Utapeli wa “Chumvi na Mafuta ya Upako” Wafichuliwa

Utapeli wa “Chumvi na Mafuta ya Upako” Wafichuliwa

Wakati wewe unaviona chumvi na mafuta ya upako kama utapeli, wachawi wakubwa duniani wanavipiga vita kali kwa sababu vinawaharibia mambo yao yanakwama.
Sio naviona kama utapeli. Ni utapeli kabisa.
Wewe umelishwa matango pori ya kutosha. Hebu nikuulize: ni nani mchawi mkubwa kuliko shetani? Wachawi wanafanya uchawi wao kwa kutumia nguvu za giza(shetani na mapepo). Kwa maneno mengine wachawi ni wasaidizi tu wa shetani. Sasa jiulize: Ni andiko gani linalosema tumpinge shetani kwa kutumia chumvi na mafuta? Jina la Yesu pekee linatosha kumpinga shetani
Yakobo 4:7 SRUV
“Basi mtiini Mungu. Mpingeni Shetani, naye atawakimbia.”
Andiko hilo halisemi tumieni chumvi na mafuta kumpinga shetani.

Kama ulisikia shuhuda za watu wanaodai ni wachawi na kwamba chumvi zimeharibu mambo yao, hizo ni shuhuda feki zenye lengo la kuzidi kuwafanya watu waamini kuwa chumvi na mafuta wanayouziwa vina nguvu. Shetani ni baba wa uongo.
Yohana 8:44 SRUV
"...Ibilisi ...tangu mwanzo; hakusimama katika kweli, kwa kuwa hamna hiyo kweli ndani yake. Asemapo uongo, husema yaliyo yake mwenyewe; kwa sababu yeye ni mwongo, na baba wa uongo."
Ibilisi amewatumia wachawi hao kueneza uongo ili watu wazidi kuliwa pesa zao na kuweka matumaini yao kwenye chumvi badala ya kulitumainia Jina la Yesu.

Katika Matendo 13:6-12 tunasoma habari za Elima Mchawi – aliyepigwa upofu kwa Jina la Bwana.
"Walipokwisha kupita katikati ya kisiwa chote mpaka Pafo, wakaona mtu mmoja, mchawi, nabii wa uongo, Myahudi jina lake Bar-Yesu; mtu huyu alikuwa pamoja na mtawala Sergio Paulo, mtu mwenye akili. Yeye mtawala akawaita Barnaba na Sauli waje kwake, akataka kulisikia neno la Mungu. Lakini Elima, yule mchawi, akashindana nao, akitaka kumtia yule mtawala moyo wa kuiacha ile imani. Lakini Sauli, ambaye ndiye Paulo, akiwa amejaa Roho Mtakatifu, akamkazia macho, akasema, Ewe mwenye kujaa hila na uovu wote, mwana wa Ibilisi, adui wa haki yote, huachi kuzipotoa njia za Bwana zilizonyooka? Basi, angalia, mkono wa Bwana uko juu yako, nawe utakuwa kipofu, usilione jua kwa muda. Mara kiwi kikamwangukia na giza, akazungukazunguka na kumtafuta mtu wa kumshika mkono na kumwongoza. Ndipo yule mtawala, alipoyaona yaliyotendeka, akaamini, akiyastaajabia mafundisho ya Bwana.”

Umeona? Hakuna chumvi iliyotumika hapo kumkemea Elima mchawi. Sasa wewe unadanganywa eti wachawi wanaipiga vita chumvi. Wachawi wanaogopa Jina la Yesu tu maana ndilo Jina lipitalo kila jina.

Katika Luka 10:19 SRUV Yesu anasema:
“Tazama, nimewapa amri ya kukanyaga nyoka na nge, na nguvu zote za yule adui, wala hakuna kitu kitakachowadhuru.”
Yesu hajasema amewapa chumvi na mafuta. Badala yake anasema katika Marko 16:17 SRUV
“Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu watatoa pepo...”

Jina la Yesu peke yake, linatosha kumshinda shetani, mapepo na wachawi wote duniani.

