UTAPELI: Hayawi hayawi sasa yamekua: Tayari LBL kimewalamba

Alafu watu wa LbL wote wana kauli moja ukimwambia kaka noma huko utasikia " TUNAPIGA HELA BALAA, AU MTAJI WANGU USHARUDI NAPIGA FAIDA TU" mamaqe inaingia akilini utumie vijivideo ukitazama ulipwe🤣🤣🤣
Walionza mwanzo ni kweli walifanikiwa kurudisha mtaji na wakaendelea kula faida. Hawa jamaa walikuwa na timing wakiingia wengine wanafunika kombe
 
Cc mrangi kuja faster usome huku wabongo hawasikii
 
Hao matapeli ni ccm ndiyo sababu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…