Utapeli wa kisiasa wa CHADEMA: Robert Amsterdam hana leseni ya kufanya shughuli za uwakili Tanzania

Tanzania and Rwanda are two parallel lines.
 
Nenda katika mfumo wa mawakili, huyo tapeli Robert Amsterdam hutamuona, ni njia ya Lissu kula hela za chama na wafadhili,anakula 10%
Mwanzoni nilidhani umekosa tu uelewa, lakini una akili. Lakini unavyojibu hoja za wati, ni dhahiri hukustahili kuwepo kwenye jukwaa hili. Jukwaa hili lilistahili kuwa la watu wenye akili timamu tu, bahati mbaya na ninyi mmevamia.
 
Punguza jazba wewe mkerewe/mjita, mmeshaacha uchawi ?
Kama uliandika kwa jazba utaona umejibiwa kwa jazba ila kama uliandika kistaarabu nime-reply pia kistaarabu.
Uchawi hatuwezi kuacha huo ndo ukweri 😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…