Shtuka! Toka huko, acha kuliwa pesa zako bure, na usiendelee kueneza uongo wa manabii wa uongo.
 
Watu wanakosa uelewa kuhusu dini. Wanadanganywa na kutoa mali, fedha huku wakibaki maskini kwa ajili ya mambo ya upako.
 
Sio naviona kama utapeli. Ni utapeli kabisa.
Wewe umelishwa matango pori ya kutosha. Hebu nikuulize: ni nani mchawi mkubwa kuliko shetani? Wachawi wanafanya uchawi wao kwa kutumia nguvu za giza(shetani na mapepo). Kwa maneno mengine wachawi ni wasaidizi tu wa shetani. Sasa jiulize: Ni andiko gani linalosema tumpinge shetani kwa kutumia chumvi na mafuta? Jina la Yesu pekee linatosha kumpinga shetani
Yakobo 4:7 SRUV
“Basi mtiini Mungu. Mpingeni Shetani, naye atawakimbia.”
Andiko hilo halisemi tumieni chumvi na mafuta kumpinga shetani.

Kama ulisikia shuhuda za watu wanaodai ni wachawi na kwamba chumvi zimeharibu mambo yao, hizo ni shuhuda feki zenye lengo la kuzidi kuwafanya watu waamini kuwa chumvi na mafuta wanayouziwa vina nguvu. Shetani ni baba wa uongo.
Yohana 8:44 SRUV
"...Ibilisi ...tangu mwanzo; hakusimama katika kweli, kwa kuwa hamna hiyo kweli ndani yake. Asemapo uongo, husema yaliyo yake mwenyewe; kwa sababu yeye ni mwongo, na baba wa uongo."
Ibilisi amewatumia wachawi hao kueneza uongo ili watu wazidi kuliwa pesa zao na kuweka matumaini yao kwenye chumvi badala ya kulitumainia Jina la Yesu.

Katika Matendo 13:6-12 tunasoma habari za Elima Mchawi – aliyepigwa upofu kwa Jina la Bwana.
"Walipokwisha kupita katikati ya kisiwa chote mpaka Pafo, wakaona mtu mmoja, mchawi, nabii wa uongo, Myahudi jina lake Bar-Yesu; mtu huyu alikuwa pamoja na mtawala Sergio Paulo, mtu mwenye akili. Yeye mtawala akawaita Barnaba na Sauli waje kwake, akataka kulisikia neno la Mungu. Lakini Elima, yule mchawi, akashindana nao, akitaka kumtia yule mtawala moyo wa kuiacha ile imani. Lakini Sauli, ambaye ndiye Paulo, akiwa amejaa Roho Mtakatifu, akamkazia macho, akasema, Ewe mwenye kujaa hila na uovu wote, mwana wa Ibilisi, adui wa haki yote, huachi kuzipotoa njia za Bwana zilizonyooka? Basi, angalia, mkono wa Bwana uko juu yako, nawe utakuwa kipofu, usilione jua kwa muda. Mara kiwi kikamwangukia na giza, akazungukazunguka na kumtafuta mtu wa kumshika mkono na kumwongoza. Ndipo yule mtawala, alipoyaona yaliyotendeka, akaamini, akiyastaajabia mafundisho ya Bwana.”

Umeona? Hakuna chumvi iliyotumika hapo kumkemea Elima mchawi. Sasa wewe unadanganywa eti wachawi wanaipiga vita chumvi. Wachawi wanaogopa Jina la Yesu tu maana ndilo Jina lipitalo kila jina.

Katika Luka 10:19 SRUV Yesu anasema:
“Tazama, nimewapa amri ya kukanyaga nyoka na nge, na nguvu zote za yule adui, wala hakuna kitu kitakachowadhuru.”
Yesu hajasema amewapa chumvi na mafuta. Badala yake anasema katika Marko 16:17 SRUV
“Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu watatoa pepo...”

Jina la Yesu peke yake, linatosha kumshinda shetani, mapepo na wachawi wote duniani.

