UTAPELI: Hayawi hayawi sasa yamekua: Tayari LBL kimewalamba

UTAPELI: Hayawi hayawi sasa yamekua: Tayari LBL kimewalamba

Alafu watu wa LbL wote wana kauli moja ukimwambia kaka noma huko utasikia " TUNAPIGA HELA BALAA, AU MTAJI WANGU USHARUDI NAPIGA FAIDA TU" mamaqe inaingia akilini utumie vijivideo ukitazama ulipwe🤣🤣🤣
Kwa iyo unamaanisha wajinga ndio waliwao, si ndio😂😂
 

Attachments

  • RPReplay_Final1739992249.mov
    9.6 MB
Niliandika hapa uzi mwezi 11 mwaka Jana 2024 nikiwajuza watu juu ya viashiria vya utapeli wa LBL watu wakanipurua kinyama nikaandika tena mwezi wa 1 mwaka huu 2025 kua watu watoe fedha zao Hilo Ponzi scheme linaenda kuanguka nikashambuliwa tena.

Haya sasa Kiko wapi ?! Hamuwezi tena kutoa fedha Kuna taarifa baadhi ya ofisini zimefungwa, viongozi namba hazipatikani app imeanza kuwatema wadau mmoja baada ya mwingine, unajua huenda Tanzania ndio nchi wenye watu wajinga zaidi duniani. Hasa wanawake Yani wanawake wa kitanzania ni wajinga alafu wabishiiiiii, Kuna mmoja kutwa kucha alikua ananiandama ati nijiunge.

Sio kwamba nchi nyingine hakuna utapeli laa hasha, lakini kuwatapeli waTanzania ni RAHISI SANA hata utapeli wa wazi wazi utawapata tu wakuwatapeli.

Na hata baada ya hii LBL litakuja Ponzi scheme jingine na WENGI watatapeliwa na lingine litakuja na WENGI zaidi watatapeliwa.

Mtu Fulani aliwahi kusema raia wa Tanzania ni maiti ukitulia ukatafakari hamuwezi kumlaumu sana
Acha kufuatilia yasiyokuhusu
 
Ule msemo wa wahenga uliosema "wajinga ndio waliowao" umetimia, tamaa ya kutaka pesa haraka inaendelea kuwatafuna watanzania. Muda sio mrefu tulikuwa na tukio hili hili ila watumejisahau.
 
Back
Top Bottom