Utaratibu wa kuachia vyumba kwenye Hotel, Lodges na Guest House ni wa udhulumaji

Utaratibu wa kuachia vyumba kwenye Hotel, Lodges na Guest House ni wa udhulumaji

Mpalakugenda

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2015
Posts
4,611
Reaction score
5,009
Najua wengi mmeshakutana na hizi changamoto za kulazimishwa kuachia chumba huku ukiwa umepumzika kwa masaa 6 tu.

Wale wasafiri wa usiku, ama wala bata hizi kero za kuamshwa asaubuhi hasa ikifika saa 4 kuwa muda wa chumba umeisha nilazima ukereke sana.

Bei za chumba huwa ni kwa siku. Na wote tunafahamu siku ina masaa 24. Kila unapocheck in wanachukua hizo taarifa zao. Lakini kwenye ku check out hawazingatii muda ulioutumia.

Binafsi naona sio sawa. Mamlaka husiku zinazozingatia ustawi wa jamii waelekeze usahihi kwa kulinda muda wa wawateja. Kama tunaweza kuweka utaratibu kwenye nyumba za kupanga kuwa kuna mambo ya kuzingatia.

Basi pia hizi hoteli, gesti na logde ziwajali wateja wao wapate muda wa kupumzika sio kuwafukuza kisa umeweka tu muda mwisho saa 4.

Ama wengine kuingia mwisho saa 5 usiku.
Ama mnasemaje wadau?
 
Najua wengi mmeshakutana na hizi changamoto za kulazimishwa kuachia chumba huku ukiwa umepumzika kwa masaa 6 tu.

Wale wasafiri wa usiku, ama wala bata hizi kero za kuamshwa asaubuhi hasa ikifika saa 4 kuwa muda wa chumba umeisha nilazima ukereke sana.

Bei za chumba huwa ni kwa siku. Na wote tunafahamu siku ina masaa 24. Kila unapocheck in wanachukua hizo taarifa zao. Lakini kwenye ku check out hawazingatii muda ulioutumia.

Binafsi naona sio sawa. Mamlaka husiku zinazozingatia ustawi wa jamii waelekeze usahihi kwa kulinda muda wa wawateja.
Kama tunaweza kuweka utaratibu kwenye nyumba za kupanga kuwa kuna mambo ya kuzingatia.

Basi pia hizi hoteli, gesti na logde ziwajali wateja wao wapate muda wa kupumzika sio kuwafukuza kisa umeweka tu muda mwisho saa 4.

Ama wengine kuingia mwisho saa 5 usiku.
Ama mnasemaje wadau?
Mh! Kwan umelazimishwa kama vp lala stend alaf hy syo lazma ulale ndy maana utaratbu yao ndy ilivo mgeni anaenda Ngorongoro Andbeyond alipa 13 milion pa day saa nne anaachia chumba sasa ww uku ya 7000/ unataka ulale mpaka uote ndoto utafanya kaz saa ngap?
 
Najua wengi mmeshakutana na hizi changamoto za kulazimishwa kuachia chumba huku ukiwa umepumzika kwa masaa 6 tu.

Wale wasafiri wa usiku, ama wala bata hizi kero za kuamshwa asaubuhi hasa ikifika saa 4 kuwa muda wa chumba umeisha nilazima ukereke sana.

Bei za chumba huwa ni kwa siku. Na wote tunafahamu siku ina masaa 24. Kila unapocheck in wanachukua hizo taarifa zao. Lakini kwenye ku check out hawazingatii muda ulioutumia.

Binafsi naona sio sawa. Mamlaka husiku zinazozingatia ustawi wa jamii waelekeze usahihi kwa kulinda muda wa wawateja. Kama tunaweza kuweka utaratibu kwenye nyumba za kupanga kuwa kuna mambo ya kuzingatia.

Basi pia hizi hoteli, gesti na logde ziwajali wateja wao wapate muda wa kupumzika sio kuwafukuza kisa umeweka tu muda mwisho saa 4.

Ama wengine kuingia mwisho saa 5 usiku.
Ama mnasemaje wadau?

Kwa hakika unayo hoja nzito.

Vinginevyo bei iwe kwa saa.
 
Najua wengi mmeshakutana na hizi changamoto za kulazimishwa kuachia chumba huku ukiwa umepumzika kwa masaa 6 tu.

Wale wasafiri wa usiku, ama wala bata hizi kero za kuamshwa asaubuhi hasa ikifika saa 4 kuwa muda wa chumba umeisha nilazima ukereke sana.

Bei za chumba huwa ni kwa siku. Na wote tunafahamu siku ina masaa 24. Kila unapocheck in wanachukua hizo taarifa zao. Lakini kwenye ku check out hawazingatii muda ulioutumia.

Binafsi naona sio sawa. Mamlaka husiku zinazozingatia ustawi wa jamii waelekeze usahihi kwa kulinda muda wa wawateja. Kama tunaweza kuweka utaratibu kwenye nyumba za kupanga kuwa kuna mambo ya kuzingatia.

Basi pia hizi hoteli, gesti na logde ziwajali wateja wao wapate muda wa kupumzika sio kuwafukuza kisa umeweka tu muda mwisho saa 4.

