ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Nimehudhuria harusi ya jamaa yangu hadi muda huu saa 5 hatujala,
Kwenye kuomba mchango wanapiga simu hadi kero, tukihidhuria harusi tule japo kuku, mnatupa viporo usiku saa 7
Wapo wanatuomba zawadi na kushindanisha Yanga na Simba, kututaja majina na mambo mengine ya kijinga
Wametupa bia Nazo zimeisha sijui na kulewa hatujalewa
Chakula Bado na njaa inauma sana usiku huu
Sichangii tena harusi, kama utaratibu wa kutupa kuku ni usiku wa manane
Kwenye kuomba mchango wanapiga simu hadi kero, tukihidhuria harusi tule japo kuku, mnatupa viporo usiku saa 7
Wapo wanatuomba zawadi na kushindanisha Yanga na Simba, kututaja majina na mambo mengine ya kijinga
Wametupa bia Nazo zimeisha sijui na kulewa hatujalewa
Chakula Bado na njaa inauma sana usiku huu
Sichangii tena harusi, kama utaratibu wa kutupa kuku ni usiku wa manane