Shtuka! Toka huko, acha kuliwa pesa zako bure, na usiendelee kueneza uongo wa manabii wa uongo.
Kwa taarifa yako mafuta ya upako yanayotumika muda huu, ndiyo yale yale waliyokuwa wanapakwa wfalme wa zamani kama vile akina Daudi na akina Sauli

Kipindi hicho walikuwa ni makuhani pekee waliokuwa wanaweza kuyatamkia baraka, ila baada ya Yesu kufa msalabani hali imebadilika na kuwafanya watu wote waliookoka kuwa Makuhani

Kwa taarifa yako zaidi ni kuwa watu waliokanayagana kwenye tamasha la la kukanyaga mafuta la Mwamposa na kupelekea wengine kufariki dunia, zilikuwa ni hujuma zilizofanyw na wachawi, lengo ilikuwa ni ili azuiwe kuwa anatengeneza mafuta ya upako

Huelwei chochote, mimi ninapoongea usinibishe, nina ushahidi kutoka pande zote, duniani na Mbinguni pia
 
Vipi, mkuu. Nimekuharibia biashara yako ya kuuza chumvi za upako feki?
Imani ya dhehebu langu (ambalo ni mojawapo ya madhehebu ya Kikristu) haitoi nafasi kwa baraka ya Mungu kutolewa kupitia manunuzi ya hivyo vitu (chumvi, mafuta, maji nk). Hata hivyo, huwa siingilii imani za watu wengine ambao kwa hiyari yao wanaenda kununua
 
Mimi kanisani kwetu USABATO tangu waanzishe habari za bahasha na kutoa sitakabadhi walinizindua kutoka usingizini na kugundua kuwa kumbe hizi dini ni taasisi za kifedha.

Tokea hapo sitoi zaka,mara mojamoja huwa ninatoa sadaka 100tsh, 200, na 500tsh.
Zamani nilikuwaga ninatoa lkn baada ya utambulisho wa hivyo vi rist nikaona ni bora niwe ninapeleka kwa wahitaji mimi mwenyewe.
 
Kwa taarifa yako mafuta ya upako yanayotumika muda huu, ndiyo yale yale waliyokuwa wanapakwa wfalme wa zamani kama vile akina Daudi na akina Sauli

Kipindi hicho walikuwa ni makuhani pekee waliokuwa wanaweza kuyatamkia baraka, ila baada ya Yesu kufa msalabani hali imebadilika na kuwafanya watu wote waliookoka kuwa Makuhani

Kwa taarifa yako zaidi ni kuwa watu waliokanayagana kwenye tamasha la la kukanyaga mafuta la Mwamposa na kupelekea wengine kufariki dunia, zilikuwa ni hujuma zilizofanyw na wachawi, lengo ilikuwa ni ili azuiwe kuwa anatengeneza mafuta ya upako

Huelwei chochote, mimi ninapoongea usinibishe, nina ushahidi kutoka pande zote, duniani na Mbinguni pia
Sasa hao wachawi waliwezaje kuingia eneo ambalo kuna mafuta hayo unayoyaamini na wakafanya shambulizi kali hivyo?
 
Kwa taarifa yako mafuta ya upako yanayotumika muda huu, ndiyo yale yale waliyokuwa wanapakwa wfalme wa zamani kama vile akina Daudi na akina Sauli

Kipindi hicho walikuwa ni makuhani pekee waliokuwa wanaweza kuyatamkia baraka, ila baada ya Yesu kufa msalabani hali imebadilika na kuwafanya watu wote waliookoka kuwa Makuhani

Kwa taarifa yako zaidi ni kuwa watu waliokanayagana kwenye tamasha la la kukanyaga mafuta la Mwamposa na kupelekea wengine kufariki dunia, zilikuwa ni hujuma zilizofanyw na wachawi, lengo ilikuwa ni ili azuiwe kuwa anatengeneza mafuta ya upako

Huelwei chochote, mimi ninapoongea usinibishe, nina ushahidi kutoka pande zote, duniani na Mbinguni pia
Mtafuta mtaalamu wa afya ya kaili haraka sana kabla tatizo ulilonalo halijafika kwenye hatua mbaya zaidi ya ulivyo sasa.
 
