Ile habari imeandikwa kwa kiingereza, hivyo hukuelewa. Pole sana.Shughuli za uwakili nchini Tanzania hufanywa kwa mujibu wa Sheria ya Mawakili (The Advocates Act) ambayo kimsingi, inatoa masharti, ikiwemo kuhudhuria shule ya sheria (Law School) na kisha kuapishwa na Jaji Mkuu baada ya kufaulu.
Huyu Robert Amsterdam hana leseni ya kufanya shughuli za sheria nchini Tanzania,na hatambuliki kabisa na mamlaka za Tanzania kuwa ni wakili.
Chadema acheni utapeli.
Ukitaka kujiridhisha, ingia katika mfumo wa Mahakama wa kujua kama ni wakili au laaa,nenda google andika "MJUE WAKILI" hutakuta jina LA huyo tapeli was kimataifa.
Hataonekana viunga vya mahakama za Tanzania akimtetea Mbowe
Jamani Jamani Jamani kwanini unajiabisha hivyo.Mashelloitaka yamefunguliwa mahakama za kimataifa Na huyo jamaa siyo kwamba anakuja huku anaenda kumwakilisha MBOWE mahakama ya kimataifa ambayo Mbowe amefungua kesi mpya dhidi ya serikali@chinembe uwe unatulia Kabla ya kuandika chochoteShughuli za uwakili nchini Tanzania hufanywa kwa mujibu wa Sheria ya Mawakili (The Advocates Act) ambayo kimsingi, inatoa masharti, ikiwemo kuhudhuria shule ya sheria (Law School) na kisha kuapishwa na Jaji Mkuu baada ya kufaulu.
Huyu Robert Amsterdam hana leseni ya kufanya shughuli za sheria nchini Tanzania,na hatambuliki kabisa na mamlaka za Tanzania kuwa ni wakili.
Chadema acheni utapeli.
Ukitaka kujiridhisha, ingia katika mfumo wa Mahakama wa kujua kama ni wakili au laaa,nenda google andika "MJUE WAKILI" hutakuta jina LA huyo tapeli was kimataifa.
Hataonekana viunga vya mahakama za Tanzania akimtetea Mbowe
Kwanza armsterdam ni wakili wa kutetea mashoga wenzake na kwa kesi zingine wala hana ufaulu. Ukichunguza historia ni tapeli kwani anawaaminisha watu kama chadema ni hodari sana wakishindwa anatoweka. Aliwahakikishia chadema ushindi uchaguzi chadema wakamuamini kijinga huku hali kwenye ground inaonyesha hawana uungwaji mkono wowote. Ila kwa unyumbu mradi armsterdam kasema wao wakamuamini. Tangu wameangukia pua armsterdam anaendelea kula raha maisha yake hana habari kashakula hela za wafafhili wa chadema😂😂😂Shughuli za uwakili nchini Tanzania hufanywa kwa mujibu wa Sheria ya Mawakili (The Advocates Act) ambayo kimsingi, inatoa masharti, ikiwemo kuhudhuria shule ya sheria (Law School) na kisha kuapishwa na Jaji Mkuu baada ya kufaulu.
Huyu Robert Amsterdam hana leseni ya kufanya shughuli za sheria nchini Tanzania,na hatambuliki kabisa na mamlaka za Tanzania kuwa ni wakili.
Chadema acheni utapeli.
Ukitaka kujiridhisha, ingia katika mfumo wa Mahakama wa kujua kama ni wakili au laaa,nenda google andika "MJUE WAKILI" hutakuta jina LA huyo tapeli was kimataifa.
Hataonekana viunga vya mahakama za Tanzania akimtetea Mbowe
Shughuli za uwakili nchini Tanzania hufanywa kwa mujibu wa Sheria ya Mawakili (The Advocates Act) ambayo kimsingi, inatoa masharti, ikiwemo kuhudhuria shule ya sheria (Law School) na kisha kuapishwa na Jaji Mkuu baada ya kufaulu.
Huyu Robert Amsterdam hana leseni ya kufanya shughuli za sheria nchini Tanzania,na hatambuliki kabisa na mamlaka za Tanzania kuwa ni wakili.
Chadema acheni utapeli.
