KIKAZI
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 1,370
- 1,511
kweli kabisabila shaka njia nzuri ni kukomaa mwenyew mambo ya kuanza kualikana siyo ndo matatizo yanaanzia hapo unakua unapoteza kote kote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kweli kabisabila shaka njia nzuri ni kukomaa mwenyew mambo ya kuanza kualikana siyo ndo matatizo yanaanzia hapo unakua unapoteza kote kote
ameeenFootball betting itabaki juu kileleni
Yule ndo shujaa kwanza ilibidi apate na tuzo kwa wengi kuijua bila yule sidhani kama ingeenea kama hivi kila mtu anajua forex iwe kundani au partilly lakini inajulikanaPopote pale Ontario akamatwe..
KisaaaPopote pale Ontario akamatwe..
Hapana IB link haupandishiwi spread wala ila wanakua wanakata 10%(inatofautiana broker na broker) ktk withdrawal au deposit ndo inaenda kwa uyo mtu aliekudirectNdio hapo utapewa IB link huko hakuna cha bure aisee hizo IB link wewe utapandishiwa spread .
Mwenzio atapewa hela aisee ogopa sana vya bure
Elimu ya Forex iko vitabuni kama huwezi soma vitabu achana na forex kabisa nashauri .
Kama mtu anataka kukufundisha bure basi akupe uhuru wa kuchagua broker sio kwa broker wake yeye
Akamatwe kwa kosa lipi toa hoja zako nikujibu.Popote pale Ontario akamatwe..
Kwanini mkuuPopote pale Ontario akamatwe..
Hawa juzi si wameanza kufundish training free? Millenium tower? Hawa madogo wanaweza wakawa vzr?
msamaha bila returnnadhani kwenye kufundisha wapo vzur coz wana experience kubwa kdogo ..so u can learn from them ila working with them hapo ndo sjui coz mm ndo yaliniendea vibaya ila walitoa sababu zao kwann account walizo manage zimechomwa ...bas ndo yakaishia ivo[emoji28] waliomba msamaha
Huu ni uongo.Hapana IB link haupandishiwi spread wala ila wanakua wanakata 10%(inatofautiana broker na broker) ktk withdrawal au deposit ndo inaenda kwa uyo mtu aliekudirect
😂😂😂😂😂 aisee nyuzi za forex huwa haziishi salama!Were Fala umechanganya majina.
Kuna "Andile Mayisela" na "Sandile Shezi"
Kuna makini, utapakatwa.
Dogo "Sandile" yuko vizuri, hanaga skendo yoyote. Ni tajiri. Anaweza akaoa ukoo wenu wote.
nadhani kwenye kufundisha wapo vzur coz wana experience kubwa kdogo ..so u can learn from them ila working with them hapo ndo sjui coz mm ndo yaliniendea vibaya ila walitoa sababu zao kwann account walizo manage zimechomwa ...bas ndo yakaishia ivo[emoji28] waliomba msamaha
Waliwa refund % yoyote ya initial capital?
Hukuwahi ku withdraw profit hata mara moja
msamaha bila return
Waliwa refund % yoyote ya initial capital?
Hukuwahi ku withdraw profit hata mara moja
Kwahiyo sasa hivi unatembea na wing ipi. I mean, umejiunga na signal / account management sehem nyingine, ama una trade mwenyewe.nothing it took like two weeks ikaishia ivo ...
ok kumbe kama unameneji akaunt zozote zile za watu zikipotea Hanna kudaiana sasa kwannn wamzingue fransndio mkuu
Mkuu haujibu pm zanguAcha ujinga wewe unabishana na mtu ambae hivyo vitu nimepitia..
Kipindi naanza forex nilikuwa nafanyiwa account management na kampuni moja iko Holland .. Wakichoma wanamurudishia hiyo percentage ... Na walinirudishia... Sasa wewe endelea kuwa theoretical
Kwani bure?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahaa in kujifunza tu so kuinvest