Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaha!
hiyo ya cashflow ni ya kweli mkuu?
watu wanapenda mteremko mno, mbona forex rahisi tu ukishajua unapiga hela mdogo mdogo tu ila wabongo wenzangu na vitabu ni maji na mafuta😂 😂 😂
watu wamegoma kujifunza
Mkuu pole sana huyo mkenya ni yupi tena?Ila forex trader wakutoka south africa wengi wanapata pesa kutoka kwenye magroup ya signal ila ukiangalia kiundani ata forex hawafanyi wanajifanya kutoa signal ili kupata hela hakuna jipya.Huwa hazilipiki hela kama hizo za Forex..mi nimekuwa mpole kitambo sasa baada ya kupigwa na mkenya na msouth Andile
kwani umeambiwa Forex hailipi? Hao wanaopigwa ni wavivu wa fikra na kujituma. kuna wabongo wanafumua hela si mchezo bossMhh sijawaelewa wanaoendelea kucheza huo mchezo ni kukosa maarifa ya kufanya kazi zingine mpaka wanaamua kumchangia mtu mmoja tuu...
wabongo tunapenda mteremko Mkuu kutafuta wenyewe tunaona muda unapotea.watu wanapenda mteremko mno, mbona forex rahisi tu ukishajua unapiga hela mdogo mdogo tu ila wabongo wenzangu na vitabu ni maji na mafuta
watu hatuna patience tunataka mambo ya fasta fasta....yale ya umelala masikini umeamka tajiriwatu wanapenda mteremko mno, mbona forex rahisi tu ukishajua unapiga hela mdogo mdogo tu ila wabongo wenzangu na vitabu ni maji na mafuta
ebwana eeh!
hapo sasa..Najiuliza kila siku bila kupata majibu kama Forex inakupatia hela kwann una manage account za watu.
Na matokeo yake ndo kama haya sasa, ila ni haki tuliwe tu mpaka akili itakapo tukaa sawa. Mimi naamini tukinvest mda wetu kwenye kutafuta knowledge hizi pesa zitatutafuta zenyewe tu we need to play smart tuwabongo tunapenda mteremko Mkuu kutafuta wenyewe tunaona muda unapotea.
Nashindwa kushangaa Ndugu ila wabongo tumekua wavivu sana kwenye kusaka maarifa yani tunapigwa waziwazi unampa mtu pesa alafu amanage account yako kwani yeye amekua market maker?hapo sasa..
na kwanini usianze na ndugu zako basi?
Ile ni chambo ya kuwavuta watu ili waliwe kwa wepesi kabisa unadhani bila kuonyesha mbwembwe utapata umati mkubwa?Kwanini hawa watu wa Forex lazima waoneshe kuwa wamefanikiwa?
Wakiishi kimya kimya kuna shida gani?
Kweli kabisa yani ni vyema kutafuta maarifa polepole alafu pesa inakuja taratibu bila presha.Na matokeo yake ndo kama haya sasa, ila ni haki tuliwe tu mpaka akili itakapo tukaa sawa. Mimi naamini tukinvest mda wetu kwenye kutafuta knowledge hizi pesa zitatutafuta zenyewe tu we need to play smart tu
hahahah kweli kabisaNashindwa kushangaa Ndugu ila wabongo tumekua wavivu sana kwenye kusaka maarifa yani tunapigwa waziwazi unampa mtu pesa alafu amanage account yako kwani yeye amekua market maker?
Wakati naanza forex 2014 nilikuwa hivyo hivyo 😂😂 ila week la kwanza tu ndoto zote ziliyeyuka nikatia akili, kuna dogo mmoja hivi wa Rich kids of London go shopping nilikuwa naangalia episode ndo nilijulia forex hapo nilivyoona ma Lambo na bentley nkapagawa nkajua ni Utajiri wa dakika zero. Looking back aisee i was so stupid to be honestwatu hatuna patience tunataka mambo ya fasta fasta....yale ya umelala masikini umeamka tajiri