Ama wengine kuingia mwisho saa 5 usiku.
Ama mnasemaje wadau?
Iko hivyo hata huko dunian mkuu
 
Mh! Kwan umelazimishwa kama vp lala stend alaf hy syo lazma ulale ndy maana utaratbu yao ndy ilivo mgeni anaenda Ngorongoro Andbeyond alipa 13 milion pa day saa nne anaachia chumba sasa ww uku ya 7000/ unataka ulale mpaka uote ndoto utafanya kaz saa ngap?
Inawezekana kinachojadiliwa hapa ufumbuzi wake ukakufaa na wewe au ukakutoa gizani........unless na wewe ni miongoni mwa wamiliki wa hizo nyumba tajwa........
 
Najua wengi mmeshakutana na hizi changamoto za kulazimishwa kuachia chumba huku ukiwa umepumzika kwa masaa 6 tu.

Wale wasafiri wa usiku, ama wala bata hizi kero za kuamshwa asaubuhi hasa ikifika saa 4 kuwa muda wa chumba umeisha nilazima ukereke sana.

Bei za chumba huwa ni kwa siku. Na wote tunafahamu siku ina masaa 24. Kila unapocheck in wanachukua hizo taarifa zao. Lakini kwenye ku check out hawazingatii muda ulioutumia.

Binafsi naona sio sawa. Mamlaka husiku zinazozingatia ustawi wa jamii waelekeze usahihi kwa kulinda muda wa wawateja. Kama tunaweza kuweka utaratibu kwenye nyumba za kupanga kuwa kuna mambo ya kuzingatia.

Basi pia hizi hoteli, gesti na logde ziwajali wateja wao wapate muda wa kupumzika sio kuwafukuza kisa umeweka tu muda mwisho saa 4.

Ama wengine kuingia mwisho saa 5 usiku.
Ama mnasemaje wadau?
Hauna hoja Boss. Kama unataka masaa 24 yatimie fika muda wanaochukua chumba Chao ambao kwa muda huo wewe unakuwa kwenye shughuli zako either safarini kama unavyosema.

Fika Hotel / guest/Lodge/Motel unayotaka kufikia mapema let say saa5 weka vitu vyako nenda huko club sasa watakudai kurudisha chumba kesho yake saa4 utakuwa umetimiza 24hrs. Otherwise hata wewe unawekera kwakuja kwa kuchelewa wakati wao walikuwa wanakusubiria tangu saa 5 asubuhi we unakuja saa sita usiku.
Tena ukitoka waombe radhi kwa kuchelewa kufika hotelini sio kutoka.
 
Najua wengi mmeshakutana na hizi changamoto za kulazimishwa kuachia chumba huku ukiwa umepumzika kwa masaa 6 tu.

Wale wasafiri wa usiku, ama wala bata hizi kero za kuamshwa asaubuhi hasa ikifika saa 4 kuwa muda wa chumba umeisha nilazima ukereke sana.

Bei za chumba huwa ni kwa siku. Na wote tunafahamu siku ina masaa 24. Kila unapocheck in wanachukua hizo taarifa zao. Lakini kwenye ku check out hawazingatii muda ulioutumia.

Binafsi naona sio sawa. Mamlaka husiku zinazozingatia ustawi wa jamii waelekeze usahihi kwa kulinda muda wa wawateja. Kama tunaweza kuweka utaratibu kwenye nyumba za kupanga kuwa kuna mambo ya kuzingatia.

Basi pia hizi hoteli, gesti na logde ziwajali wateja wao wapate muda wa kupumzika sio kuwafukuza kisa umeweka tu muda mwisho saa 4.

Ama wengine kuingia mwisho saa 5 usiku.
Ama mnasemaje wadau?
Halafu nimekumbuka kuna malaya nilimpiga miti akawa anapiga ukulele sasa muda wa kutoka.....wahudumu wamejipanga wanaangalia na kucheka cheka....daaah si uungwana....
 
Najua wengi mmeshakutana na hizi changamoto za kulazimishwa kuachia chumba huku ukiwa umepumzika kwa masaa 6 tu.

Wale wasafiri wa usiku, ama wala bata hizi kero za kuamshwa asaubuhi hasa ikifika saa 4 kuwa muda wa chumba umeisha nilazima ukereke sana.

Bei za chumba huwa ni kwa siku. Na wote tunafahamu siku ina masaa 24. Kila unapocheck in wanachukua hizo taarifa zao. Lakini kwenye ku check out hawazingatii muda ulioutumia.

Binafsi naona sio sawa. Mamlaka husiku zinazozingatia ustawi wa jamii waelekeze usahihi kwa kulinda muda wa wawateja. Kama tunaweza kuweka utaratibu kwenye nyumba za kupanga kuwa kuna mambo ya kuzingatia.

Basi pia hizi hoteli, gesti na logde ziwajali wateja wao wapate muda wa kupumzika sio kuwafukuza kisa umeweka tu muda mwisho saa 4.

Ama wengine kuingia mwisho saa 5 usiku.
Ama mnasemaje wadau?
Kuna siku kama miezi minne au mitano imepita, nilisafiri kwenda Kasulu, lile basi lilitoboa hivyo tukafika Kasulu saa 10 alfajiri, nikaenda Lodge nikakuta wahudumu, wakaniambia nipewa room muda ule itabidi nilipie huo usiku as a complete night! Tukazozana basi nikawa mpole nikaambiwa nisubiri Hadi saa 12 asubuhi ndio nitakua registered kwa siku mpya.

Ilibidi nilale kwenye kiti kwa almost 90 minutes. Naelewa mleta mada unachosema.
 
Back
Top Bottom