Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 14,516
- 50,658
Kuwa makini na hiyo extension muda wowote itaripuka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa makini na hiyo extension muda wowote itaripuka
HIT hamna kitu mle Auntie...Auntie tena hizi za kuchoma unaona kabisa mbu walivyokufa yaani auntie hit bado haijaisha kila siku naipuliza ukikaa kidogo unasikia mbu wanalia
Rungu afadhali napuliza kwa week mara mbili ila hit hapana kwakweli
Msosi hom kigeto getoBajeti ya bando au msosi nyumbani.
Samahani ni 75,000l/= au 7,500,/=Nenda supermarket iliyo karibu yako,kanunue spray inaitwa SWASA inauzwa 75000/=....
utanishukuru baadae
I wish ningekuwa na Mamlaka huko TBS hii dawa ingebaki historia.Mkuu kuhusu hit ni kweli jamani inalevya mbu sio kuua mpaka nilijiuliza au hii ni fake bora rungu mara 100 kuliko hit
😂😂😂hatokufa Mbu hata mmoja, ukitaka mbu afe ni umshike umpulizie usoni.
Ahsante sana kwa ushauri.Tanzania tuna kiwanda kipo Kibaha. Kinatengeneza dawa za kuua mazalia ya mbu. Kipo kibaha, mkoa wa Pwani.
Dawa zao ni nzuri sana unanyunyizia kwenye mazalia ya mbu, mbu kwako wanakuwa historia.
Inauzwa 30mls kwa 1000, lita moja kwa 13000. Nakushauri utumie hiyo
Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
Tanzania kila kitu ni feki.Hao TBS wenyewe nadhani ni feki piaHizi dawa zilikuwa vizuri miaka minne iliyopita ila hali ya sasa kwa kweli ni UTAPELI wa wazi.
1. Haiui MBU kwa kiwango kinachopaswa yaani katika Mbu 50 watakufa watatu (3).
Yaani mpk mbu afe ni umloweshe na hiyo dawa ndio atakufa ila ukipuliza kama inavyoelekezwa upulize ktk mazingira ya eneo waliopo, hakika hatokufa Mbu hata mmoja, ukitaka mbu afe ni umshike umpulizie usoni.
2. Hata Mbu kuzimia kidogo hakuna! Sana sana watajificha tu kwa muda wa lisaa limoja baada ya kupuliza ila watarudi na wakirudi wanarudi na NJAA ya kufa mtu. (Inawezekana hii Dawa ina wapa Appetite zaidi)
Si kwa HIT tu nimetumia dawa ya RUNGU pia haina matokeo mazuri ktk kuangamiza MBU.
Je wana JF mmekutana na hii changamoto?
Je mnapendekeza dawa ipi bora ya kuangamiza hawa viumbe?
NB: Nimezungumzia kwa upande wa Mdudu aina ya MBU tu kwa kuwa ndio mdudu anayenisumbua mahala nilipo, hakuna Mende wala wadudu wengine, hivyo ufanisi wa dawa hii kwa kuua viumbe wengine sijaupima.
Nawasilisha.
Mbu wa sahivi wapo very technical kwanza wanakuuma kwanza alafu maumivu unapata tyr ameshaondoka eneo la tukio yaan wapo stealthy..... .ukitaka mbu afe ni umshike umpulizie usoni😂😂😂
Mkuu hawa Mbu wa kizazi hiki ni mbu wa siku za mwisho hawasikii dawa. Pia hawana adabu hata kidogo usipokua makini wanawezakuwa wanageuza kichwa chako lodge wanamaliza mambo yao hapo
Nakubaliana na wewe...Tanzania kila kitu ni feki.Hao TBS wenyewe nadhani ni feki pia
Biadhaa Tanzania ni utapeli Mtupu hata maji ya Kopo haya tunayonunua ukifatilia kwa makini utaona ni maji feki.Ni kweli kabisa,mbu hawafi na hata rungu ni harufu tu inabaki muda mrefu lakini haziui.
Nimeamua kujibana narumia x pel bei sio poa Sana imesimama
Kwa hiti bora tu ufukuzane na mbu kwa mikono na kupepea kwa kanga.Mkuu kuhusu hit ni kweli jamani inalevya mbu sio kuua mpaka nilijiuliza au hii ni fake bora rungu mara 100 kuliko hit
Funga net mkuu hiyo ndio dawa kamiliAlaf niliona kama 7500 kudadek
75,000/? Au umekosea kuandika?Nenda supermarket iliyo karibu yako,kanunue spray inaitwa SWASA inauzwa 75000/=....
utanishukuru baadae
Watakua wale wa jangwaniMbu wa sahivi wapo very technical kwanza wanakuuma kwanza alafu maumivu unapata tyr ameshaondoka eneo la tukio yaan wapo stealthy..... .
Kingine hawaonekani kirahisi/kijingajinga.
Pia ni wabishi kufa au kuzimia.
Nahis hawa mbu ni laboratory modified species..
Huu uzi unatakiwa uwe viral hadi social media zote.Hii dawa ya HIT haifai hata kuwa air freshner, nilishawahi kuitumia nilijuta kununua...
Kwanza ina harufu mbaya utadhani kitu kilichooza,
PIli, haiui mbu hata sisimizi haiui.
Ni dawa isiyofaa hata ukipewa bure