Kwa taarifa yako mafuta ya upako yanayotumika muda huu, ndiyo yale yale waliyokuwa wanapakwa wfalme wa zamani kama vile akina Daudi na akina Sauli

Kipindi hicho walikuwa ni makuhani pekee waliokuwa wanaweza kuyatamkia baraka, ila baada ya Yesu kufa msalabani hali imebadilika na kuwafanya watu wote waliookoka kuwa Makuhani

Kwa taarifa yako zaidi ni kuwa watu waliokanayagana kwenye tamasha la la kukanyaga mafuta la Mwamposa na kupelekea wengine kufariki dunia, zilikuwa ni hujuma zilizofanyw na wachawi, lengo ilikuwa ni ili azuiwe kuwa anatengeneza mafuta ya upako

Huelwei chochote, mimi ninapoongea usinibishe, nina ushahidi kutoka pande zote, duniani na Mbinguni pia
Umepigaje hapo? Mkuu umeshafika hadi mbinguni?
 
Nakupongeza unataka kufichua uliouita uongo lakini nasikitika umetumia uongo kufikisha ujumbe katka simulizi ya uongo ya X na XXL
 
Mtafuta mtaalamu wa afya ya kaili haraka sana kabla tatizo ulilonalo halijafika kwenye hatua mbaya zaidi ya ulivyo sasa.
WEWE INAONYESHA AKILI YAKO INA UWEZO WA KUONA VIZURI MAPAJA TU YA KUKU YALIYO KWENYE BAKULI NA SI MAMBO KAMA HAYA. HAYA MAMBO WAACHIE WENGINE
 
Nakupongeza unataka kufichua uliouita uongo lakini nasikitika umetumia uongo kufikisha ujumbe katka simulizi ya uongo ya X na XXL
Nakupongeza kwa comment yako inayoonyesha unauchukia sana uongo kama mimi - kwakuwa waongo wote sehemu yao ni katika ziwa liwakalo moto na kiberiti - Ufu 21:8); lakini nasikitika hata wewe unaweza kuwa sehemu ya hao waongo kwakuwa unajitambulisha kwa jina la uongo mbegunjema 🙂

Sawa, twende polepole. "Je! Sheria yetu humhukumu mtu kabla ya kumsikia kwanza na kujua atendalo?" (Yohana 7:51, SUV)

Mimi nimeanza uzi wangu kwa kusema: "tuwasikie kwanza hawa 'manabii feki.'"
Ili kudhihirisha kwamba ni manabii feki(sio manabii halisi) nimewapa majina: XXL na X.

Lengo la kuanza mada yangu hivyo ni kuwafundisha wasomaji kwa kutumia mfano(dramatic parable), kama Yesu alivyofanya -
Mathayo 13:34 BHN
Yesu aliwaambia watu hayo yote kwa mifano. Hakuwaambia chochote bila kutumia mifano.

Tafsiri ya Kiingereza ya KJV inasema: "All these things spake Jesus unto the multitude in parables; and without a parable spake he not unto them:

Kwanini Yesu alisema na watu kwa kutumia parables?
Mathayo 13:10-11, 13:
"Wanafunzi wake wakamwendea wakamwambia, Kwa nini wasema nao kwa mifano(parables)? Akajibu akawaambia, Ninyi mmepewa kujua siri za ufalme wa mbinguni, bali wao hawakupewa." (Mathayo 13:10-11, SUV)
"Kwa sababu hii nasema nao kwa mifano; kwa kuwa wakitazama hawaoni, na wakisikia hawasikii, wala kuelewa." (Mathayo 13:13, SUV).

Tuko pamoja mpaka hapo? Haya, tupate definition ya neno "parable": A parable is a short, simple story that conveys a moral or spiritual lesson. It often uses everyday events or familiar situations to illustrate a deeper truth. Parables are commonly found in religious teachings, especially in the Bible, where Jesus used them to explain complex spiritual principles in a relatable way.

