[emoji1787][emoji1787] duuh hatariAnaweza kuwa mwanachama wa vyama vyote kule alikotia nia. Hivi kuna sheria inayomzuia mtu kuwa mwanachama wa vyama zaidi ya kimoja? Tuanzie hapo. Ni muhimu kuanzia hapo kwa sababu huyu mtia nia ni mwanasheria labda amejihami kwenye eneo hilo!
kajiongeza sio mpaka asubiri kukatwa ndo ahame kama wengine.Huyu hafai kanisani wala msikitini, kwote atafyekwa
Kuna nchi zilikuwepo kwenye ile list yako na sio member wa UN.Sasa zilipigaje kura? Kumbe wewe tatizo kubwa sio uwongo bali ni ignorance. Inaonekana ulitoka from nowhere ukazama kwenye siasa.Haya mambo yanahitaji elimu na uelewa mkubwa pia.Leta tena hako kalist uchwara nikuonyeshe Nchi ambazo sio member wa UN ili siku ukikutana na experts usiaibike.Ha haha! Kwa hiyo utetezi wa Kabudi ndio ukauamini? Ndio maana nawaambia CCM ni waongo by nature! Mie niliweka ushahidi, Kabudi aliweka bla bla ambazo hata Kenya waliishia kucheka tuu!
Lakini kwa vile yeye Waziri ukamuamini mie ukaona nadanganya.
Narudia kwa msisitizo, CCM ni waongo sana kuanzia mwenye kigoda hadi mtu wa chini.
BTW hivi issue ya #2 kuwekewa sumu na Mambosasa kumsaka muhusika duniani pote hadi chini ya bahari iliishia wapi?
Huu sasa ndio ujasiriamali. Halafu wanakuaga na convincing power kubwa sana
Tangu Ndugai ainajisi Katiba tulisema hili wenye nongwa waluozoea kunyonga wakatetea. Lakini madhara yake ndo haya. Mbunge wa CHADEMA mwanachama wa CCM,!!!Sasa yeye ni mwanachama wa chama gani?
Uko sahihi mkuu, kuna mmoja kapiga Kyela na Sumbawanga mjini.Hii wengi wameifanya mwaka huu. Sema tatizo la huyu bwana katia nia kwenye majimbo yaliyo karibiana Sana. Lkn kuna wajanja wawili nawafahsmu wamevuta fomu katika majimbo yaliopo kanda tofauti.
Duh kabeti timu zote mbiliView attachment 1504183
Ikiwa kama nimemsingizia basi nisamehewe , bali rada za wapekuzi wetu waliotapakaa nchi nzima wanaoangalia kwa karibu sana uadilifu wa wagombea wamenasa mmoja wa watia nia akiendesha siasa za kishamba zisizoeleweka
Ingekuwa ni kwenye soka basi bila shaka TFF ingemfungia bila huruma , lakini huku kwingine sifahamu adhabu anayopaswa kuipata .
Hii inaitwa 'both to score'Duh kabeti timu zote mbili
Mmoja kavuta fomu Jimbo mojawapo ktk mkoa wa Pwani halafu kaenda kuvuta mkoa wa Katavi. Wenyewe wanasema rais anateua watia nia wa ccm ama wapinzani wenye mvuto. Ndiyo maana wanategesha majina yao pande zoteUko sahihi mkuu, kuna mmoja kapiga Kyela na Sumbawanga mjini.
bila shaka siyo mimiUko sahihi mkuu, kuna mmoja kapiga Kyela na Sumbawanga mjini.
Akosa yote apita keba keba asijue la kufanya!!Kazi ipo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Tutaona mengi mwaka huu.
Mtaka yote kwa pupa hukosa yote
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipatie majina yako na picha yako moja nikutengenezee bango kama hilo hapa hapa kwenye simu..View attachment 1504183
Ikiwa kama nimemsingizia basi nisamehewe , bali rada za wapekuzi wetu waliotapakaa nchi nzima wanaoangalia kwa karibu sana uadilifu wa wagombea wamenasa mmoja wa watia nia akiendesha siasa za kishamba zisizoeleweka
Ingekuwa ni kwenye soka basi bila shaka TFF ingemfungia bila huruma , lakini huku kwingine sifahamu adhabu anayopaswa kuipata .
Umesikia mhusika akikanusha ?Nipatie majina yako na picha yako moja nikutengenezee bango kama hilo hapa hapa kwenye simu..
Hawezi kanusha ujinga..Umesikia mhusika akikanusha ?
Anagombea jimbo gani na kwa chama kipi ?Hawezi kanusha ujinga..