Wala sio ukoo masikini bali ukoo wa wa wapumbafu sijui niite wasio jielewa ambao akili zao hazina akili, umasikini sio sababu nikujitambua tu.Sidhani! Labda ungesema Wajaluo,Wagogo,Wasambaa ningekuelewa! Lakini changamoto ni kuoa ukoo maskini.
Kila kitu kiwe na kiasi hakuna asie penda ndugu, sasa mnajazana utazani hostel ndoa inatakiwa kuwa na staha unaishi kwa kujibana bana sasa mzee mzima kwa mdogo wako na wajukuu si ujinga huo, mwishowe shemeji yake adondoshe taulo bure ujinga tu .Familia zetu tumezoea kuishi kiujamaa Kama wahindi na waarabu
kuna raha gani ya kuishi mtu na mke tu?
Kama nyumba kubwa acha watu waishi.
Wewe hata usimwambie unataka kupanga, wewe siku hiyo jioni panga vizuri vitu vyako na usimwambie umepanga wapi, asubuhi weka kwenye gari lako vitu muhimu kama unasafari vile jioni tuma SMS tu, mwambie wakiondoka utanijulisha, halafu anza kuacha pesa ya kila siku kama ni buku 10 gas ikiisha usinunue nunua mkaa, usijaze vyakula ndani!sema wananiona mpole kuna kaka zao kabisa wako vizuri kipesa lakini kwao hawakanyagi, ila kwangu kila wikend nilishaanza wabania pesa wanakuja kwa machale, shida hawa wamama hapa nyumbani mtu ana 47 ana watoto watatu, mtoto wake wa kwanza kaolewa ila hajawhi enda ishi na mkwe wake ila hapa kwa mdogowake ndio amefanya kwake.
Na alishambuliwa sanaAmbao hawakumuelewa Dinazarde kwenye uzi wake,,,,Basi hiki ndicho Hasa alichokuwa anakizungumza...
Na nawaomba mtumie kisa cha Mleta uzi kama mfano wa kufundishia
Asilimia kubwa ndugu huvunja ndoa za ndugu zao
Tubadilike mtu akishaoa au akiolewa waacheni waishi maisha yao,watu wameoana tayari mshaenda kujazana kuishi hapo mara bibi,sijui shangazi, sijui shemeji, acheni wanandoa waishi kwa uhuru mnawabana, mara waletewe mtoto sijui wa nani walee, acheni wanandoa waishi wenyewe kusalimiana iwe mara moja...www.jamiiforums.com
Wewe sio shida sana maana wewe na jina lako vinasabihiana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]paka hakai nyumba yenye njaa.
Ukiona watu wanapapenda kwao ujue kuna neema.
Pia kuishi na ndugu ni BARAKA.
Mkuu kama hutajali chukua ushauri wa jamaa fulani aliwahi kicomment humu jf ,Habari za siku nyingi watu wa Mungu.
Hivi ni utaratibu gani unafaa kufuatwa katika kuchagua ndugu wa kuishi nao baada ya ndoa. Nakumbuka mwanzo kabisa kipindi namuoa mke wangu nilimjulisha kuwa napenda sana ndugu ila kuishi na ndugu ni mtihani kama mtu ana uhitaji na tuna uwezo wa kumsaidia bora tumsaidie huko huko aliko kukiwa na ulazima sana ndipo ataishi kwetu.
Bahati mbaya huyu mwenzangu na ndugu zake wamefanya nyumba yangu kijiwe ndugu zake wote wapo hapa hapa mjini sasa imekuwa anakuja huyu anakaa wiki anaondoka wanapokezana , likizo watoto zao wanawaleta kwangu na wana vurugu kweli ile likizo ya mwaka mpya walinivunjia side mirror ya gari ikabidi niwafukuze manake walikuwa wakiaanza kukimbizana wanapita mpaka juu ya makochi ilibaki kidogo wakanyage kompyuta niliwafukuza siku hiyo hiyo.
Tatizo la pili kuna ndugu zake hawa watu wazima wakike ambao ni dadazake ni wakubwa kiasi mmoja binti yake ndiyo mwenye watoto niliowafukuza, hawa wanakaa tu nyumbani hawafanyi chochote ni kuangalia tu tamthiliya mpaka kurudi nyumbani sasa naona kero mimi na wife hatujajaliwa watoto sasa hapo nyumbani kuna familia ya watu 4 na wote wanatokea hapo mabibo yaani mimi ndio nimekuwa kama mgeni kwenye familia.
