Spartacus boy
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,727
- 3,464
Sawa, lkn kuna wale wa kufaulisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo ni abiria wenyewe wamekuwa si waaminifu, mtu tiketi yake inaishia Dodoma ila kauchuna tu mpaka Iringa.
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Yapo ndugu yangu, ubabe ubabeHeee hivi hayo mambo bado yapo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dawa yao ni kubandika tiketi yao kichwani! Kero zingine ndogondogo unaachana nazo!
Weka kichwani au vaa mkononi simpo
Halafu unatikisika[emoji3]Unakausha anakutikisa
Itoshe tu kusema kwamba tumevurugwa
Atakurudishia hela halaf atakushusha poriniHalafu unatikisika[emoji3]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Itoshe tu kusema kwamba tumevurugwa
Utakuwa unapanda basi za bei rahisi. Panda Full Luxury Bus uone kama utadaiwa ticket hata mara moja [emoji28][emoji28][emoji28]Habari Wana jamvini!
Nchi nyingi za nje ya Tanzania Kuna utaratibu ukishakata ticketi ukapanda kwenye basi hautasumbuliwa mpaka unafika pahala unapokwenda.
Ila Kwa Tanzania imekuwa Kero kubwa sana, ukipanda basi labda Dar mpaka ufike mwanza utakaguliwa ticketi na watu zaidi ya watatu tofauti tofauti, na pengine unaumwa au umelala utaamshwa leta ticketi, wengine tunaficha ticketi mpaka kwenye Boca basi utahitajika kuitoa. Ni utaratibu wa kijinga sana, japo wengine wanaweza wasione ni jambo kubwa Ila mamlaka iingilie Kati, kwani tunawaleteaga usumbufu usio wa lazma wageni mbalimbali kutoka nje.
Pia kumekuwa na uwongo mwingi sana juu ya muda wa kuondoka kwa baadhi ya mabasi, ukienda stand unaweza ukaambiwa gari inaondoka Saa mbili ukikata ticketi utasubiri mpaka saa nne. Hivi watanzania kwanini ni waongo kuanzia wanasiasa Hadi raia
Watu kama bia yetu na wenzake watakosa wanunuzi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi si ndio mwanzo wa kupigwa mnada[emoji3]
No way out mkuuHalafu unatikisika[emoji3]
Hivi mimi nitapata mnunuzi kweli?Watu kama bia yetu na wenzake watakosa wanunuzi
Ukose hata kuwa mbolea? 🤣🤣Hivi mimi nitapata mnunuzi kweli?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ukose hata kuwa mbolea? [emoji1787][emoji1787]
Ntakununua.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Probably nitauzwa kama mbolea
Hautaki mama mtumishi apigwe mnada nje😂Ntakununua.
Nikuweke kwangu.
Ukae hapa.
Tukae wote.
Tuupige mwingi.
Na vitu vingine vinavyofanana na hivyo 😉