The unpaid Seller
JF-Expert Member
- Oct 27, 2019
- 2,113
- 6,251
- Thread starter
- #161
Mkuu najiungaje na kundi la wajinga !! Ebo!Ulijiunga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu najiungaje na kundi la wajinga !! Ebo!Ulijiunga?
Tunasubiri fungu toka Makao Makuu ya LBLView attachment 3248766Walimu walimu hakuna aliyewatuma kuingia kwenye LBL sasa msimalizie hasira kwa watoto wetu.....waharifuu wakubwa nyie
Manyuziiiiii unauliza trako la mbwa wakat kia unaliona?We magical weak makalio yako
Walimu tumeingiaje hapo☹️
Mbona makarisiko 😂😂😂We magical weak makalio yako
Walimu tumeingiaje hapo🙄
Una mtoto au msukule mtoto? Toto blankheaded, chafu na halijitambui. Litakula stick hadi linyooke.😂😂View attachment 3248766Walimu walimu hakuna aliyewatuma kuingia kwenye LBL sasa msimalizie hasira kwa watoto wetu.....waharifuu wakubwa nyie
Piga stick alafu jerui ndo utajua wazaz wapojeUna mtoto au msukule mtoto? Toto blankheaded, chafu na halijitambui. Litakula stick hadi linyooke.😂😂
Madam huna kipindi cha asubuhi?🤣🤣🤣🤣 Mi naenda kutoa exercise kwanza ndo nije nimchambe vizuri🤣We magical weak makalio yako
Walimu tumeingiaje hapo🙄
Sinaga pigo izo za kuimba taarabu😂😂😂Madam huna kipindi cha asubuhi?🤣🤣🤣🤣 Mi naenda kutoa exercise kwanza ndo nije nimchambe vizuri🤣
Nilisikia mmoja kakamatwaItakuwa ndio wale NETO 😂 na wengi wao ni wale ambao hawataki usaili 😂
Dah pole yake, waalimu wangekuwa tayari kwa usaili wasingefika huko ila wao muda wote walishinda mitandaoni kupinga usailiNilisikia mmoja kakamatwa
Kuna mzazi Tanzania? Mmelea watoto kama mayai ya mjusi. Hawabebeki wala hawashikiki. Unajiita mzazi.Piga stick alafu jerui ndo utajua wazaz wapoje