Utaratibu ukoje kwa Mwanamke ambaye hataki kumwachia mtoto aishi na Baba yake na anadai matumizi "Child Support" kwa nguvu?

Utaratibu ukoje kwa Mwanamke ambaye hataki kumwachia mtoto aishi na Baba yake na anadai matumizi "Child Support" kwa nguvu?

Wewe una kesi kama yangu niichofanya ni kumfanya kuwa rafiki kwanza ,na tunawasiliana vizur sana ,ninapitua hela siangaia kuwa anatuma yeye but naangalia watoto ,mawazo ya yy anafaid nimeyaweka pembeni

sent from HUAWEI
Itabid waige mfano wako mkuu

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Aaaah hapana. Mapenzi ndio nini....?!

Mapenzi ya kumpost Instagram ili upate likes, ila nyuma ya pazia mtoto unafeli kumtrain aje kuwa mtu wa kueleweka?!

Siku hizi wanawake mtoto anatimiza hadi miaka mitatu bado mnavalisha diapers, mtoto hajui hata kusema poti liko wapi ajiongeze.

Mtoto anakuwa na adabu mbovu, inamwita anajibu "sitaki" ukifuatilia unagundua mama ndie ulimfunza hiyo tabia ya kujibu shoti tokea utoto wake akiwa kichanga.

Kuna mengi mnakosea siku mkianza kukaa sawa mtaona kama hizi lawama zitakuwa tena mitandaoni
Sio wanawake wote

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Muache mtoto akae kwa mama yake,hakuna mtu atakaekuwa na mapenzi makubwa kwa mtoto zaid ya mama aliemzaa.Sio bibi sio wewe,!pamoja na kuwa wewe ni baba na naamini unampenda mwanao lakini mama ndo wake.Kuhusu matunzo ni lazima,sababu mtoto anakula,anataka pa kuishi,ataumwana mengi yatatokea kwenye maisha yake,huwezi kusaidia kila jambo lakini unaweza kumfanyia wepesi mzazi mwenzako na wewe umuone mtoto,kaa nae chini na muongee mkubaliane mtafanya nini,usilete ujuha wa kusema unaweza kulea mtoto huwezi,mtot ni wa mama.
Mwambie

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Mtoto kuanzia miaka 9-11 anaruhusiwa kuishi mbali na mama yake, kisheria kumuhudumia mtoto kila mwezi ni debe moja la mahindi na pesa 20000 elfu ,yaani ww baba unatakiwa utoe debe moja la mahindi na pesa taslim sh elfu ishirini, hapo umefuata taratibu za kiselikali, kuhusu huduma ya afya kuna ile bima ya 30 eflu ambayo haitoki nje ya mkoa nenda kamkatie .baba ndio anatakiwa atoe mtunzo ya mtoto mama anamuhumia kumfulia kumpikia nk. Kingine mwambie huyo mwanamke asilalalmike na kuchukua hiyo kama njia ya kipato mmbadala ashukuru kwa kuitwa mama baada ya kuzaa huyo mtoto
 
Kwann unazaa na wahuni?!

Mabinti wa siku hizi sijui mlikosa nini kwenye lishe za utotoni maana mnakuwa na akili nzito kuliko mtoto wa kindergarten.

Mnapokuwa katika umri sahihi wa kuchagua mwanaume wa maisha yenu huwa mnawengeka kweli kweli akili zenu.

Mnachaguwa watu kwa criteria za kipuuzi sana ambazo baadae hazitawasaidia lolote.

Hivi umeshawahi kuwasikiliza mabinti wanapokuwa wanamshauri mwenzao kupata mwenza?!

Utasikia mambo kama , "we toka nao wote wawili halafu utajua nani yupo serious na wewe"

"Mapenzi ya kweli ndio yatalipa kodi na ada za watoto, we mwanaume ni hela, tazama pochi mapenzi ya kweli waachie njiwa"

"Mchukue RayVan, kwanza ni handsome anajua kupendeza hata picha zake zinadamshi shost, mkipost tutakoma"

"Mume wa mtu ndio nini kwani, wa kwakwe akiwa kwake akiwa nje huku ni wetu sote, kwanza wanaume ni wachache sana kushare ni lazima aache kukutisha toka nae vizuri tu"

" Sasa kwann nimuache kwani kuolewa lazima, me sasa hivi mapema mno kuolewa, nahitaji kujifurahisha nile ujana ntaolewa nikifika 27 au 28"

Hizi ni baadhi tu ya kauli kati ya kauli bilioni kadhaa ambazo hutolewa na mabinti wa kisasa ambao huonyesha ishara ya wazi kuwa wanapoelekea sipo.

Kama jamii inabidi tujifunze kuwakalia kimya ili kama ni majanga wadili na familia zao. Sisi tuwe watazamaji tu. Maana jamii inajitolea kuwatetea na ninyi mnatumia vibaya hiyo fursa kucheza na akili za watu kwa kufanya maamuzi ya kipumbavu halafu yakiwakuta ghafla mnaanza kujifanya m'mekuwa malaika na kuwalaumu wale ambao mliwachagua ninyi.

