Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
- Thread starter
- #161
Mchicha huu huu auKula mchicha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchicha huu huu auKula mchicha
Mambo ya bw egongaSiku nikijisikia kunyoosha mkono nasimama chini ya kamera ili wanaofatilia waone magoli ya mkono yalivyo na nguvu.
Nikiwa na my love wangu nitafanya kama baltazaar.
😂 hamgusaniYaani apo mi na mke wangu tunakuwa kama kaka na dada hatutafanya chochote
Tayari zipo nilizikutaIkitokea katika chumba/Nyumba yako zikafungwa CCTV Camera, ni mambo gani utakayopunguza kuyafanya?
C&P #EastAfricaRadio
View attachment 3233018
Umepunguza nini baada ya kuzikuta?Tayari zipo nilizikuta
Utapostiwawenyewe wafunge tu watakayoyaona akizimia mtu tusitafutane!
Hiyo ni kawaidaKutembea na boxer na kulala sebleni up morng
We wakike?Kukaa uchi ntaacha
ndyoWe wakike?
Sawa upunguze kukaa uchindyo
aiseeNtapunguza kujamba
🤝Sawa upunguze kukaa uchi
Sijapunguza kitu kwa sababu wakati nafika sikujua kama zilikuwepo; sana sana niliongezaUmepunguza nini baada ya kuzikuta?
Nadhan baada ya kujua zipo ulishtuka kwa uliyokuwa unafanya.Sijapunguza kitu kwa sababu wakati nafika sikujua kama zilikuwepo; sana sana niliongeza