Utapeli kwenye dini ni sawa na utapeli kwenye shule hizi za english medium, wazazi stukeni dunia imebadilika,

Utapeli kwenye dini ni sawa na utapeli kwenye shule hizi za english medium, wazazi stukeni dunia imebadilika,

Kukubaliana Elimu ni ya umma si bila kujali masikini au tajiri tuje na sera universal juu ya watoto Wetu,

Hi unakumbuka dk alichana mtu mguu badala ya kichwa hapo muhimbili hii inatokana na dhana mbovu ya ubaguzi wa elimu

Kuna wakati aliyesoma kayumba na aliyesoma feza wote wanahudumia jamii

Tukubaliane kama taifa tuje na sera ya elimu universal ambayo itatoa wataalamu competent wanohitajka kwenye jamii
 
Kwenye suala la lugha ni muhimu kuliko unavyofikiri labda kama mnataka kubaki kuwa local.
Lugha mi muhimu.

Lakini muhimu zaidi ji miundombinu kuwa bora ya kuvumbua vipaji na kuwawezesha watoto kufikiri zaidi.

Kila siku tunaongelea China na nchi zingine zilizoendelea kwa kutumia lugha zao mama.

Nawe naomba nikwambie leo kuwa Afrika kuna nchi nyingi za Afrika Magharibi wanaongea Kiingereza na French lakini wapo nyumna kimaendeleo kuliko Afrika Mashariki kwa sababu ya elimu ya mifumo mibovu ya elimu kama yetu.
 
Kukubaliana Elimu ni ya umma si bila kujali masikini au tajiri tuje na sera universal juu ya watoto Wetu,

Hi unakumbuka dk alichana mtu mguu badala ya kichwa hapo muhimbili hii inatokana na dhana mbovu ya ubaguzi wa elimu

Kuna wakati aliyesoma kayumba na aliyesoma feza wote wanahudumia jamii

Tukubaliane kama taifa tuje na sera ya elimu universal ambayo itatoa wataalamu competent wanohitajka kwenye jamii

Kukubaliana Elimu ni ya umma si bila kujali masikini au tajiri tuje na sera universal juu ya watoto Wetu,

Hi unakumbuka dk alichana mtu mguu badala ya kichwa hapo muhimbili hii inatokana na dhana mbovu ya ubaguzi wa elimu

Kuna wakati aliyesoma kayumba na aliyesoma feza wote wanahudumia jamii

Tukubaliane kama taifa tuje na sera ya elimu universal ambayo itatoa wataalamu competent wanohitajka kwenye jamii
Naunga mkono hoja hii.

Kufanya hivyo ni jambo la maana na litaboresha elimu na utendaji kazi.
 
Kama huna mtaji hela unayopata ni ya kula tu. Mf. Ukienda zege unapata 10 utaficha sh. Ngapi kwa ajili ya mtaji....
 
Kama MTU anaweza kulipa Ada ya mil 05-10 kwa mwaka huyu MTU usitegemee akakosa mtaji wa kumfungulia kijana wake biashara.
 
Wazazi wengi wanaamini Elimu ndio mafanikio!
Wanaishia kukopa na madeni Makubwa wakiamini kusomesha shule za bei kubwa ni ufahari pia.
"LET US THINK OF EDUCATION AS THE MEANS OF DEVELOPING OUR GREATEST ABILITIES, BECAUSE IN EACH OF US THERE IS A PRIVATE HOPE AND DREAM WHICH FULFILLED CAN BE TRANSLATED INTO BENEFIT FOR EVERYONE AND GREATER STRENGTH FOR OUR NATION. ONE PERSON CAN MAKE A DIFFERENCE AND EVERYONE SHOULD TRY." JF kennedy
 
Kama MTU anaweza kulipa Ada ya mil 05-10 kwa mwaka huyu MTU usitegemee akakosa mtaji wa kumfungulia kijana wake biashara.
Wakati analipa hizo hela Yuko 50's sasa Kijana amemaliza chuo Yuko 60's kuelekea 70's hela hana tena
 
Jinsi watu wanavopigwa kwenye hayo makanisa, ndio hizo shule nazo wanavotupiga pesa ndefu,
Shule hizo nyingi tofauti na majengo na kumiliki magari ya njano hawana ule ubora ambao dunia ya sasa inahitaji,
Dunia iko kasi inahitaji sio kiingereza tu, inataka fani, ubunifu na vipaji ili maisha yasonge mbele,
Unalipa ada milioni 5 au 10 halafu product ndani ya miaka 20 mbele ndio unajua ulipigwa,
Mzazi fanya saving ya mtoto, msomeshe shule za wastani tu, halafu baadae mkimbize kwenye fani ajipatie ujuzi utamsaidia mbele ya safari,
Hivi vingereza vingi wanavotuongelea hawa watoto haviwezi kuwakomboa kifikra zaidi ya kujua majina ya movies na aina mbalimbali za games kwenye simu, computer na the like,
Ile pesa ya ada kubwa, nenda kanunue shamba, mpandie miti ya mbao akikua atakuta miti au mifugo atapata pa kuanzia, kwenye maisha, hiyo ndio siri unaona waliosoma darasa la saba hadi form four sio waoga wa maisha, wengine tunastuka mtoto miaka 23 hajiwezi Kwa lolote kama hili zezeta langu hapa yaani anawaza aajiriwe tu hadi inatia hasira, nimepata hasara kubwa basi tu, ningejua mapema haya yasingenikuta.
Unafikiri kosa lake au lako ? Ujinga wake au wako ?
 
