UTAPELI WA FOREX: Francisco Magnetics adaiwa kuhama nchi, anadaiwa pesa nyingi. Polisi wamsaka!

Tupe mawili matatu unayoyakumbuka kwenye hiyo forecasting exchange rates...katika forecasting mlisoma vitu gani vya kuangalia, maybe kama kuna technical issues au economic issues ya nchi

Forecasting exchange rates using technical and fundamental analysis..give me ur email I will send you the notes and read for urself
 
Halafu hao hao wanao tukana vijana wanaojihusisha na forex ndio hao kutwa kumsifia Jiwe ili awateu kwenye serikali yake,... kwao huo ndio usomi
 
Yule ndo shujaa kwanza ilibidi apate na tuzo kwa wengi kuijua bila yule sidhani kama ingeenea kama hivi kila mtu anajua forex iwe kundani au partilly lakini inajulikana
Shujaaa au Tapeli la kimataifa... nasema hiv akamatwe afungwe jiwe kubwa shingoni atupwe baharini/ziwani....
 
Anaitwaje nimtafute
 
Kama inalipa kuna haja gani ya kutumia nguvu kuielezea plus promo la kufa mtu?
Kawaulize hao wanaotumia nguvu na "promo la kufa mtu", unaponiuliza mimi sina jibu la kukupa kwasababu mimi siuzi wala sifundishi wala sichukui investment za watu nor account management. Na kuhusu kuelezea sidhani kama ni kosa kumuelezea mtu jinsi biashara/kazi husika utendaji wake upoje pia una uhuru wa kufanyia kazi information unayoipata ama kuipotezea.
 

[emoji23][emoji23][emoji23] jamaaa umenichekesha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…