Utaratibu wa Kukaguliwa ticket zaidi ya Mara 3 ktk basi unakera

Utaratibu wa Kukaguliwa ticket zaidi ya Mara 3 ktk basi unakera

Umetoka Dar to Arusha, now unatoka moshi kuitafuta arusha labda upo pale boma jamaa anaanza kupitapita kukagua ili kukusanya 3000 ya abilia waliopandia moshi, wanakera sana kwa anayekusanya maana anakuwa si konda mliyeanza naye safari so lugha kali nk ndizo zinatawala na wenye mabasi hawajui hii kitu maana hata hizo 3000 hazifiki kwao pamoja na kwamba hawatoi tiketi.
 
Habari Wana jamvini!
Nchi nyingi za nje ya Tanzania Kuna utaratibu ukishakata ticketi ukapanda kwenye basi hautasumbuliwa mpaka unafika pahala unapokwenda.

Ila Kwa Tanzania imekuwa Kero kubwa sana, ukipanda basi labda Dar mpaka ufike mwanza utakaguliwa ticketi na watu zaidi ya watatu tofauti tofauti, na pengine unaumwa au umelala utaamshwa leta ticketi, wengine tunaficha ticketi mpaka kwenye Boca basi utahitajika kuitoa. Ni utaratibu wa kijinga sana, japo wengine wanaweza wasione ni jambo kubwa Ila mamlaka iingilie Kati, kwani tunawaleteaga usumbufu usio wa lazma wageni mbalimbali kutoka nje.

Pia kumekuwa na uwongo mwingi sana juu ya muda wa kuondoka kwa baadhi ya mabasi, ukienda stand unaweza ukaambiwa gari inaondoka Saa mbili ukikata ticketi utasubiri mpaka saa nne. Hivi watanzania kwanini ni waongo kuanzia wanasiasa Hadi raia
Utakuwa unapanda basi za bei rahisi. Panda Full Luxury Bus uone kama utadaiwa ticket hata mara moja [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Waendelee kukagua. Nishawahi kupanda basi njombe-makete. Wakati nipo njiani mpenzi wangu akanipigi simu amerudi likizo ya shule kama mimi yupo ndani ndani kuna sehemu inaitwa zambia yaani Bulongwa kwa mbele yaani Kipagalo unapita.
Akili ya kiuanafunzi ikanambia tupa tiketi halafu vunga mpaka mwisho na nikafanikiwa kweli.
 
Back
Top Bottom