Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
- Thread starter
- #41
Hmm π₯Ίπ₯Ίπ₯Ίπ€ππΏββNikishatapeliwa humu JF na Infropreneur πππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hmm π₯Ίπ₯Ίπ₯Ίπ€ππΏββNikishatapeliwa humu JF na Infropreneur πππ
Ndio humohumo.. Biashara za FBUkikuta deal ni nzuri sanaaa au kuna kitu kinauzwa lakini ofa ya bei ni nzuri sana/ bei chini kuliko kawaida stuka.
Mfano ukutane na mtu ana iPhone halafu akwambie anauza 50k, bro stukaa(nje ya mada lakini.
Iko mbele ya wakati miaka kadhaa mbeleπ€£Kibongo bongo nimeagiza saa. Kumbe saa yenyewe walikuwa wanaitumia kujifunzia kurekebisha mwaka wasijue mwaka haureverse, nimeletewa saa inasoma mwaka 2029π€£π€£π€£. Ukibonyeza kabaton ka mwaka inazidi kusonga mbele.
Kwa sisi wapenzi wa saa tayari hii inadosali, siwezi ivaa
View attachment 3187547
Jamaa angu aliagiza carpet kisa kaona picha ya carpet imetandikwa nyumba nzima, kitu kilichokuja kilikua kwenye bahasha ya A4 na ilikua ni zile tunaita kanyagio za mlangoni...ogopa sana watu vipimo wanakuandikia kwa MM ukiona 400 unajua kubwa kumbee kitu kizito
Labda aendelee kuibonyeza, ikifika mwisho wa dunia inaeza kuanza moja.Iko mbele ya wakati miaka kadhaa mbeleπ€£
Nadhani alikua hajui kama kuna complaint akacheka na kupotezea tuππππ haku file complaint? Maana kuna siku 60 za kafanya hivyo
Tapeli sana hilo dogo.πππHmm π₯Ίπ₯Ίπ₯Ίπ€ππΏββ
Hahahaa, wakiambiwa wasome hesabu wao wanasema nitazitumia wapi maishani. Wengi wanapigwa kwenye vipimo.Jamaa angu aliagiza carpet kisa kaona picha ya carpet imetandikwa nyumba nzima, kitu kilichokuja kilikua kwenye bahasha ya A4 na ilikua ni zile tunaita kanyagio za mlangoni...ogopa sana watu vipimo wanakuandikia kwa MM ukiona 400 unajua kubwa kumbee kitu kizito