Yaani mtoto wako mwenyewe unamwita zezeta,atakuwa kaurithi uzezeta kutoka kwako
 
Jinsi watu wanavopigwa kwenye hayo makanisa, ndio hizo shule nazo wanavotupiga pesa ndefu,
Shule hizo nyingi tofauti na majengo na kumiliki magari ya njano hawana ule ubora ambao dunia ya sasa inahitaji,
Dunia iko kasi inahitaji sio kiingereza tu, inataka fani, ubunifu na vipaji ili maisha yasonge mbele,
Unalipa ada milioni 5 au 10 halafu product ndani ya miaka 20 mbele ndio unajua ulipigwa,
Mzazi fanya saving ya mtoto, msomeshe shule za wastani tu, halafu baadae mkimbize kwenye fani ajipatie ujuzi utamsaidia mbele ya safari,
Hivi vingereza vingi wanavotuongelea hawa watoto haviwezi kuwakomboa kifikra zaidi ya kujua majina ya movies na aina mbalimbali za games kwenye simu, computer na the like,
Ile pesa ya ada kubwa, nenda kanunue shamba, mpandie miti ya mbao akikua atakuta miti au mifugo atapata pa kuanzia, kwenye maisha, hiyo ndio siri unaona waliosoma darasa la saba hadi form four sio waoga wa maisha, wengine tunastuka mtoto miaka 23 hajiwezi Kwa lolote kama hili zezeta langu hapa yaani anawaza aajiriwe tu hadi inatia hasira, nimepata hasara kubwa basi tu, ningejua mapema haya yasingenikuta.
Zezeta lako la kiume au la kike😂😂😂😂
 
Jinsi watu wanavopigwa kwenye hayo makanisa, ndio hizo shule nazo wanavotupiga pesa ndefu,
Shule hizo nyingi tofauti na majengo na kumiliki magari ya njano hawana ule ubora ambao dunia ya sasa inahitaji,
Dunia iko kasi inahitaji sio kiingereza tu, inataka fani, ubunifu na vipaji ili maisha yasonge mbele,
Unalipa ada milioni 5 au 10 halafu product ndani ya miaka 20 mbele ndio unajua ulipigwa,
Mzazi fanya saving ya mtoto, msomeshe shule za wastani tu, halafu baadae mkimbize kwenye fani ajipatie ujuzi utamsaidia mbele ya safari,
Hivi vingereza vingi wanavotuongelea hawa watoto haviwezi kuwakomboa kifikra zaidi ya kujua majina ya movies na aina mbalimbali za games kwenye simu, computer na the like,
Ile pesa ya ada kubwa, nenda kanunue shamba, mpandie miti ya mbao akikua atakuta miti au mifugo atapata pa kuanzia, kwenye maisha, hiyo ndio siri unaona waliosoma darasa la saba hadi form four sio waoga wa maisha, wengine tunastuka mtoto miaka 23 hajiwezi Kwa lolote kama hili zezeta langu hapa yaani anawaza aajiriwe tu hadi inatia hasira, nimepata hasara kubwa basi tu, ningejua mapema haya yasingenikuta.
Ohoo! Dady 🤣🤣🤣 ss secondary walikuwa wanatukmbza kwenye languages kuja uku kwenye hesbu za why 4x =8 fnd y=2
 
Ohoo! Dady 🤣🤣🤣 ss secondary walikuwa wanatukmbza kwenye languages kuja uku kwenye hesbu za why 4x =8 fnd y=2
Duniani hesabu muhimu ni kujumlisha, kutoa, kugawana, na kuzidisha, progression, probability, simultaneous, unaweza kufa hujakutana nazo kwenye husle zako zote
 
Tatizo linaanzia kwenye mentality ya kwamba Elimu ya darasani inaleta mafanikio makubwa (pesa)
 
Jinsi watu wanavopigwa kwenye hayo makanisa, ndio hizo shule nazo wanavotupiga pesa ndefu,
Shule hizo nyingi tofauti na majengo na kumiliki magari ya njano hawana ule ubora ambao dunia ya sasa inahitaji,
Dunia iko kasi inahitaji sio kiingereza tu, inataka fani, ubunifu na vipaji ili maisha yasonge mbele,
Unalipa ada milioni 5 au 10 halafu product ndani ya miaka 20 mbele ndio unajua ulipigwa,
Mzazi fanya saving ya mtoto, msomeshe shule za wastani tu, halafu baadae mkimbize kwenye fani ajipatie ujuzi utamsaidia mbele ya safari,
Hivi vingereza vingi wanavotuongelea hawa watoto haviwezi kuwakomboa kifikra zaidi ya kujua majina ya movies na aina mbalimbali za games kwenye simu, computer na the like,
Ile pesa ya ada kubwa, nenda kanunue shamba, mpandie miti ya mbao akikua atakuta miti au mifugo atapata pa kuanzia, kwenye maisha, hiyo ndio siri unaona waliosoma darasa la saba hadi form four sio waoga wa maisha, wengine tunastuka mtoto miaka 23 hajiwezi Kwa lolote kama hili zezeta langu hapa yaani anawaza aajiriwe tu hadi inatia hasira, nimepata hasara kubwa basi tu, ningejua mapema haya yasingenikuta.
Unalipa 3M mtoto akasome a e I o u?
Acha mpigwe tu
 
Ohoo! Dady 🤣🤣🤣 ss secondary walikuwa wanatukmbza kwenye languages kuja uku kwenye hesbu za why 4x =8 fnd y=2
Nikiwa advance hawa wa magari ya njano walikuwa wanaongea kinge ila kwenye physics anakuombea umfundishe cha ajabu ukimuekezea kwa kiswahili anashindwa kuyaweka kwenye kingereza wakati cha kuongea kawaida anakijua
Ilinishangaza sana
 
Kuna mmoja aliajiriwa kwenye hizi shule za medium, ila kiingereza chake kina utata, sijui anafundishaje?
 
Back
Top Bottom