Nikimuambia hawa watu kwanini wasirudi kwenu kwenye nyumba ya familia wakae sisi tutakaa nao mpaka lini anasema soon wataondoka toka mwezi wa pili anasema hivyo soon wataondoka, karibuni mama anataka kuja kwenye matibabu MOI ila kagoma kufikia kwangu hawezi lala kitanda kimoja na mtu mwingine anashida na mifupa.
hapo bado kuna ndugu zake wanakuja tu wikend wakijisikia na wakiondoka hawana nauli wanakuomba tena shemeji nauli hasa namuuliza hawa nao wanakuja kila wikend kufanya nini, anasema kama sitaki ndugu zake waje atawaambia ila tatizo sio kuja tatizo hata nauli hawana ukiwapa ndogo wanakuimbia kuna sehemu ya kupanda bodaboda.
Ajabu wao wenyewe kwa wenyewe hawatembeleani ni kama vile wanaamua kunimalizia pesa hivi. Nipeni busara kudeal na hawa watu nahisi kuanza kukata mahitaji.
Uchoyo tena...wanawake ndio wachoyo balaa wanamnyima hadi mume mbususu ambayo ameilipia kwa ng'ombe kadhaaKama huwataki kwako waambie ukweli, acha kutia huruma mwanaume. Na kama huna hiyo bajeti ya nauli waambie hauna acha kulialia jfβ¦otherwise kaa chini na mkeo umwambie ulimuoa yeye hukuoa familia.
Alafu acha uchoyo mkuu[emoji1787] japo hiyo hali inakera[emoji2314]
Si umasikini ni akili kushindwa kufikiri vizuri ujinga tu, tumetoka familia duni lakini tuliridhika na hali zetuMbona familia yetu masikin na hatuna tabia yakwenda majumbani Kwa watu tokea wadogo tulilizika na maisha ya home kipatikane chakula kisipatikane hatukuwai kuwaza kwenda kuishi Kwa ndugu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani we dini gani ? Kama ni muislam dini inatoa muongozo kwenye mambo ya ugeni mgeni anatakiwa asikae zaidi ya siku 3 ugenini ni rahis sana kuwakimbiza kwa kutumia njia za kiimani usiishi kwako kama msela nondo lazima uweke misingi yani simamia upande mmoja kua strict watu hao wanapenda anasa ikiwezekana siku wakiwa wanakuja we geuza siku ya ibada yani muite shekh au mchungaji pigeni maombi bila kula[emoji16] alafu unawaambia kabisa kwangu ni lazima wote mmshiriki ibada mnapiga dua tu siku nzima apo hata mke wako mwenyew anaweza kimbia usipoangaliaHabari za siku nyingi watu wa Mungu.
Hivi ni utaratibu gani unafaa kufuatwa katika kuchagua ndugu wa kuishi nao baada ya ndoa. Nakumbuka mwanzo kabisa kipindi namuoa mke wangu nilimjulisha kuwa napenda sana ndugu ila kuishi na ndugu ni mtihani kama mtu ana uhitaji na tuna uwezo wa kumsaidia bora tumsaidie huko huko aliko kukiwa na ulazima sana ndipo ataishi kwetu.
Bahati mbaya huyu mwenzangu na ndugu zake wamefanya nyumba yangu kijiwe ndugu zake wote wapo hapa hapa mjini sasa imekuwa anakuja huyu anakaa wiki anaondoka wanapokezana , likizo watoto zao wanawaleta kwangu na wana vurugu kweli ile likizo ya mwaka mpya walinivunjia side mirror ya gari ikabidi niwafukuze manake walikuwa wakiaanza kukimbizana wanapita mpaka juu ya makochi ilibaki kidogo wakanyage kompyuta niliwafukuza siku hiyo hiyo.
Tatizo la pili kuna ndugu zake hawa watu wazima wakike ambao ni dadazake ni wakubwa kiasi mmoja binti yake ndiyo mwenye watoto niliowafukuza, hawa wanakaa tu nyumbani hawafanyi chochote ni kuangalia tu tamthiliya mpaka kurudi nyumbani sasa naona kero mimi na wife hatujajaliwa watoto sasa hapo nyumbani kuna familia ya watu 4 na wote wanatokea hapo mabibo yaani mimi ndio nimekuwa kama mgeni kwenye familia.