Ukitaka kujiridhisha, ingia katika mfumo wa Mahakama wa kujua kama ni wakili au laaa,nenda google andika "MJUE WAKILI" hutakuta jina LA huyo tapeli was kimataifa.
Hataonekana viunga vya mahakama za Tanzania akimtetea Mbowe
Akupe shule? Anayo? Anajua mawakili wa kimataifa wanavyo fanya kazi au yeye ni kukariri tu ndani ya mipaka ya Tanzania... Kachungulia Law school Tanzania, hakumuona Amstrerdam, huyo mbiyo na thread tayari... hawa ndugu zetu wakati mwingine tuwahurumie tu ...baba hawezi kuwa king'ang'anizi kutunza familia ili hai watoto wake wameisha kuwa njemba ndani ya nyumba, patachimbika tu... ndio hayo ya ccm na cdm. CCM ipumzike, iwachie wengine waendeleze pale ilipoishia... watake wasitake, hata simba huko porini huwa anakabidhi madaraka hata kwa shingo upande...Hivi wakati wa ile kesi ya mzungu kuzuia ndege yetu south Africa...wale mawakili wetu walikuwa na leseni ya kufanya kazi South Africa..nipe shule
Soma vizuri the advocates Act section 8 inShughuli za uwakili nchini Tanzania hufanywa kwa mujibu wa Sheria ya Mawakili (The Advocates Act) ambayo kimsingi, inatoa masharti, ikiwemo kuhudhuria shule ya sheria (Law School) na kisha kuapishwa na Jaji Mkuu baada ya kufaulu.
Huyu Robert Amsterdam hana leseni ya kufanya shughuli za sheria nchini Tanzania,na hatambuliki kabisa na mamlaka za Tanzania kuwa ni wakili.
Chadema acheni utapeli.
Ukitaka kujiridhisha, ingia katika mfumo wa Mahakama wa kujua kama ni wakili au laaa,nenda google andika "MJUE WAKILI" hutakuta jina LA huyo tapeli was kimataifa.
Hataonekana viunga vya mahakama za Tanzania akimtetea Mbowe
Inawezekana , Soma vizuri advocates Act section 8 inaruhusu wakili kutoka nchini nyingine kufanya uwakili Tanzania baada ya kupeleka maombi kwa CJ na kulipa temporary practicing certificate fees Kwa special caseShughuli za uwakili nchini Tanzania hufanywa kwa mujibu wa Sheria ya Mawakili (The Advocates Act) ambayo kimsingi, inatoa masharti, ikiwemo kuhudhuria shule ya sheria (Law School) na kisha kuapishwa na Jaji Mkuu baada ya kufaulu.
Huyu Robert Amsterdam hana leseni ya kufanya shughuli za sheria nchini Tanzania,na hatambuliki kabisa na mamlaka za Tanzania kuwa ni wakili.
Chadema acheni utapeli.
Ukitaka kujiridhisha, ingia katika mfumo wa Mahakama wa kujua kama ni wakili au laaa,nenda google andika "MJUE WAKILI" hutakuta jina LA huyo tapeli was kimataifa.
Hataonekana viunga vya mahakama za Tanzania akimtetea Mbowe
Wamepiga picha na Mange wanarudi.Huyo atawapaka mavi huko ambako uhuru, haki na usawa wa watu wengine una maana.
Vipi appointment na bi Harris au bwana Joe imepatikana?
Huyo bwana ngojeni aendelee kusaga kunguni huko. Ndiyo kazi yake!
Shughuli za uwakili nchini Tanzania hufanywa kwa mujibu wa Sheria ya Mawakili (The Advocates Act) ambayo kimsingi, inatoa masharti, ikiwemo kuhudhuria shule ya sheria (Law School) na kisha kuapishwa na Jaji Mkuu baada ya kufaulu.
Huyu Robert Amsterdam hana leseni ya kufanya shughuli za sheria nchini Tanzania,na hatambuliki kabisa na mamlaka za Tanzania kuwa ni wakili.
Chadema acheni utapeli.
Ukitaka kujiridhisha, ingia katika mfumo wa Mahakama wa kujua kama ni wakili au laaa,nenda google andika "MJUE WAKILI" hutakuta jina LA huyo tapeli was kimataifa.
Hataonekana viunga vya mahakama za Tanzania akimtetea Mbowe