Sasa kama mimi nimetumia uongo (wa parable) kuufikisha ujumbe, je, na Yesu naye alitumia uongo katika parables zake? Nafikiri jibu lako linaweza kuwa hili: "Hapana, Yesu hakutumia uongo katika mifano yake. Mifano ya Yesu ilikuwa mifano ya matukio ya kweli(true stories), kwakuwa Yesu anajua yote yaliyopo na yaliyokuwepo."

Vizuri sana. Sasa tujiulize: Yesu anajua kila kitu, mbona sasa katika mifano yake hakutumia majina halisi ya watu, wala majina halisi ya maeneo yalipotokea matukio ya mifano yake, na tarehe?

Let us dig deep, tuangalie parable ya Prodigal Son:
The Parable of the Prodigal Son (Luke 15:11-32) is not a real historical event but an illustrative story. Here’s why:
  1. Jesus introduces it as a parable – In Luke 15:11, Jesus begins with "A certain man had two sons," which is a common way He introduced parables. He does not specify names, places, or historical details, indicating that it is a symbolic story rather than a factual account.
  2. It follows the pattern of other parables – The story fits the style of Jesus’ other parables, which use fictional characters to teach spiritual truths. Just before this, Jesus told two other parables:
    • The Parable of the Lost Sheep (Luke 15:3-7)
    • The Parable of the Lost Coin (Luke 15:8-10)
      Since these are clearly symbolic, the Parable of the Prodigal Son is also meant to be understood as a lesson rather than an actual event.
  3. The deeper meaning and symbolism – The story is structured to teach about God’s grace and forgiveness rather than recount a specific incident.
    • The father represents God.
    • The prodigal son represents sinners who repent.
    • The older son represents the self-righteous who struggle with grace.
      These symbolic roles suggest that the story is a moral lesson rather than a historical account.
  4. No verifiable historical evidence – There are no records outside the Bible that describe this event as having truly happened, unlike historical events such as the crucifixion of Jesus.
  5. Hyperbolic elements – Some details, such as a young man squandering his inheritance and suddenly being restored to full status without consequence, serve more as moral illustrations rather than realistic historical facts.
Katika Agano la Kale(2 Samuel 12:1-4) tunapata story(parable) nyingine inayofanana na parables za Yesu. This is the story that the prophet Nathan told King David. It was a parable. It was not a real historical event but a fictional story used to convict David of his sin.
Why was it a parable?
  1. It was a symbolic story – Nathan told a short story about a rich man who took a poor man's only lamb instead of using one of his own. This was not a real case but a crafted illustration.
  2. It had a moral lesson – The story was meant to expose David’s sin with Bathsheba and the murder of her husband, Uriah. Nathan used this parable to make David realize his wrongdoing before revealing, "You are the man!" (2 Samuel 12:7).
  3. David thought it was real at first🙂– Since the story was relatable and realistic, David reacted with anger, saying the rich man deserved punishment🙂. This shows that parables often use familiar, believable scenarios to draw in the listener before revealing a deeper truth.
  4. Parables were common in biblical teaching – Just as Jesus used parables to teach moral lessons, Nathan used this method to help David see his own guilt before directly confronting him.
Kwa ufafanuzi huo, nadhani umeelewa tofauti ya uongo na mifano(parables). Na huo ndio msingi wangu wa kutumia parable ile ya "manabii XXL na X."

Huo ndio utetezi wangu. Naomba sasa unihukumu kwa kunieleza uongo wangu ni upi. Niko tayari kutubu ukinithibitishia uongo wangu kwa Maandiko.

Ubarikiwe sana!! (Blessings upon you)🙏
 
Duh! Umechanganya masomo... lakini
Dini iliyo safi na isiyo na hitilafu mbele ya Mungu Baba ni hii: Kuwasaidia yatima na wajane katika shida zao, na kujilinda mwenyewe usichafuliwe na ulimwengu huu.(Yakobo 1:27 BHN)
Nimekupendaa
 
Back
Top Bottom