Nikimuambia hawa watu kwanini wasirudi kwenu kwenye nyumba ya familia wakae sisi tutakaa nao mpaka lini anasema soon wataondoka toka mwezi wa pili anasema hivyo soon wataondoka, karibuni mama anataka kuja kwenye matibabu MOI ila kagoma kufikia kwangu hawezi lala kitanda kimoja na mtu mwingine anashida na mifupa.
hapo bado kuna ndugu zake wanakuja tu wikend wakijisikia na wakiondoka hawana nauli wanakuomba tena shemeji nauli hasa namuuliza hawa nao wanakuja kila wikend kufanya nini, anasema kama sitaki ndugu zake waje atawaambia ila tatizo sio kuja tatizo hata nauli hawana ukiwapa ndogo wanakuimbia kuna sehemu ya kupanda bodaboda.
Ajabu wao wenyewe kwa wenyewe hawatembeleani ni kama vile wanaamua kunimalizia pesa hivi. Nipeni busara kudeal na hawa watu nahisi kuanza kukata mahitaji.
hahaa ngoja nimtag hapa ......ππMkuu kama hutajali chukua ushauri wa jamaa fulani aliwahi kicomment humu jf ,
Ndugu walipomtembelea,alimpigia rafiki yake simu ambaye anafanya kazi hospital..
Akauliza nafasi zipo?rafiki yake akamwambia zipo .
Basi aliwabeba wale wageni Hadi hospital wodini ..akawalaza huko..
Kesho yake asbh akawahi kuwachukua.
Walivyofika tu walifunga safari na kuaga.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Hapa mshua alitisha sana...π€£
Kiongozi nikupe tu ushauri ,ndgu hawabebiki na huwa wanamthamini wakati mtu ana kitu ,
Mtakupa historia fupi ya mzee wangu (binafsi nimepata funzo ) kipindi mzee ana uwezo na mali zake ,nyumbani watu hawakauki ,ndgu walijaa kibao mpaka sisi watoto tukawa tunaminyika au kupunjika maswala ya msosi kwa ajili yao ,maana alikuwepo ma mdogo akijipakulia basi alikuwa anajijazia yeye na sisi kutupunja chakula ,hiki kitu huwa sikisahau mapaka utu uzima huu,Baadae mzee alikuja filisika sana na ndgu hawaji hata kusalimia ,jambo ambalo lilikuwa likimuumiza mama na alikuwa akinilalamikia ,wanavyonyanyapaa ndgu zake kisa hana kitu ,kama mtoto ilikuwa inaniumiza sana ,ni kaapa ntatafuta maisha kwa hali na mali ,
Si haba kwa sasa nnakijiuwezo ,kiasi na nimekuwa na msimamo ,familia yangu kwanza (mke watoto baba na mama ) hao wengine wanasubiri ,Habari mtu kaja kwangu kutembea bila taarifa huwa sitoi nauli hata kama ninayo maana ukiwazoesha huwa wanajenga tabia ,Na ukiwaonyesha kwamba ww unazo watakufanya chuma ulete ,siku huna kitu watakukimbia ,
Nimewekeza nguvu na akili katika kujijenga mm kwanza bila kumtanguliza mtu mwingine na hata nnachopata juwa najitahidi kuwaneemeshe familia yangu na wazazi wangu ,Hao wengine nasaidia panapouhitaji ,
Pia nimeweka msimamu kuwa sibebi mzigo wa mtu (kwa kulea mtoto wa mtu) mimi mwenyewe nimejibana niwe nawatoto wachache ili kuwapa malezi bora ,Kila mtu abebe msalaba wake ,
Usiposimama imara na kuwajengea watoto wako msingi imara kesho na kesho kutwa hao hao ndgu watakuja simanga watoto wako na kuwaambia baba ako alikuwa na pesa ila akachezea ,watasahau kwamba ulikuwa unajitoa kwao na wamesababisha kushinda kuwatimizia watoto wako kwa kuwajengea misingi mizuri
Au we ndio mmoja wao anaowalalamikia jamaa? Hama hapo kwa dada fara weweFamilia zetu tumezoea kuishi kiujamaa Kama wahindi na waarabu
kuna raha gani ya kuishi mtu na mke tu?
Kama nyumba kubwa acha watu waishi.
Maneno ya kisenge tu haya,basi waafrika tungekuwa na Neema kuliko wazungukuna neema na baraka zinapitia kwa ndugu.
Familia yenye watu wengi uwa na baraka hata rizki zinafunguka
π€£π€£π€£π€£π€£πAu we ndio mmoja wao anaowalalamikia jamaa? Hama hapo kwa dada fara wewe