Utaratibu wa kuishi na ndugu baada ya ndoa unafaa uwe vipi?

Sidhani! Labda ungesema Wajaluo,Wagogo,Wasambaa ningekuelewa! Lakini changamoto ni kuoa ukoo maskini.
Wala sio ukoo masikini bali ukoo wa wa wapumbafu sijui niite wasio jielewa ambao akili zao hazina akili, umasikini sio sababu nikujitambua tu.
 
mkuu tafuta gheto lako self safi kabisa uwe unaishi huko unapunguza stress na uache kununua chakula home na hivi huna mtoto
 
Mimi kiukweli sipo kwa dini yeyote hapa nasema uhalisia tu experience.
Sikia nilikuwa kwenye mahusiano na jamaa ni muislamu anaitwa salim huyu jamaa ni alinipenda sana tu.
Ila chanzo nu ndugu asubuhi wanakuja na watoto zao wanakaa hadi usiku .

Wanapika wanamuomba huyo ndugu yao hela wanaondoka hivyo.
Hadi siku moja nikawa na msimamo nikaamua niwachambee.
Wakanikoma kikaisha.

So wachambee
 
Familia zetu tumezoea kuishi kiujamaa Kama wahindi na waarabu
kuna raha gani ya kuishi mtu na mke tu?
Kama nyumba kubwa acha watu waishi.
Kila kitu kiwe na kiasi hakuna asie penda ndugu, sasa mnajazana utazani hostel ndoa inatakiwa kuwa na staha unaishi kwa kujibana bana sasa mzee mzima kwa mdogo wako na wajukuu si ujinga huo, mwishowe shemeji yake adondoshe taulo bure ujinga tu .
 
Wewe hata usimwambie unataka kupanga, wewe siku hiyo jioni panga vizuri vitu vyako na usimwambie umepanga wapi, asubuhi weka kwenye gari lako vitu muhimu kama unasafari vile jioni tuma SMS tu, mwambie wakiondoka utanijulisha, halafu anza kuacha pesa ya kila siku kama ni buku 10 gas ikiisha usinunue nunua mkaa, usijaze vyakula ndani!
 
Na alishambuliwa sana
 
Mkuu kama hutajali chukua ushauri wa jamaa fulani aliwahi kicomment humu jf ,
Ndugu walipomtembelea,alimpigia rafiki yake simu ambaye anafanya kazi hospital..
Akauliza nafasi zipo?rafiki yake akamwambia zipo .
Basi aliwabeba wale wageni Hadi hospital wodini ..akawalaza huko..
Kesho yake asbh akawahi kuwachukua.

Walivyofika tu walifunga safari na kuaga.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Uchoyo tena...wanawake ndio wachoyo balaa wanamnyima hadi mume mbususu ambayo ameilipia kwa ng'ombe kadhaa
 
Mbona familia yetu masikin na hatuna tabia yakwenda majumbani Kwa watu tokea wadogo tulilizika na maisha ya home kipatikane chakula kisipatikane hatukuwai kuwaza kwenda kuishi Kwa ndugu

Sent using Jamii Forums mobile app
Si umasikini ni akili kushindwa kufikiri vizuri ujinga tu, tumetoka familia duni lakini tuliridhika na hali zetu
 
Tatizo naliona hapo ni ndugu wa upande mmoja tu kufanyiwa ukarimu wa (yaani ndugu wa mke tu).

Sasa utashangaa ndugu wa mume wakijaribu kutia Maguu hapo tayari mashtaka yataanza
Kwa mume ooh Huyu fulani ndugu wa mume anatabia mbaya hii na ile …….

Yani ubaya na udhaifu mke anauona kwa ndugu wa mume tu lakini Kwa nduguze haonagi ubaya wowote zaidi ya mema tu ?!

Imagine [emoji848][emoji848][emoji848]
 
Kwani we dini gani ? Kama ni muislam dini inatoa muongozo kwenye mambo ya ugeni mgeni anatakiwa asikae zaidi ya siku 3 ugenini ni rahis sana kuwakimbiza kwa kutumia njia za kiimani usiishi kwako kama msela nondo lazima uweke misingi yani simamia upande mmoja kua strict watu hao wanapenda anasa ikiwezekana siku wakiwa wanakuja we geuza siku ya ibada yani muite shekh au mchungaji pigeni maombi bila kula[emoji16] alafu unawaambia kabisa kwangu ni lazima wote mmshiriki ibada mnapiga dua tu siku nzima apo hata mke wako mwenyew anaweza kimbia usipoangalia
 
hahaa ngoja nimtag hapa ......πŸ˜‚πŸ˜‚

Huyu hapa Ushimen
 
Nimesikitika hadi hapo hujawala shemeji zako, mbuzi kufia buchani bahati iliyoje.!!
 

Kwenye hiyo unayoita familia yako i.e wewe mkeo watoto na wazazi wako, sijaona wazazi wa mkeo…. au hujui kuwa hiyo ni familia ya mkeo ambayo ni yako.!
 
Napenda sana kuishi na ndugu, yaani napenda familia kubwa ila hofu yangu ni migogoro ya hao wageni wenyewe kwa wenyewe au kuniharibia familia yangu.

Nikifanikiwa kudhibiti hiyo hali tu maisha ni murua kabisa kwenye palace. Sina wasiwasi kuhusu vitu vidogo kama vyakula sijui tamthilia, chakula uhakika ndo fahari yangu kama baba.

Mleta mada unalialia hapa kwa vile ni ndugu wa mkeo wanajazana hapo kiasi cha ndugu zako kukosa nafasi, mkeo naye anatetea nduguze.

Tafrani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…