Utapeli wa Dawa ya 'HIT' katika kuua Mbu

Utapeli wa Dawa ya 'HIT' katika kuua Mbu

Zamani hizi dawa ukimaliza kupiga unakimbia nje haraka maana utakohoa hadi ukome lakini siku hizi unapiga na unalala humo humo bila tatizo
Ndio maana tunasema ni Air freshener..
 
HIT ni nzuri ila unapokwenda dukani nunua hit rangi ya kijani ndio inanguvu rangi ya orange na puple sio nzuri' kijani utakuja kunishukuru na ndio maana maduka yote huwezi kupata hit kopo la kijani zinakuwa zimeisha hata mwenye duka mangi kaniuliza mbona kila anaikuja anataka HIT ya mfuniko wa kijani nikamwambia ndio kali aijachanganya na manukato
Naona zote tu ni yale yale ila una make sense.. maybe inaweza kuwork out
 
Mbu wa skuzi wanakili na wanajua kuadapt balaa,usikute wanavaa hadi maski,maana hata doom skuiz napulizia Ile ya machungwa ilete harufu nzuri gheto si kuua mbu tena,Anyway nimeskia wa Dasalamu wanauma mchana nowadays
Mbu wa Dar wamepinda sana alafu wanajua kukwepa.
 
Aise huu ni ukweli kabisa leo nilivyouona huu uzi Sasa ndo napigia mstari kabisaa, hit nilitumia siku za nyuma lakin kila nikirud nyumban nakuta mbu wako vilevile hawajafa na taratibu zote za kupuliza nimefanya

ila Kati ya Hit na rungu angalau Rungu napuliza mara 1 tu kwa wiki inasaidia mbu hawapo hawa hit bidhaa yao haiuwi mbu kabisa
Tuipige chini tu..
 
Hii dawa ya HIT haifai hata kuwa air freshner, nilishawahi kuitumia nilijuta kununua...
Kwanza ina harufu mbaya utadhani kitu kilichooza,
PIli, haiui mbu hata sisimizi haiui.

Ni dawa isiyofaa hata ukipewa bure
Nashindwq kuelewa Mamlaka ya usimamiz wa Ubora Haiangaliii hilo.
 
🤣🤣🤣

Jana nilipuliza hiyo dawa kuua mbu nikiwa kitandani nikawa napitia threads hapa jf nikakutana na ile ya bar na kumbi 89 kufungiwa.

Wakati napitia comments nikaona member ameweka app ya kupima sauti, nikadownload nikapima sauti ikaniondika 20dB: Mosquito,.

View attachment 2616026

Nikasema yaani yenyewe mpaka sauti za mbu inatambua na nimepuliza dawa kumbe bado kuna mbu wapo.
Mbu muda huo wana DJ wao kama AllyB anapiga miruzi huko
 
Aise hizi dawa ni hamna kitu kabisa
Tanzania tuna kiwanda kipo Kibaha. Kinatengeneza dawa za kuua mazalia ya mbu. Kipo kibaha, mkoa wa Pwani.
Dawa zao ni nzuri sana unanyunyizia kwenye mazalia ya mbu, mbu kwako wanakuwa historia.

Inauzwa 30mls kwa 1000, lita moja kwa 13000. Nakushauri utumie hiyo


Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
 
Yaani mie mpk boss ananiambia dawa tunapulizia nyingi mbona siku 2 tu ishaisha...yaani sio mbu tu hata wadudu wengine ukitaka wafe lazima uipulize kwa wingi
Hamna kitu pale. Tuanibiwa tu na nahis wanasambaza rushwa sana ktk hili swala
 
yaani sasa hivi nimenunu hit kwa bei 7000 nafungua jf nakutana na stori ya hit nimepata hasara au ngoja nitajaribu maana nimeinunua sababu ya kunguni
Umebugi pakubwa sana.. hiyo dawa haiui MBU ije iue kunguni?? Never
 
Na vile vya kuchoma vya kifimbo vina afadhali kuliko Hit Auntie..
Auntie tena hizi za kuchoma unaona kabisa mbu walivyokufa yaani auntie hit bado haijaisha kila siku naipuliza ukikaa kidogo unasikia mbu wanalia

Rungu afadhali napuliza kwa week mara mbili ila hit hapana kwakweli
 
Back
Top Bottom