Utapeli wa Dawa ya 'HIT' katika kuua Mbu

Utapeli wa Dawa ya 'HIT' katika kuua Mbu

Ukiona inaua mbu hapo hapo..ujue na wewe mpulizaji upo kwenye hatari siyo ya kitoto..sumu ni sumu tu..effectiveness yake inategemea na body weight na concentration..kama inaua mbu na wewe pia unawezaa kukuua
 
Mimi na mpwayungu hatujawahi kuona mbu.

Nyinyi ndugu zangu mnakutana nao wapi?
 
Hizi dawa zilikuwa vizuri miaka minne iliyopita ila hali ya sasa kwa kweli ni UTAPELI wa wazi.

1_ Haiui MBU kwa kiwango kinachopaswa yaani katika Mbu 50 watakufa watatu (3).

Yaan mpk mbu afe ni umloweshe na hiyo dawa ndio atakufa ila ukipuliza kama inavyoelekezwa upulize ktk mazingira ya eneo waliopo, hakika hatokufa Mbu hata mmoja, ukitaka mbu afe ni umshike umpulizie usoni.

2_ Hata Mbu kuzimia kidogo hakuna! Sana sana watajificha tu kwa muda wa lisaa limoja baada ya kupuliza ila watarudi na wakirudi wanarudi na NJAA ya kufa mtu. (Inawezekana hii Dawa ina wapa Appetite zaidi)

Si kwa HIT tu nimetumia dawa ya RUNGU pia haina matokeo mazuri ktk kuangamiza MBU.

Je wana JF mmekutana na hii changamoto?

Je mnapendekeza dawa ipi bora ya kuangamiza hawa viumbe?

NB: nimezungumzia kwa upande wa Mdudu aina ya MBU tu kwa kuwa ndio mdudu anayenisumbua mahala nilipo, hakuna Mende wala wadudu wengine, hivyo ufanisi wa dawa hii kwa kuua viumbe wengine sijaupima.

Nawasilisha.
🤣🤣🤣

Jana nilipuliza hiyo dawa kuua mbu nikiwa kitandani nikawa napitia threads hapa jf nikakutana na ile ya bar na kumbi 89 kufungiwa.

Wakati napitia comments nikaona member ameweka app ya kupima sauti, nikadownload nikapima sauti ikaniondika 20dB: Mosquito,.

Screenshot_20230508-212415_Sound Meter.jpg


Nikasema yaani yenyewe mpaka sauti za mbu inatambua na nimepuliza dawa kumbe bado kuna mbu wapo.
 
miaka flani nyuma, kibanda hakijaisha vyema
niliziba madirisha, nilipiga chumbani, kwa kua inachoke nikatoka nje kwa mda wa dk 20

kurudi, nakuta mende, mijusi, nyoka wadogo, tandu, buibui, wote wamekufa wako pembeni
nilishangaa sana, ilihali lengo ilikua ni kuua mbu, nilishangaa pia kuona naishi na tandu chumbani 😅
Sasa nyinyi ndo mnatakiwa kwenda jeshini sasa 😆😆😆,,
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Jana nilipuliza hiyo dawa kuua mbu nikiwa kitandani nikawa napitia threads hapa jf nikakutana na ile ya bar na kumbi 89 kufungiwa.

Wakati napitia comments nikaona member ameweka app ya kupima sauti, nikadownload nikapima sauti ikaniondika 20dB: Mosquito,.

View attachment 2616026

Nikasema yaani yenyewe mpaka sauti za mbu inatambua na nimepuliza dawa kumbe bado kuna mbu wapo.
Hii app inaitwaje???
 
Yaani mie mpk boss ananiambia dawa tunapulizia nyingi mbona siku 2 tu ishaisha...yaani sio mbu tu hata wadudu wengine ukitaka wafe lazima uipulize kwa wingi
 
🤣🤣🤣

Jana nilipuliza hiyo dawa kuua mbu nikiwa kitandani nikawa napitia threads hapa jf nikakutana na ile ya bar na kumbi 89 kufungiwa.

Wakati napitia comments nikaona member ameweka app ya kupima sauti, nikadownload nikapima sauti ikaniondika 20dB: Mosquito,.

View attachment 2616026

Nikasema yaani yenyewe mpaka sauti za mbu inatambua na nimepuliza dawa kumbe bado kuna mbu wapo.
Jina la app
 
yaani sasa hivi nimenunu hit kwa bei 7000 nafungua jf nakutana na stori ya hit nimepata hasara au ngoja nitajaribu maana nimeinunua sababu ya kunguni
 
Back
Top Bottom