Utapeli wa Dawa ya 'HIT' katika kuua Mbu

Utapeli wa Dawa ya 'HIT' katika kuua Mbu

miaka flani nyuma, kibanda hakijaisha vyema
niliziba madirisha, nilipiga chumbani, kwa kua inachoke nikatoka nje kwa mda wa dk 20

kurudi, nakuta mende, mijusi, nyoka wadogo, tandu, buibui, wote wamekufa wako pembeni
nilishangaa sana, ilihali lengo ilikua ni kuua mbu, nilishangaa pia kuona naishi na tandu chumbani
 
Nenda supermarket iliyo karibu yako,kanunue spray inaitwa SWASA inauzwa 75000/=....
utanishukuru baadae
Hebu weka hii hesabu sawa sawa; ni Shilingi 7,500 au 75,000?
Namaanisha kama ni 75,000 kwa chupa moja ya spray, bora kufikiria namna nyingine...
 
Tanzania tuna kiwanda kipo Kibaha. Kinatengeneza dawa za kuua mazalia ya mbu. Kipo kibaha, mkoa wa Pwani.
Dawa zao ni nzuri sana unanyunyizia kwenye mazalia ya mbu, mbu kwako wanakuwa historia.

Inauzwa 30mls kwa 1000, lita moja kwa 13000. Nakushauri utumie hiyo


Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
Wewe binafsi ulishawahi kutumia hizo dawa za hicho kiwanda cha TBPL yaani Bactivec na Griselesf? Na je, ulishawahi kujiuliza yafuatayo?
1. Mbu uweza kuruka kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine kwa umbali gani?
2. Ukiua mazalia ya mbu nyumbani kwako tu na kama jirani yako hajatumia hiyo dawa kuua mazalia ya mbu, wale mbu wanaozalishwa kwake hawataruka na kufika nyumbani kwako?
Maana yangu ni kwamba kwa mjini kulipo na msongamano wa nyumba nyingi bila majirani kukubaliana na kupulizia hiyo dawa ķwa pamoja ili kuua mazalia ya mbu juhudi za mtu mmoja kwenye nyumba yake moja haziwezi kutoa matokeo mazuri ya kujikinga na madhara ya mbu.
 
leo nimempata kunguni mmoja nikamuweka sehemu open nakachukua HIT kuona kama wanaosema ni kweli? nikampulizia yule kunguni nikaona bado anatembea tena fasta nikasubiri dakika moja nikampulizia tena HIT nikaona bado anatembea tu, nikahakikisha yanayosemwa ni ukweli, HIT NI OVYOOO SINUNUI TENA
Mkuu kama Una kunguni unayo shughuli pevu hao wadudu ni resistance hatar hawatoki na hawafi kirahs , dawa Yao ni kujitahidi kutowapata au kua-bandon nyumba Kwa mda
 
Tanzania tuna kiwanda kipo Kibaha. Kinatengeneza dawa za kuua mazalia ya mbu. Kipo kibaha, mkoa wa Pwani.
Dawa zao ni nzuri sana unanyunyizia kwenye mazalia ya mbu, mbu kwako wanakuwa historia.

Inauzwa 30mls kwa 1000, lita moja kwa 13000. Nakushauri utumie hiyo


Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
Unaopataje hiyo dawa?
 
Tupe Ilmu/Elimu....
Resistance to pyrethroids is often associated with alterations (point mutations) in the para-type sodium channel gene, that cause reduced neuronal sensitivity.

Pyrethroids acts on the insect nervous system by altering the normal function of the para-type sodium channel, resulting in prolonged channel opening that causes increased nerve impulse transmission, leading to paralysis and death.

Source:Biomedic
 
TBS wanaangalia haya Madudu.
Waaapi, wakishalipwa rushwa wanaacha.....kuna dawa nyingi sana hapa Tanzania hazifai kwa binadamu zinauzwa madukani na fucking TBS wapo wanakuna tu pumbu zao maofisini huku wananchi wanakufa na side effects. Wizara husika ipo lakini wanakaa kimya mpaka watu wafe ndipo utasikia waziri anakuja kujamba hadharani sijuwi nini. Wanashindwa kufanya msako wa kushitukizia kwenye hizi pharmacy na kukamata perpetrators. TBS ni sawa na African Union tu, haina kazi ipo tu pale kama msukule. Tanzania sidhani kama tuna viongozi/mawaziri wanaojitambua, they are all incompetent.
 
𝖧𝗂𝗓𝗂 𝗓𝖺 𝗌𝗂𝗄𝗎 𝗁𝗂𝗓𝗂 𝗌𝗂𝗈 𝖧𝖨𝖳 𝗈𝗀..𝗐𝖺𝗁𝗎𝗇𝗂 𝗐𝖺𝗅𝗂𝗉𝗈𝗈𝗇𝖺 𝗓𝗂𝗇𝖺 𝗃𝗂𝗇𝖺 𝗐𝖺𝗄𝖺𝖾𝗇𝖽𝖺 𝗄𝗎𝖿𝗒𝖺𝗍𝗎𝖺 𝖢𝗁𝗂𝗇𝖺..𝗄𝗂𝗇𝖺𝖼𝗁𝗈𝖿𝖺𝗇𝖺𝗇𝖺 𝗇𝗂 𝗄𝗈𝗉𝗈 𝗍𝗎 𝗇𝖺 𝗁𝖺𝗋𝗎𝖿𝗎
 
Waaapi, wakishalipwa rushwa wanaacha.....kuna dawa nyingi sana hapa Tanzania hazifai kwa binadamu zinauzwa madukani na fucking TBS wapo wanakuna tu pumbu zao maofisini huku wananchi wanakufa na side effects. Wizara husika ipo lakini wanakaa kimya mpaka watu wafe ndipo utasikia waziri anakuja kujamba hadharani sijuwi nini. Wanashindwa kufanya msako wa kushitukizia kwenye hizi pharmacy na kukamata perpetrators. TBS ni sawa na African Union tu, haina kazi ipo tu pale kama msukule. Tanzania sidhani kama tuna viongozi/mawaziri wanaojitambua, they are all incompetent.
Rushwa imetamalaki mnoo ktk hii taasisi. tutazidi kuumia tu iliibuka swala la vinywaji vya energy ikakaliwa kimya, ikaibuka sakata la juice zile za Azam nayo ikakaliwa kimya. yaan ni upuuzi tu tunazid kuumia.
 
𝖧𝗂𝗓𝗂 𝗓𝖺 𝗌𝗂𝗄𝗎 𝗁𝗂𝗓𝗂 𝗌𝗂𝗈 𝖧𝖨𝖳 𝗈𝗀..𝗐𝖺𝗁𝗎𝗇𝗂 𝗐𝖺𝗅𝗂𝗉𝗈𝗈𝗇𝖺 𝗓𝗂𝗇𝖺 𝗃𝗂𝗇𝖺 𝗐𝖺𝗄𝖺𝖾𝗇𝖽𝖺 𝗄𝗎𝖿𝗒𝖺𝗍𝗎𝖺 𝖢𝗁𝗂𝗇𝖺..𝗄𝗂𝗇𝖺𝖼𝗁𝗈𝖿𝖺𝗇𝖺𝗇𝖺 𝗇𝗂 𝗄𝗈𝗉𝗈 𝗍𝗎 𝗇𝖺 𝗁𝖺𝗋𝗎𝖿𝗎
Tunapata tabu sana.
 
Back
Top Bottom