Wamepiga picha na Mange wanarudi.
Yuko aboard dreamliner au Gulf Stream?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamepiga picha na Mange wanarudi.
Uwe na akiba ya maneno MKuu. Maana hiyo sheria inahusu utaratibu wa kusajili mawakili wa Nongoland pekee.Shughuli za uwakili nchini Tanzania hufanywa kwa mujibu wa Sheria ya Mawakili (The Advocates Act) ambayo kimsingi, inatoa masharti, ikiwemo kuhudhuria shule ya sheria (Law School) na kisha kuapishwa na Jaji Mkuu baada ya kufaulu.
Huyu Robert Amsterdam hana leseni ya kufanya shughuli za sheria nchini Tanzania,na hatambuliki kabisa na mamlaka za Tanzania kuwa ni wakili.
Chadema acheni utapeli.
Ukitaka kujiridhisha, ingia katika mfumo wa Mahakama wa kujua kama ni wakili au laaa,nenda google andika "MJUE WAKILI" hutakuta jina LA huyo tapeli was kimataifa.
Hataonekana viunga vya mahakama za Tanzania akimtetea Mbowe
Amsterdam hana record ya kushinda kesi yoyote inayo husu serikali ya Tanzania! CHADEMA be careful!Robert Amsterdam ataishauri the defence team ya Mbowe hapa Tanzania na siyo vinginevyo.
Pia atafungua mashauri katika mahakama za kimataifa.
Uongo wa CHADEMA uko wapi hapa?.
Angeuliza kwanza akajuzwa, yaonekana haelewi maana ya consultation.Robert Amsterdam ataishauri the defence team ya Mbowe hapa Tanzania na siyo vinginevyo.
Pia atafungua mashauri katika mahakama za kimataifa.
Uongo wa CHADEMA uko wapi hapa?.
You could table some of the cases to diiscredit CHADEMA if at there facts to go by. Let us walk with facts.Amsterdam hana record ya kushinda kesi yoyote inayo husu serikali ya Tanzania! CHADEMA be careful!
Kuna tatizo kubwa sana la uelewa kwa hawa wanakijani.Ile habari imeandikwa kwa kiingereza, hivyo hukuelewa. Pole sana.
Habari ndio hiyo, pesa za chama zinaliwa na beberu la Lissu- Robert Amsterdam wanazikusanya zikaliwe huko ubelejiMkuu chinembe umekurupuka. Ima hukuelewa habari imhusuyo huyo Wakili au wewe ndiye unayetaka kututapeli kwa tafsiri yako ya uongo. Uwe makini, JF si salama kwa matapeli au vilaza!
ALafu unajiita msomi?
Umekasirika mpaka unataka kupasuka, mahakama imeona ni tapeli au ni wewe?Shughuli za uwakili nchini Tanzania hufanywa kwa mujibu wa Sheria ya Mawakili (The Advocates Act) ambayo kimsingi, inatoa masharti, ikiwemo kuhudhuria shule ya sheria (Law School) na kisha kuapishwa na Jaji Mkuu baada ya kufaulu.
Huyu Robert Amsterdam hana leseni ya kufanya shughuli za sheria nchini Tanzania,na hatambuliki kabisa na mamlaka za Tanzania kuwa ni wakili.
Chadema acheni utapeli.
Ukitaka kujiridhisha, ingia katika mfumo wa Mahakama wa kujua kama ni wakili au laaa,nenda google andika "MJUE WAKILI" hutakuta jina LA huyo tapeli was kimataifa.
Hataonekana viunga vya mahakama za Tanzania akimtetea Mbowe
Kwani ile tuliyoambiwa kafungua The Hague iliishia wapi?Robert Amsterdam ataishauri the defence team ya Mbowe hapa Tanzania na siyo vinginevyo.
Pia atafungua mashauri katika mahakama za kimataifa.
Uongo wa CHADEMA uko wapi hapa?.
Mkuu, umeumbuka sana. Siku nyingine kaa mbali na habari za kiingereza. Ha ha ha haHabari ndio hiyo, pesa za chama zinaliwa na beberu la Lissu- Robert Amsterdam wanazikusanya zikaliwe huko ubeleji
Kama kuna mtu anaidhinisha malipo ya mtu mwenye mawazo bogus ++ hivi sishangai kwanini sisi ni wajinga na maskini.Mleta mada ni moja ya vilaza wa Lumumba, eti na yeye analipwa buku saba kwa uzi huu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Still bado kuna mtu anajiuliza kwanin Wtz ni masikini kama kuna kiumbe kama mleta mada na bado analipwaKama kuna mtu anaidhinisha malipo ya mtu mwenye mawazo bogus ++ hivi sishangai kwanini sisi ni wajinga na maskini.
Ndiye civil engineer aliyedesign Chato international airport. Kwake ni Katoro.Robert Amsterdam ndio nani tuanzie apo kwanza?
Wale hawakwenda walitua Mbeya na waliporudi Dar wakatudanganya eti mzungu atailipa CCM mabilioni!Hivi wakati wa ile kesi ya mzungu kuzuia ndege yetu south Africa...wale mawakili wetu walikuwa na leseni ya kufanya kazi South Africa..nipe shule