
🚮
 
Kabla hujanunua angalia reviews za seller kwanza, na soma kwa makini title iliyoandikwa kuhusu bidhaa
 
Hahaha nakumbuka ankori aliagiza bonge la set la mahotpot makubwa ya kufanya servings ya watu 20
Siku mzigo unafika
kumaanisha nini?

Hata msosi wa kinda garten ukiwekwa humo hashibi asilani!
Sema nipo mbali na kwake ningeweka picha yake muenjoy viroja vya hiyo business!

😁😁😁
😂😂😂😂 haku file complaint? Maana kuna siku 60 za kafanya hivyo
 
Back
Top Bottom