DOKEZO Utapeli biashara mtandaoni: Shuhuda za watu waliowahi kupigwa na kujuta sana

DOKEZO Utapeli biashara mtandaoni: Shuhuda za watu waliowahi kupigwa na kujuta sana

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Naona nimepata ruhusa yako.
Nilikuwa chuo bhana nikajibana bana wee hela ya kununua laptop nikatumbukiza AIM global..Leonardo anakuambia
"kwa mbili mbili kwa mbili mbili🤣🤣"
Nikaishia kubaki na zile kahawa zao nikasumbuka sana kuziuza 🤣🤣
Tena nakumbuka kuna jamaa alinikamata akasema mimi nauza bangi hadi kunikagua akaona magahawa ya kichina akanichimba biti 🤣🤣 ndio nikajua biashara kumbe inahitaji moyo hivi.
Anyway nikajifunza hakuna pesa rahisi hata siku moja na sasa hivi kutoa hrla yangu kizembe ni ngumu sana.
ALWAYS REMEMBER
"When it sounds too good to be true,then its definitely a LIE"
Anyway nikajifunza hakuna pesa rahisi hata siku moja na sasa hivi kutoa hrla yangu kizembe ni ngumu sana.
ALWAYS REMEMBER
"When it sounds too good to be true,then its definitely a LIE"😀📌🔨
 
  • Thanks
Reactions: apk
Huu uzi nimecheka kama fala mchana nilikua napata lunch mahali daa nusu ugali unipalie mpaka watu wanageuka aisee,

Mzee Baba Mshana Jr hizi idea za nyuzi hua unazitoa ukiwa unatafuna Majani ya Peru au?
😂😂😂
 
Sijawahi kupigwa, nilijifunza kununua vitu mtandaoni hapa kupitia Mwl.RCT, nikaanza kununua AliExpress vitu vidogo kama Mswaki, Pen, vitu vidogo visivyozidi 20K, baada ya hapo hadi leo naagiza chochote from Alibaba, AliExpress na Amazon.
 
Sijawahi kupigwa, nilijifunza vitu mtandaoni hapa kupitia Mwl.RCT, nikaanza kununua AliExpress vitu vidogo kama Mswaki, Pen, vitu vidogo visivyozidi 20K, baada ya hapo hadi leo naagiza chochote from Alibaba, AliExpress na Amazon.
Ukiwa makini kupigwa ni ngumu na wakiikosea oda yako wanakurefund.. Wakigoma unawa report
 
Niliagiza kiatu online,nikatumiwa kakiatu ka ajabu kama kile Cha kuvalisha midoli ya watoto,kibaya zaidi niliiongozana na mpenzi wangu kwenda ofisini kukipokea😭
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nikakuta mabegi ya watoto mazuri kwa muonekano sikusoma details za size siku vinafika ....vibegi vya mdoli😄🙉
 
Ni pole nao sambamba leo, maana naona watu wanajichukulia tu mihela. Hii ni kweli au kuna watu wanapigwa za uso.. wanatoa task kila baada ya dkk 20 unaingiza buku. Group lina watu zaidi ya 1500 lakini walioruhusiwa kuchart ni 160 tu
 
Back
Top Bottom