Utapeli kwenye dini ni sawa na utapeli kwenye shule hizi za english medium, wazazi stukeni dunia imebadilika,

Utapeli kwenye dini ni sawa na utapeli kwenye shule hizi za english medium, wazazi stukeni dunia imebadilika,

mockers

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2013
Posts
12,843
Reaction score
35,442
Jinsi watu wanavopigwa kwenye hayo makanisa, ndio hizo shule nazo wanavotupiga pesa ndefu,
Shule hizo nyingi tofauti na majengo na kumiliki magari ya njano hawana ule ubora ambao dunia ya sasa inahitaji,
Dunia iko kasi inahitaji sio kiingereza tu, inataka fani, ubunifu na vipaji ili maisha yasonge mbele,
Unalipa ada milioni 5 au 10 halafu product ndani ya miaka 20 mbele ndio unajua ulipigwa,
Mzazi fanya saving ya mtoto, msomeshe shule za wastani tu, halafu baadae mkimbize kwenye fani ajipatie ujuzi utamsaidia mbele ya safari,
Hivi vingereza vingi wanavotuongelea hawa watoto haviwezi kuwakomboa kifikra zaidi ya kujua majina ya movies na aina mbalimbali za games kwenye simu, computer na the like,
Ile pesa ya ada kubwa, nenda kanunue shamba, mpandie miti ya mbao akikua atakuta miti au mifugo atapata pa kuanzia, kwenye maisha, hiyo ndio siri unaona waliosoma darasa la saba hadi form four sio waoga wa maisha, wengine tunastuka mtoto miaka 23 hajiwezi Kwa lolote kama hili zezeta langu hapa yaani anawaza aajiriwe tu hadi inatia hasira, nimepata hasara kubwa basi tu, ningejua mapema haya yasingenikuta.
 
Jinsi watu wanavopigwa kwenye hayo makanisa, ndio hizo shule nazo wanavotupiga pesa ndefu,
Shule hizo nyingi tofauti na majengo na kumiliki magari ya njano hawana ule ubora ambao dunia ya sasa inahitaji,
Dunia iko kasi inahitaji sio kiingereza tu, inataka fani, ubunifu na vipaji ili maisha yasonge mbele,
Unalipa ada milioni 5 au 10 halafu product ndani ya miaka 20 mbele ndio unajua ulipigwa,
Mzazi fanya saving ya mtoto, msomeshe shule za wastani tu, halafu baadae mkimbize kwenye fani ajipatie ujuzi utamsaidia mbele ya safari,
Hivi vingereza vingi wanavotuongelea hawa watoto haviwezi kuwakomboa kifikra zaidi ya kujua majina ya movies na aina mbalimbali za games kwenye simu, computer na the like,
Ile pesa ya ada kubwa, nenda kanunue shamba, mpandie miti ya mbao akikua atakuta miti au mifugo atapata pa kuanzia, kwenye maisha, hiyo ndio siri unaona waliosoma darasa la saba hadi form four sio waoga wa maisha, wengine tunastuka mtoto miaka 23 hajiwezi Kwa lolote kama hili zezeta langu hapa yaani anawaza aajiriwe tu hadi inatia hasira, nimepata hasara kubwa basi tu, ningejua mapema haya yasingenikuta.
Tatizo ni mtoto wako kilaza sio shule wala mwalimu

