UTAPELI: Hayawi hayawi sasa yamekua: Tayari LBL kimewalamba

Wazazi wa zamani wanampa maelekezo mwalimu , utasikia chapa sana hii ubakishe macho tu
 
hao NETO nafikiri kiongozi wao ni yule aliepata alama 0.00 kwenye matokeo ya usaili
Kabisa, wakati wa usaili hawakuja na hizi kelele ila baada ya kunyooshwa ndo wanakuja kulialia.
Utumishi shikilieni hapo hapo, msiachie.
 
Wajinga ni wale wanaojiunga mwishoni. The first one are very intelligent. I wish I could have known so as to the first.
 
Mambo yanabadilika mkuu bak na uzaman wako uje uuponze,n kwel zaman tulilelewa ivyo ila now utandawazi mwngi ivyo unaweza jikuta unaishia pabaya,kubal matokeo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…