Utaratibu wa kuachia vyumba kwenye Hotel, Lodges na Guest House ni wa udhulumaji

Utaratibu wa kuachia vyumba kwenye Hotel, Lodges na Guest House ni wa udhulumaji

tatizo mnalala geust za bei poa za waswahili hebu jalibun hata hotelin we unalipia chumba elfu kumi na tano kushuku afu unataka kulala masaa 24 kuwen serious bas tafuten hela angala mi nikikodig vyumb vya bei hyo huwa nalipia siku tatu hata kama nakaa saa moja
 
Ni utaratibu wa kitapeli kuna siku nimetoka dar nakwenda mbeya sasa lengo langu niishie mafinga nikachukue cheti shule niliyosoma

Nikapanda basi la jion mafinga nilifika saa kumi na moja nilikutana baridi matata nikaona ngoja nichukue chumba ili niamke jua likishachomoza niende shule nikachukue cheti

Basi nimelala jumlisha uchovu wa safari na ile bard nashangaa nakuja kugongewa mlango saa 3 kuambiwa nianze kujiandaa kuachia chumba nje kuna baridi kali hata jua halijatoka basi kinyonge nimeamka lkn niliona utaratibu sio ule
 
Hotel zinazoeleweka unaambiwa check in time ambayo huwa 1000hrs-1200 na check out time 1000hrs-1200hrs. Hapa unakuwa umefsnya booking.
Sasa ukifika saa 1000 utapata 24hrs unayotaka. Kama ukifika baadae sio kosa lao.
Tatizo wengi wanaenda Hotel au Guest house bila booking, mfano unafika saa mbili usiku. Wao muda wao wa check in and out ni ule ule hawawezi kubadili kwasababu yako. Chumba hicho unacholala wewe leo kuna mtu kashafanya booking anaingia kesho saa 1000 au 1200.
Maelezo haya yamenyooka. Nilikuwa namuunga mkono mleta mada hadi niliposoma hii.
 
Ni utaratibu wa kitapeli kuna siku nimetoka dar nakwenda mbeya sasa lengo langu niishie mafinga nikachukue cheti shule niliyosoma

Nikapanda basi la jion mafinga nilifika saa kumi na moja nilikutana baridi matata nikaona ngoja nichukue chumba ili niamke jua likishachomoza niende shule nikachukue cheti

Basi nimelala jumlisha uchovu wa safari na ile bard nashangaa nakuja kugongewa mlango saa 3 kuambiwa nianze kujiandaa kuachia chumba nje kuna baridi kali hata jua halijatoka basi kinyonge nimeamka lkn niliona utaratibu sio ule
Ungelala lodge za 'kulekule' karibu na JJ Mungai au Changarawe.

Down Town nafikiri bado itakua ipo inafanya kazi
 
Mkuu una hoja ila naongezea.

Muda mwingine unaenda lodge saa 7 mchana unataka kuchukua room ya kulala sti wanagoma , wanasema muda wa kukodi chumba cha kulalani kuanzia saa 2 usiku. Hoja yao wanasema muda huo wa mchana ni muda wa short time na hii tabia ipo sana kwa mkoa wa DAR, mkoani sijawahi kukutana nayo.
Halafu muda wa short time sijui ni masaa mangapi......manake hakuna kitu kinafedhehesha kama mlango kugongwa ukiwa ndani ya uchi wa mwanamke......
 
Mimi na dukuduku lingine kuna wahudumu wana tabia ya kuku subirisha waka kague mashuka kama kuna tope utazani kila mtu ni firauni shenzi sana hawa
 
Nilikuwa naenda jj mungai alafu
Shule yangu hiyo enzi za Usangira. Yaani kila asubuhi tukiamka, makaburini kuna kaburi jipya linachimbwa. Watu walikuwa wanakufa sana aisee

Tumeanza shule tukiwa waoga wa makaburini lakini mpaka tunamaliza shule tushakua wazoefu kabisa wa makaburi, saa 8 usiku mtu unakatiza, hapo umetoka Club Shimoni aka Ebony
 
Shule yangu hiyo enzi za Usangira. Yaani kila asubuhi tukiamka, makaburini kuna kaburi jipya linachimbwa. Watu walikuwa wanakufa sana aisee

Tumeanza shule tukiwa waoga wa makaburini lakini mpaka tunamaliza shule tushakua wazoefu kabisa wa makaburi, saa 8 usiku mtu unakatiza, hapo umetoka Club Shimoni aka Ebony
Miaka gani hiyo mi nimemaliza 2016 advance pale
 
Halafu muda wa short time sijui ni masaa mangapi......manake hakuna kitu kinafedhehesha kama mlango kugongwa ukiwa ndani ya uchi wa mwanamke......
Hii inakera sana. Niliwahi book showtime wakati najiandaa na game ndom hakuna.
Ikabidi nitoke nje nikatafute zana.
Nafika naambiwa muda umeisha.
Nilijitetea sana, nikaambiwa ona wateja wanasubiria.
Nikataka nilete songombingo. Ndo nikaruhusiwa.
Mchuchu yuko ndani anasubiria.
Nilipiga show kinyonge sana sababu walishanichanganya.
 
Back
Top Bottom