Utaratibu wa kugawa chakula usiku wa manane kwenye harusi haufai

Utaratibu wa kugawa chakula usiku wa manane kwenye harusi haufai

Ila Kutoka Nyumbani kwenda Harusini Bila Kula nayo ni Kipaji aisee, Yani unatoka home kabisa ukitegemea Msosi wa Harusini ambao hauna Ratiba maalum kwa kweli inashangaza sana
We ukiwa na harusi na watu wasile utajisikiaje
laZima tule kwenye harusi kama kuonesha ushirikiano sio kwamba eti majumbani kwetu hamna vyakula
 
Nimehudhuria harusi ya jamaa yangu hadi muda huu saa 5 hatujala,

Kwenye kuomba mchango wanapiga simu hadi kero, tukihidhuria harusi tule japo kuku, mnatupa viporo usiku saa 7

Wapo wanatuomba zawadi na kushindanisha Yanga na Simba, kututaja majina na mambo mengine ya kijinga
Wametupa bia Nazo zimeisha sijui na kulewa hatujalewa

Chakula Bado na njaa inauma sana usiku huu

Sichangii tena harusi, kama utaratibu wa kutupa kuku ni usiku wa manane
Ni hiyo tu ya jamaa ako
 
We ukiwa na harusi na watu wasile utajisikiaje
laZima tule kwenye harusi kama kuonesha ushirikiano sio kwamba eti majumbani kwetu hamna vyakula
Kama Ni Ivo asuburi Kula icho Kiporo cha Saa saba na what if ana Changamoto za Kiafya Huoni itamletea usumbufu usio na maana?
Mimi nkienda kwenye harusi natoka Nimekula kabisa nikifika Kule ni Vyombo na msosi kama utapita on time ntakula kiasi ila Kwenda Harusini totally na Kutegemea Ratiba ya Chakula ambayo sijui kwa kweli ilo hapana
 
Shida ya Africa ni njaa. Kuna wengine wakila wanasepa. Sasa dawa Yao ni hiyo. Mpka wakome.
Kuna sherehe nyingine mnawekewa karanga mbichi na za kukaanga. Wanajua njaa ikiwauma mtakula karanga matumbo yatajaa chakula hamtakula sana. Kumbe bajeti ya chakula walipiga panga. Wanamwambia MC awakukbushe watu kula karanga hahaaaaaa huwa nawachora then nacheka kama Magu sherehe hizi shenzi sana
 
Kama Ni Ivo asuburi Kula icho Kiporo cha Saa saba na what if ana Changamoto za Kiafya Huoni itamletea usumbufu usio na maana?
Mimi nkienda kwenye harusi natoka Nimekula kabisa nikifika Kule ni Vyombo na msosi kama utapita on time ntakula kiasi ila Kwenda Harusini totally na Kutegemea Ratiba ya Chakula ambayo sijui kwa kweli ilo hapana
We una dharau
Harusi ni watu
Lazima ukienda kwenye harusi uonyeshe ushiriki wa vitendo
Sio walete chakula ule kidogo au ukatae
Tupo kwenye harusi ila sio kwamba ni masikini ati hatuwezi kula kwenye familia zetu
 
Shida ya Africa ni njaa. Kuna wengine wakila wanasepa. Sasa dawa Yao ni hiyo. Mpka wakome.
Kuna sherehe nyingine mnawekewa karanga mbichi na za kukaanga. Wanajua njaa ikiwauma mtakula karanga matumbo yatajaa chakula hamtakula sana. Kumbe bajeti ya chakula walipiga panga. Wanamwambia MC awakukbushe watu kula karanga hahaaaaaa huwa nawachora then nacheka kama Magu sherehe hizi shenzi sana
Nimecheka mno🤣😂😅
 
Nimecheka mno🤣😂😅
Ndugu yangu uswahilini kuna vituko sana acha tu.
Kuna harusi moja tulienda muda kidogo tena ilikuwa siyo dar ni huko mkoani. Yaani ukiingia tu mlangoni na kadi yako unapewa kifuko Cha lambo kile cheusi kabla havijapigwaarufuku. Kile kimfuko kina soda mbili na maji ya uhai yale ya mia tatu. Washamlizana na wewe hapo chakula ni saa tano na hapo mmeingianukumbini saa moja. Sasa jichanganye umalize maji yako hakuna hata wa kumuomba maana kila mtu ana maji moja kama wewe. Bia kujitegemea.
 
Ndugu yangu uswahilini kuna vituko sana acha tu.
Kuna harusi moja tulienda muda kidogo tena ilikuwa siyo dar ni huko mkoani. Yaani ukiingia tu mlangoni na kadi yako unapewa kifuko Cha lambo kile cheusi kabla havijapigwaarufuku. Kile kimfuko kina soda mbili na maji ya uhai yale ya mia tatu. Washamlizana na wewe hapo chakula ni saa tano na hapo mmeingianukumbini saa moja. Sasa jichanganye umalize maji yako hakuna hata wa kumuomba maana kila mtu ana maji moja kama wewe. Bia kujitegemea.
Kwamba wanaona wakigawa chakula ukumbini atabaki bibi na Bwana harusi tu🤣
Wanaweka Burudani za kutuchukulia hata nauli ya Bolt, wanashindanisha Simba na Yanga
 
Back
Top Bottom