Bachelor ll
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 4,106
- 6,678
Then una kikonekti kwenye umeme?Ni elfu tatu iko kidude na dawa zake ni mia mia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Then una kikonekti kwenye umeme?Ni elfu tatu iko kidude na dawa zake ni mia mia
Kwa kunguni chukua sabuni ya unga changanya na mafuta ya taa then pulizia machimbo yaoleo nimempata kunguni mmoja nikamuweka sehemu open nakachukua HIT kuona kama wanaosema ni kweli? nikampulizia yule kunguni nikaona bado anatembea tena fasta nikasubiri dakika moja nikampulizia tena HIT nikaona bado anatembea tu, nikahakikisha yanayosemwa ni ukweli, HIT NI OVYOOO SINUNUI TENA
Ndio unaunganisha kwenye umemeThen una kikonekti kwenye umeme?
Embu andika kwa maneno hicho kiasi Cha pesa mkuuNenda supermarket iliyo karibu yako,kanunue spray inaitwa SWASA inauzwa 75000/=....
utanishukuru baadae
Dozi ya Mseto yenyewe hata elfu 4 haifikidawa anayozungumzia MAWEED inauzwa 75k 😂