Hizi ni Guest house za uchochoroni huko za 12,000/=,15,000/=,20,000/= ila lodge za kwanzia 25,000/= kuendelea huu upumbavu haupo kila kitu utaelezwa kwa ukarimu na upendo😄😄😄😄
🤣🤣🤣🤣🤣mabaharia huwa hatupotezi hata lisaa limoja lazima tupate value for money in any transaction.Mimi lazima niingie mapema atleast 11am unless iwe emergency sana.
Yaan eti saa 2 usiku ndio nilipie room? No way🤣🤣🤣🤣🤣mabaharia huwa hatupotezi hata lisaa limoja lazima tupate value for money in any transaction.
Kidume wewe popomaMasaa 6 yote hayo?
Mbona mie huwa naachia chumba hata ndani ya dakika 45 tu na hakuna lawama
labda lawama za mhudumu kuhusu mashuka yake anayoyakuta uvunguni yana rangi 3 mpya!!
Maelezo haya yamenyooka. Nilikuwa namuunga mkono mleta mada hadi niliposoma hii.Hotel zinazoeleweka unaambiwa check in time ambayo huwa 1000hrs-1200 na check out time 1000hrs-1200hrs. Hapa unakuwa umefsnya booking.
Sasa ukifika saa 1000 utapata 24hrs unayotaka. Kama ukifika baadae sio kosa lao.
Tatizo wengi wanaenda Hotel au Guest house bila booking, mfano unafika saa mbili usiku. Wao muda wao wa check in and out ni ule ule hawawezi kubadili kwasababu yako. Chumba hicho unacholala wewe leo kuna mtu kashafanya booking anaingia kesho saa 1000 au 1200.
Ungelala lodge za 'kulekule' karibu na JJ Mungai au Changarawe.Ni utaratibu wa kitapeli kuna siku nimetoka dar nakwenda mbeya sasa lengo langu niishie mafinga nikachukue cheti shule niliyosoma
Nikapanda basi la jion mafinga nilifika saa kumi na moja nilikutana baridi matata nikaona ngoja nichukue chumba ili niamke jua likishachomoza niende shule nikachukue cheti
Basi nimelala jumlisha uchovu wa safari na ile bard nashangaa nakuja kugongewa mlango saa 3 kuambiwa nianze kujiandaa kuachia chumba nje kuna baridi kali hata jua halijatoka basi kinyonge nimeamka lkn niliona utaratibu sio ule
Halafu muda wa short time sijui ni masaa mangapi......manake hakuna kitu kinafedhehesha kama mlango kugongwa ukiwa ndani ya uchi wa mwanamke......Mkuu una hoja ila naongezea.
Muda mwingine unaenda lodge saa 7 mchana unataka kuchukua room ya kulala sti wanagoma , wanasema muda wa kukodi chumba cha kulalani kuanzia saa 2 usiku. Hoja yao wanasema muda huo wa mchana ni muda wa short time na hii tabia ipo sana kwa mkoa wa DAR, mkoani sijawahi kukutana nayo.
Nilikuwa naenda jj mungai alafuUngelala lodge za 'kulekule' karibu na JJ Mungai au Changarawe.
Down Town nafikiri bado itakua ipo inafanya kazi
Shule yangu hiyo enzi za Usangira. Yaani kila asubuhi tukiamka, makaburini kuna kaburi jipya linachimbwa. Watu walikuwa wanakufa sana aiseeNilikuwa naenda jj mungai alafu
Wanachaji kwa usiku mmoja na sio siku mojaUkitaka kunyooshana nao nenda saa saba usiku tarehe imeshabadilika!!
Kesho saa 4 asubuhi wakitaka kukuondoa utawakamatia hapo kwenye tarehe maana haijabadilika..
Sijui umenielewa? ?
Miaka gani hiyo mi nimemaliza 2016 advance paleShule yangu hiyo enzi za Usangira. Yaani kila asubuhi tukiamka, makaburini kuna kaburi jipya linachimbwa. Watu walikuwa wanakufa sana aisee
Tumeanza shule tukiwa waoga wa makaburini lakini mpaka tunamaliza shule tushakua wazoefu kabisa wa makaburi, saa 8 usiku mtu unakatiza, hapo umetoka Club Shimoni aka Ebony
Hii inakera sana. Niliwahi book showtime wakati najiandaa na game ndom hakuna.Halafu muda wa short time sijui ni masaa mangapi......manake hakuna kitu kinafedhehesha kama mlango kugongwa ukiwa ndani ya uchi wa mwanamke......
Hatari sanaKuna hotel niliwahi kulala hadi saa nne na dakika 5, nilipo toka na kuomba radhi kwa kuchelewa for 5 minutes.....
Nilisikia msonyo mrefu ukitoka kwa nyuma yangu na kufuatiwa na maneno "ukitaka raha, safiri na chumba chako"
Unahoja, Na hii imekaa kiufundi & kisheria zaidi, kama wao wanavyosiamamia sheria zao.Kesho saa 4 asubuhi wakitaka kukuondoa utawakamatia hapo kwenye tarehe maana haijabadilika..
Experience nzuri. Muda gani bei nafuu?Nairobi chumba unalipia usiku Kuna bei yake na mchana Kuna bei yake
Niliwahi washinda hoja lakin kwa utata mkubwa. Mamlaka tu 😀Unahoja, Na hii imekaa kiufundi & kisheria zaidi, kama wao wanavyosiamamia sheria zao.