Sasa kabla ya kusema baba mtu ni muhini wewe umewahi kujiuliza wahuni toka lini wakawa baba wazuri. Wewe unaenda jitongozesha kwa mume wa mtu, anakupa mimba na kukutelekeza unasema muhuni, wakati unalala nae kama mume wa mtu ulidhania mkewe anajiskiaje.

Maisha ya laana huleta laana tu. Pambaneni. Malipo ni hapa hapa duniani.
Tangu niingie hili jukwaa sijawahi nakukutana na comment Bora kama hii yako hongera Sana mzee baba inaatahili ifanyiwe lamination mzee baba umepiga kunako
 
Nyie mnawazaga kukomolewa tu. Lakini sio.

Huenda mngewabeba hawa viumbe kwa miezi 9 mngeelewa kidogo ile attachment ya mtoto na Mama yake.

Sasa mfano mumeachana sababu mwanaume ni mhuni. Mtoto atakuwa exposed kwa mambo mangapi?

Our kids are our everything. Our happiness, our comfort when lonely, and they keep us sensible and sane.
Our kids... afu kulea hamuwezi!?
 
Wewe una kesi kama yangu niichofanya ni kumfanya kuwa rafiki kwanza ,na tunawasiliana vizur sana ,ninapitua hela siangaia kuwa anatuma yeye but naangalia watoto ,mawazo ya yy anafaid nimeyaweka pembeni

sent from HUAWEI
Hapo kwenye urafiki haumpasui?
 
Anaejua
Kalenda ya siku za uzazi ni mwanamke, hivyo mimba ikitokea ni mwanamke amependa kwa kuitegesha makusudi au kwa uzembe wa kutokujijali ambapo vyote havifai.

Raha ya mimba ni ridhaa ya Mwanaume na mwanamke mkubaliane kuwa mnahitaji
Mtoto.

Actually hiyo hupelekea hata mtoto atakayezaliwa kukubalika na kufanikiwa maishani zaidi ya wale ambao wamejikuta wamezaliwa tu bila wazazi kukubaliana .

Na hiyo siyo kwa michepuko tu lakini hata ndani ya ndoa ni vizuri kupanga na kukubaliana kuzaa kwa kila mtoto, inamaana kubwa sana.
 
Mkuu,SIRI ni moja tu.Mtoto akitaka matunzo lazima aje kwako kila week end muonane mcheze umnunulie zawadi kisha unga kilo mbili na mchele kilo mbili na buku mbili ya mboga.Tena unampa mtoto.Full stop.Hataki ujue ni kiranga hicho
Buku mbili ya mboga gani au unamaanisha mboga za majani?
 
Nyie mnawazaga kukomolewa tu. Lakini sio.

Huenda mngewabeba hawa viumbe kwa miezi 9 mngeelewa kidogo ile attachment ya mtoto na Mama yake.

Sasa mfano mumeachana sababu mwanaume ni mhuni. Mtoto atakuwa exposed kwa mambo mangapi?

Our kids are our everything. Our happiness, our comfort when lonely, and they keep us sensible and sane.
OUR KIDS ARE OUR EVERYTHING INDEED
 
Ndo maana wengine tunawabadilisha watoto wetu tu ubini ili tujue moja kuwa baba hahusiki kwa sababu mnaona siyo haki yenu kutunza watoto ambao ni mbegu zenu.

As long as wewe ni BABA, ni jukumu lako kulea mwanao bila kuhoji unless hali yako ya uchumi iwe hairuhusu then ndo ulazima unakuja hapo wa kusaidiana.

Just bcoz mama anakaa na mtoto wenu, unadhani hajipindi mgongo na kujibana ili mtoto apate kila anachokitaka? Ila nyie wanaume suruali mkikumbushwa tu majukumu mnaanza malalamiko.

SHAME ON YOU.
 
Kusema kweli mkuu mim siwezi kumuacha mtoto angu aende kuishi kwa baba ake.......ni bora nipambane mwenyewe kuhakikisha mtoto angu anapata huduma zote muhimu......Sasa hapo ndo baba ajiongeze kua anakuja kumtizama yeye mwenyewe akishindwa imekula kwake[emoji41][emoji41]

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Mtoto sio Mali yako mtoto ni WA serikali hatakama ulienda leba wewe....Baba akienda kutafuta Haki serikalini unaweza ukaachwa mdomo wazi
 
Shishii mlezi wa wana
Imagine watoto wake wanajifunza nini. Inawezekana kuna muda uchebe anakula mzigo watoto wanasikia mama yao anavyokunjwa na kusikia utamu.

Asubuhi uchebe anatoka sebuleni kavaa taulo kifua nje unadhani wale watoto hawatapata hamu ya kumuonja baba yao wa kambo na ukizingatia ni kijana mwenzao kabisa. [emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom