Utaratibu wa Kukaguliwa ticket zaidi ya Mara 3 ktk basi unakera

Utaratibu wa Kukaguliwa ticket zaidi ya Mara 3 ktk basi unakera

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Habari Wana jamvini!
Nchi nyingi za nje ya Tanzania Kuna utaratibu ukishakata ticketi ukapanda kwenye basi hautasumbuliwa mpaka unafika pahala unapokwenda.

Ila Kwa Tanzania imekuwa Kero kubwa sana, ukipanda basi labda Dar mpaka ufike mwanza utakaguliwa ticketi na watu zaidi ya watatu tofauti tofauti, na pengine unaumwa au umelala utaamshwa leta ticketi, wengine tunaficha ticketi mpaka kwenye Boca basi utahitajika kuitoa. Ni utaratibu wa kijinga sana, japo wengine wanaweza wasione ni jambo kubwa Ila mamlaka iingilie Kati, kwani tunawaleteaga usumbufu usio wa lazma wageni mbalimbali kutoka nje.

Pia kumekuwa na uwongo mwingi sana juu ya muda wa kuondoka kwa baadhi ya mabasi, ukienda stand unaweza ukaambiwa gari inaondoka Saa mbili ukikata ticketi utasubiri mpaka saa nne. Hivi watanzania kwanini ni waongo kuanzia wanasiasa Hadi raia
 
Tatizo ni abiria wenyewe wamekuwa si waaminifu, mtu tiketi yake inaishia Dodoma ila kauchuna tu mpaka Iringa.

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Tenga siti za watu wanaoishia Dodoma na wanaoishia Iringa, ukifika Dodoma wafuate wale ambao wako kwenye siti zinazopaswa kuishia Dodoma ila hawashuki waambie washuke.
 
Habari Wana jamvini!
Nchi nyingi za nje ya Tanzania Kuna utaratibu ukishakata ticketi ukapanda kwenye basi hautasumbuliwa mpaka unafika pahala unapokwenda.

Ila Kwa Tanzania imekuwa Kero kubwa sana, ukipanda basi labda Dar mpaka ufike mwanza utakaguliwa ticketi na watu zaidi ya watatu tofauti tofauti, na pengine unaumwa au umelala utaamshwa leta ticketi, wengine tunaficha ticketi mpaka kwenye Boca basi utahitajika kuitoa. Ni utaratibu wa kijinga sana, japo wengine wanaweza wasione ni jambo kubwa Ila mamlaka iingilie Kati, kwani tunawaleteaga usumbufu usio wa lazma wageni mbalimbali kutoka nje.

Pia kumekuwa na uwongo mwingi sana juu ya muda wa kuondoka kwa baadhi ya mabasi, ukienda stand unaweza ukaambiwa gari inaondoka Saa mbili ukikata ticketi utasubiri mpaka saa nne. Hivi watanzania kwanini ni waongo kuanzia wanasiasa Hadi raia
Huko mwishoni nimecheka sana
 
Piga picha tiketi yako na hifadhi kwenye simu.Muonyeshe akihitaji.
 
Habari Wana jamvini!
Nchi nyingi za nje ya Tanzania Kuna utaratibu ukishakata ticketi ukapanda kwenye basi hautasumbuliwa mpaka unafika pahala unapokwenda.

Ila Kwa Tanzania imekuwa Kero kubwa sana, ukipanda basi labda Dar mpaka ufike mwanza utakaguliwa ticketi na watu zaidi ya watatu tofauti tofauti, na pengine unaumwa au umelala utaamshwa leta ticketi, wengine tunaficha ticketi mpaka kwenye Boca basi utahitajika kuitoa. Ni utaratibu wa kijinga sana, japo wengine wanaweza wasione ni jambo kubwa Ila mamlaka iingilie Kati, kwani tunawaleteaga usumbufu usio wa lazma wageni mbalimbali kutoka nje.

Pia kumekuwa na uwongo mwingi sana juu ya muda wa kuondoka kwa baadhi ya mabasi, ukienda stand unaweza ukaambiwa gari inaondoka Saa mbili ukikata ticketi utasubiri mpaka saa nne. Hivi watanzania kwanini ni waongo kuanzia wanasiasa Hadi raia
Tatizo nyinyi janjajanja nyingi. Uaminifu sifuri.
 
Back
Top Bottom