[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Umenichekesha sana ulivosema akawaona wana sio riziki afu mkasema tawilee, eti yupo njombe MT4 hazipandi...[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]dah wabongo shikamoo
Ndio ukweli ulivyo jamaa alipata dharau mbaya sana .
Mwanzo alikuwa very humble humble sana sijui nini kilimbadili .
Hawa vijana wadogo wakishika hela mapema ukichaa unawapata .
Siku niliyoona ila ndinga imekuwa mzinga nikajua huu sasa maisha yameanza Ku counter trend dhidi yake.
Sijakaa ika ile ishu ya Iokote madogo waliokamatwa wanakanyaga hela ni rafiki zake na inasemekana pale walipokuwa wanafanya huo mchezo ni kwake.
Sijakaa fresh nikasikia kaunguza akaunti aisee nikashangaa sana huyu dogo imekuwaje ?
Mara nikashangaa anakuja na vi offer vya free signal telegram,watu waka deposit kupitia referral link yake akapata vihela toka broker akawapata watu free signal wakachoma wote hahahahah
Mara nikasikia anatafutwa na wana kawatapeli hadi watu waliokuwa wanamwamini sana sana .
Mara kaibuka anasema yuko nje ya dar nikajua huyu yuko njombe tu ndio kwao huko kakimbia Sura za wana
Ikabidi niukumbuke wimbo wa CRAIG DAVID na Sting "RISE AND Fall"
"Sometime in your life u feel the fight is over,overrrr.
It seems as though the writings on the wall
Superstar u finally made it,
But once ur picture becomes tainted ,
It what they call ,The Rise and fall."
I hope he will bounce back with the last kiss