UTAPELI: Hayawi hayawi sasa yamekua: Tayari LBL kimewalamba

UTAPELI: Hayawi hayawi sasa yamekua: Tayari LBL kimewalamba

Kuna mzazi Tanzania? Mmelea watoto kama mayai ya mjusi. Hawabebeki wala hawashikiki. Unajiita mzazi.

Niliwahi kupigwa na mwalimu shuleni. Nikarudi home nimejitwisha mkono umevimba. Nilipomwambia baba, alikata fimbo akaja kunicharaza. Alinambia mambo ya shuleni yanafikaje hapa? Kosa ufanye halafu ulalamikie adhabu.

Tangu siku ile sikuwahi kusema tena. Hao ndo walikuwa wazazi.
Wazazi wa zamani wanampa maelekezo mwalimu , utasikia chapa sana hii ubakishe macho tu
 
hao NETO nafikiri kiongozi wao ni yule aliepata alama 0.00 kwenye matokeo ya usaili
Kabisa, wakati wa usaili hawakuja na hizi kelele ila baada ya kunyooshwa ndo wanakuja kulialia.
Utumishi shikilieni hapo hapo, msiachie.
 
Wajinga ni wale wanaojiunga mwishoni. The first one are very intelligent. I wish I could have known so as to the first.
 
Kuna mzazi Tanzania? Mmelea watoto kama mayai ya mjusi. Hawabebeki wala hawashikiki. Unajiita mzazi.

Niliwahi kupigwa na mwalimu shuleni. Nikarudi home nimejitwisha mkono umevimba. Nilipomwambia baba, alikata fimbo akaja kunicharaza. Alinambia mambo ya shuleni yanafikaje hapa? Kosa ufanye halafu ulalamikie adhabu.

Tangu siku ile sikuwahi kusema tena. Hao ndo walikuwa wazazi.
Mambo yanabadilika mkuu bak na uzaman wako uje uuponze,n kwel zaman tulilelewa ivyo ila now utandawazi mwngi ivyo unaweza jikuta unaishia pabaya,kubal matokeo
 
Back
Top Bottom