USSR
 
Jinsi watu wanavopigwa kwenye hayo makanisa, ndio hizo shule nazo wanavotupiga pesa ndefu,
Shule hizo nyingi tofauti na majengo na kumiliki magari ya njano hawana ule ubora ambao dunia ya sasa inahitaji,
Dunia iko kasi inahitaji sio kiingereza tu, inataka fani, ubunifu na vipaji ili maisha yasonge mbele,
Unalipa ada milioni 5 au 10 halafu product ndani ya miaka 20 mbele ndio unajua ulipigwa,
Mzazi fanya saving ya mtoto, msomeshe shule za wastani tu, halafu baadae mkimbize kwenye fani ajipatie ujuzi utamsaidia mbele ya safari,
Hivi vingereza vingi wanavotuongelea hawa watoto haviwezi kuwakomboa kifikra zaidi ya kujua majina ya movies na aina mbalimbali za games kwenye simu, computer na the like,
Ile pesa ya ada kubwa, nenda kanunue shamba, mpandie miti ya mbao akikua atakuta miti au mifugo atapata pa kuanzia, kwenye maisha, hiyo ndio siri unaona waliosoma darasa la saba hadi form four sio waoga wa maisha, wengine tunastuka mtoto miaka 23 hajiwezi Kwa lolote kama hili zezeta langu hapa yaani anawaza aajiriwe tu hadi inatia hasira, nimepata hasara kubwa basi tu, ningejua mapema haya yasingenikuta.
Wazazi wa watoto wanao soma FEZA ,huko ada zinalipwa m 9 - 23, kwa mwaka hawawazi hzo, shida ipo kwenu nyie.
 
Unataka mtoto aweje kama muda wote mnawafungia kwenye mageti na kujifia ndio ushua mwisho wa siku anakuwa na kampani ya mashoga....

Ujue hawa watoto laini laini ukimkazia kwenye kona anakupa mzigo

Nina mwanangu mtoto wa kishua anakiri kuwa nimemchangamsha sana alikuwa boya boya hata mtumba hajui nini au kuandika chenji kwenye meseji hajui.
 
Wazazi wengi wanaamini Elimu ndio mafanikio!
Wanaishia kukopa na madeni Makubwa wakiamini kusomesha shule za bei kubwa ni ufahari pia.
tatizo mama watoto hasa wenye elimu za kuunga unga wakishapata ajira za uwalimu hujiona wao wamependelewa na mungu. Na hawataki watoto wao wapite kule. Kumbe tatizo lilikuwa lao wenyewe kubebeshwa mimba wakiwa O LEVEL
 
Jinsi watu wanavopigwa kwenye hayo makanisa, ndio hizo shule nazo wanavotupiga pesa ndefu,
Shule hizo nyingi tofauti na majengo na kumiliki magari ya njano hawana ule ubora ambao dunia ya sasa inahitaji,
Dunia iko kasi inahitaji sio kiingereza tu, inataka fani, ubunifu na vipaji ili maisha yasonge mbele,
Unalipa ada milioni 5 au 10 halafu product ndani ya miaka 20 mbele ndio unajua ulipigwa,
Mzazi fanya saving ya mtoto, msomeshe shule za wastani tu, halafu baadae mkimbize kwenye fani ajipatie ujuzi utamsaidia mbele ya safari,
Hivi vingereza vingi wanavotuongelea hawa watoto haviwezi kuwakomboa kifikra zaidi ya kujua majina ya movies na aina mbalimbali za games kwenye simu, computer na the like,
Ile pesa ya ada kubwa, nenda kanunue shamba, mpandie miti ya mbao akikua atakuta miti au mifugo atapata pa kuanzia, kwenye maisha, hiyo ndio siri unaona waliosoma darasa la saba hadi form four sio waoga wa maisha, wengine tunastuka mtoto miaka 23 hajiwezi Kwa lolote kama hili zezeta langu hapa yaani anawaza aajiriwe tu hadi inatia hasira, nimepata hasara kubwa basi tu, ningejua mapema haya yasingenikuta.
Peleka mtoto veta alkimaliza darasa la saba utanishukuru

Hizi elimu hamna kitu wazungu walitudanganya

Nimesikia Kuna redio inatangaza addimissiona za chuo "bachelloer in deacon" utapeli mtupu

Nilisoma mitaala mipya ya form 6
Wameweka history, Islamic knowledge ana civics, ujinga mtupu
 
Back
Top Bottom